Uongo mbaya, jamhuri wamejipanga dhidi ya kesi ya Mbowe

Ila swali ni kuwa je kosa aliloshitakiwa -ugaidi na uhujumu uchumi ni sawa? Ugaidi wa kugharimia laki 6 unastahili kuwa ugaidi kweli?

Vv
 
Tukubaliane je mbowe ana uwezo wa kukata rufaa ICC? Kesi ya ugaidi ni mlango usiofungika.
 
Aliyekutuma Mwambie hii imefeli . Akatunge script nyingine
 
Uongo utashindwa ila HILA MBAYA ya WATAWALA itafanikiwa
 
Nadhani unafuatilia ukiwa kitandani mkuu
 
Boya lingine hili hapa....
Kushindwa pia ni kupanga.....
 
Mkuu we waache tu, lakini Gaidi na Hujumu Uchumi Mbowe LAZIMA lile mvua za kutosha!
Mwanamke muuza mbege anajua namba ya bastola..sahihi zake hazifanani .hakuna kesi ni Chuplichupli..MiCCM 90% mihamiaji kutoka Congo,Rwanda na Burundi.. Mtanzania mzawa huwezi kuwa na roho mbaya kiasi hiki..
 
Jamhuri imejipanga kumdhulumu raia wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…