Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na utoe GAWIWO pia!
Au unasemaje?
Sio kwamba sisi CCM ndio tunajenga nchi na wapìnzani wanatuchelewesha sana??
So kuuhadaaa umma kwa yule aliyekuwa akidai msema kwel mpenz wa nan cjui alikuwa akimdannganya nan????
Kuna coastal aviation, auric air, etc
Ahsante mkuu.Hii hapa Mkuu.
View attachment 1738219
Mkuu mimi ni CÇM mwenzio lakini mbona unanifukuza chamani??ndo maaana mtaendelea kubaki ufipa, na msipochukua advantage hiki kipindi ndo msahau tena kuigusa ccm
Fisadi ndugai na utopolo wake sasa kwisnei. Mwisho wa enzi. Na ugonjwa wake utarudi kwa kasi. Cheo ni dhamana, kitumie kwa haki. La sivyo, malipo ni hapahapa duniani.Chini ya fisadi na mbadhilifu Ndungai
Ahsante mkuu.
Ukipata document inayoonyesha deni wakati JK anatoka madarakani please ntumie
apo apo ....hapo hapohakuna biashara inaanzishwa apo apo inamke profit, for an airline bussiness its even worse you have to do trial and error nyingi tafauti but you still need to pay your workers.
sasa dogo yashapita aliesema ni marehem sasa na hata mkianza vijembe ndo ameshaaga ivo hawezi kujibu maswali yenu, as a wise man unatakiwa kuangalia way forward
Ok!!kuna haja ya kujifunza Mungu ametupa akili ili tuchanganue mambo
Hiyo avator yako inadhihirisha IQ ndogo uliyo nayo.Whether it makes profit or not, ndege lazima ziwepo na wale wanaosomea urubani wapate pia ajira.
Sasa kama ni hivyo nini magufuli aseme shirika linapata faida na tena linatoa gawio?hakuna biashara inaanzishwa apo apo inamke profit, for an airline bussiness its even worse you have to do trial and error nyingi tafauti but you still need to pay your workers.
Jiwe aliendesha nchi kwa propaganda na takwimu feki.
No wonder aliamini ushirikina kuliko sayansi, mwishoe kiburi chake kimemteketeza jehanam.
Ni suala la muda tu, naamini madudu mengi aliyotenda yatafukunyuliwa.
Any rational thinking individual (real patriot) has been believing, all the time that the entire ATCL phenomenon was a fiction, marred with corruption and lies.Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.
CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.
Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.
Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Mungu bwana! Acha Mungu aitwe Mungu. Mwendazake kampenda zaidi ili yaliyofichika yafichuke. RIP JPM.Kwenye ukweli uwongo ujitenga.
Soon tutayajua tusiyoyajua.
Kwa hiyo unakubaliana na sisi Magufuli alikua kiongozi muongo aliye wadanganya watanzania?we can call that a weakness ofcourse, uwazi ni muhimu sana
Gawio. Dividend siyo? Hutokana na faida. La sivyo tuliambiwa ulongo.Hili la gawio sio la kuachwa lipite.