Uongo/Chuki ina nguvu sana, Ona kilichotokea kwa Michael Jackson

Uongo/Chuki ina nguvu sana, Ona kilichotokea kwa Michael Jackson

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Kuna watu walieneza maneno ya uongo kuwa Michael Jackson alivyotua nchini aliziba pua yake na kusema kuwa nchi ya Tanzania inanukaa.

Ukweli ni kwamba, MJ hakusema maneno hayo na pia kwenye ziara yake nchini aliweza kuitembelea shule ya watoto wenye mahitaji maalumu.

20240908_172703.jpg


20240908_173340.jpg
 
Kuna watu walieneza maneno ya uongo kuwa Michael Jackson alivyotua nchini aliziba pua yake na kusema kuwa nchi ya Tanzania inanukaa.

Ukweli ni kwamba, MJ hakusema maneno hayo na pia kwenye ziara yake nchini aliweza kuitembelea shule ya watoto wenye mahitaji maalumu.

View attachment 3090423

View attachment 3090426
Sasa wabongo tuliambiwa aligeuzia uwanjani jamani, sijui picha hazikuwepo !
 
Mbongo anapenda sana habari za kusikia. Na akisikia anaibeba kama ilivyo.
 
Ni sawa tu na stori za iddi amini kuwa alikuwa anakula watu na kuwapika na kula.nyerere alikuwa anatudanganya sana.hata vita ya Uganda kasababisha Nyerere ambapo alimsaidia Obote kumpindua iddi amini na kushindwa ndiyo ikawa chanzo Cha Uganda kuichukia tz na kuteka Kagera na kuwa mwanzo wa vita
 
Ni sawa tu na stori za iddi amini kuwa alikuwa anakula watu na kuwapika na kula.nyerere alikuwa anatudanganya sana.hata vita ya Uganda kasababisha Nyerere ambapo alimsaidia Obote kumpindua iddi amini na kushindwa ndiyo ikawa chanzo Cha Uganda kuichukia tz na kuteka Kagera na kuwa mwanzo wa vita
😂😂😂 Kwahiyo alikuwa anatulisha matango pori eeee yaani
 
Bongo inanuka kweli hasa DAR ukitoka mbele ukitua airport unahisi kama you're about to suffocate. It takes a day or two kuzoea.
Kabisa uko sahihi Dar inanuka sio utani km sie tuliotoka kiziramuyaga harufu tunaisikia yeye je na hadhi yake!!!
 
Bongo inanuka kweli hasa DAR ukitoka mbele ukitua airport unahisi kama you're about to suffocate. It takes a day or two kuzoea.
FaizaFoxy anasema ni harufu ya mavi ya samaki baharini tu! Kwamba ushamba unawasumbua watu wa bara wakifika pwani!
 
Back
Top Bottom