Tetesi: Uongo juu ya JKT

Khaaa mkuu umepita huko nini...
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mnashangaa mbona tunaanza kupimwa kisa intro... Kumbe kichoenda kutokea hapo ni zaidi ya matatizo...
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Noma mkuu___ mselema,syllas(pt),meja_oromi,bosco, balaa😁😁
 
Noma mkuu___ mselema,syllas(pt),meja_oromi,bosco, balaa😁😁
Mselemu... D coy
Ochu...
Bugau
Oromi

Bosco jamaa wa shambani.... Ahahaha shamba mkakatiii manina walaaaaaahiiii

Oya ile bwawani sa 9 daaah kule nachi hapana aiseee
 
Mselemu... D coy
Ochu...
Bugau
Oromi

Bosco jamaa wa shambani.... Ahahaha shamba mkakatiii manina walaaaaaahiiii

Oya ile bwawani sa 9 daaah kule nachi hapana aiseee
Watu wa B COY walikua wanakula bata sana kuliko wote😁
 
Watu wa B COY walikua wanakula bata sana kuliko wote😁
Khaaa yaani nini B coy wale bata kuliko nani
......

Kwanza mi kule ningehama aiseee wale jamaa wanasifa sana aiseeeee B coy achana nao aiseeee
 
Wewe ulipita jkt ya wapi hiyo ambako hawakufa watu, sisi kufa wamekufa sana watu labda jkt ya mama
 
Wewe ulipita jkt ya wapi hiyo ambako hawakufa watu, sisi kufa wamekufa sana watu labda jkt ya mama
Vifo vinasababishwa na sababu tofaut tofauti kama vile magonjwa , hata pale jkt kuna watu ambao wamekufa nawaham kabisa wanachangamoto ya afya ambaoo ilipelekea kuwekwa kwenye kundi maaalum la wagonjwa ambao walikua hawafanyi mazoezi magumu kama wengine
 
Nilikua kitengo maalumu wakatcwa kurud nlizamia kwa wagonjwa wa kudumu
 
Kambi hutofautiana.

Kambi nilioenda mimi ilikuwa ukifika getini unakimbizwa na risasi.
Yaani MP wameshikilia mijegeja aina ya SMG afu wanakupimia, mbio zako tu.

Ilikuwa haina uzalendo, ukifika unatritiwa kama komando. Yaani pushapu 15k za kuanzia huku mgongoni kuna gunia la mahindi la kilo 50.
 
Aaahh acha bana bwana shetani πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Nilikua kikosi x... walivunjika vijana 12 wenye ulemavu walikua watatu ilipelekea mp mmoja, coplo wawili na private kadhaa kutawanywa vikosi vingine kile kikosi kazi cha wale masoja ni zaidi ya special force

Kuna dogo mmoja wa kigoma alidoji akadakwa juu ya mzambarau πŸ˜‚πŸ˜‚, demo yake afande alipanda akajitupa na tumbo hadi chini halafu serviceman arudie vile vile 😫, dogo alivunjika asee mkono sema alipona

JKT ya intake ya 2014 kurudi nyuma ilikuwa zaidi ya vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…