nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
- Thread starter
- #41
Mechi ya Jana kariobang hawakutaka kutufunga!
Subiri town rollers waje!
Subiri town rollers waje!
Unasema ligi ikianza itakuwaje? Kwani jana uwanjani waliingia wachezaji pungufu sio kwa kuwa hao jamaa uliowataja hawapo? Pia kufungwa na kufunga yote ni matokeo sisi hatutakuwa wa kwanza mzee.