Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Leo tutamkumbiza huyu jamaa sawa.... Ili tuleπππππ
Ila naona ni kawaida tuu mkuu mana ntakua nishapitia beforeMujibu sio askari yale ni mafunzo ya kupasha mwili joto na kuondoa uanafunziπ
Ndio ilivyo mifumo yetu ya nchi.Uko sahihi mkuu unapambana for nothingπ
Fresh nenda.Ila naona ni kawaida tuu mkuu mana ntakua nishapitia before
Uhakika utaishia kulima mashamba tu na kujenda miradi na kupigiwa tantalila nyingi za ajira alafu watoto wa wakubwa ndio wanalambaπbila connection hutoboi
Sina hata ndugu mkuuFresh nenda.
Mzee wako alikuwa kamanda ?
Hamna simkatishi tamaa.MKuu usimkatishe tamaa mwana jfπ
Aiseeh! Changamoto hii.Sina hata ndugu mkuu
Yaaani kule....Dah huyo jamaa anakimbia kama anakimbizwa na mbwaπ
Siendi mkuu nimeghali khaaaAiseeh! Changamoto hii.
nenda bahati inaweza kukuangukia lakini jiandae kisaikolojia utakapo ambia unfit
Usighaili kwa sababu yangu kama mambo yako umeyaset tayari we nenda tu.Siendi mkuu nimeghali khaaa
Asante kwa kututukanaMwanangu simpeleki huko maana walioenda nawaona hakuna la maana.
Sijaseti mkuu ila tuu nipo katika kipindi cha ushahuri nasaha ππππUsighaili kwa sababu yangu kama mambo yako umeyaset tayari we nenda tu.
Kurutu ni mdudu.....Kuruti ni nguvu kazi π