Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Leo tutamkumbiza huyu jamaa sawa.... Ili tule๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo tutamkumbiza huyu jamaa sawa.... Ili tule๐๐๐๐๐
Ila naona ni kawaida tuu mkuu mana ntakua nishapitia beforeMujibu sio askari yale ni mafunzo ya kupasha mwili joto na kuondoa uanafunzi๐
Ndio ilivyo mifumo yetu ya nchi.Uko sahihi mkuu unapambana for nothing๐
Fresh nenda.Ila naona ni kawaida tuu mkuu mana ntakua nishapitia before
Uhakika utaishia kulima mashamba tu na kujenda miradi na kupigiwa tantalila nyingi za ajira alafu watoto wa wakubwa ndio wanalamba๐bila connection hutoboi
Sina hata ndugu mkuuFresh nenda.
Mzee wako alikuwa kamanda ?
Hamna simkatishi tamaa.MKuu usimkatishe tamaa mwana jf๐
Aiseeh! Changamoto hii.Sina hata ndugu mkuu
Yaaani kule....Dah huyo jamaa anakimbia kama anakimbizwa na mbwa๐
Siendi mkuu nimeghali khaaaAiseeh! Changamoto hii.
nenda bahati inaweza kukuangukia lakini jiandae kisaikolojia utakapo ambia unfit
Usighaili kwa sababu yangu kama mambo yako umeyaset tayari we nenda tu.Siendi mkuu nimeghali khaaa
Asante kwa kututukanaMwanangu simpeleki huko maana walioenda nawaona hakuna la maana.
Sijaseti mkuu ila tuu nipo katika kipindi cha ushahuri nasaha ๐๐๐๐Usighaili kwa sababu yangu kama mambo yako umeyaset tayari we nenda tu.
Kurutu ni mdudu.....Kuruti ni nguvu kazi ๐