Uongo mbaya, jamhuri wamejipanga dhidi ya kesi ya Mbowe

Uongo mbaya, jamhuri wamejipanga dhidi ya kesi ya Mbowe

Hapo vip!!

Nafuatia kwa karibu sana hii kesi ya mbowe ila jamuhuri wamejipanga kwa ushahidi.

Binafsi naona meli inazama taratibu huku kelele,ambazo hazitasaidie kuokoa meli zikiongezeka.

Kwa ushahidi sidhani naona kama umenyooka kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga...na technologia aidanganyi...sijui tusubiri.

Nimeiyogopa jamhuri!!

Propaganda za vyomba habari na mitandaoni na hazitamsadia yule bwana.
Ila swali ni kuwa je kosa aliloshitakiwa -ugaidi na uhujumu uchumi ni sawa? Ugaidi wa kugharimia laki 6 unastahili kuwa ugaidi kweli?

Vv
 
Hapo vip!!

Nafuatia kwa karibu sana hii kesi ya mbowe ila jamuhuri wamejipanga kwa ushahidi.

Binafsi naona meli inazama taratibu huku kelele,ambazo hazitasaidie kuokoa meli zikiongezeka.

Kwa ushahidi sidhani naona kama umenyooka kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga...na technologia aidanganyi...sijui tusubiri.

Nimeiyogopa jamhuri!!

Propaganda za vyomba habari na mitandaoni na hazitamsadia yule bwana.
Tukubaliane je mbowe ana uwezo wa kukata rufaa ICC? Kesi ya ugaidi ni mlango usiofungika.
 
Hapo vip!!

Nafuatia kwa karibu sana hii kesi ya mbowe ila jamuhuri wamejipanga kwa ushahidi.

Binafsi naona meli inazama taratibu huku kelele,ambazo hazitasaidie kuokoa meli zikiongezeka.

Kwa ushahidi sidhani naona kama umenyooka kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga...na technologia aidanganyi...sijui tusubiri.

Nimeiyogopa jamhuri!!

Propaganda za vyomba habari na mitandaoni na hazitamsadia yule bwana.
Aliyekutuma Mwambie hii imefeli . Akatunge script nyingine
 
Hapo vip!!

Nafuatia kwa karibu sana hii kesi ya mbowe ila jamuhuri wamejipanga kwa ushahidi.

Binafsi naona meli inazama taratibu huku kelele,ambazo hazitasaidie kuokoa meli zikiongezeka.

Kwa ushahidi sidhani naona kama umenyooka kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga...na technologia aidanganyi...sijui tusubiri.

Nimeiyogopa jamhuri!!

Propaganda za vyomba habari na mitandaoni na hazitamsadia yule bwana.
Uongo utashindwa ila HILA MBAYA ya WATAWALA itafanikiwa
 
Gaidi anaomba bora Magufuli angekuwa hai

02608867-FA73-4E06-8E5A-88FA09D0CD5C.jpeg
 
Hapo vip!!

Nafuatia kwa karibu sana hii kesi ya mbowe ila jamuhuri wamejipanga kwa ushahidi.

Binafsi naona meli inazama taratibu huku kelele,ambazo hazitasaidie kuokoa meli zikiongezeka.

Kwa ushahidi sidhani naona kama umenyooka kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga...na technologia aidanganyi...sijui tusubiri.

Nimeiyogopa jamhuri!!

Propaganda za vyomba habari na mitandaoni na hazitamsadia yule bwana.
Nadhani unafuatilia ukiwa kitandani mkuu
 
Hapo vip!!

Nafuatia kwa karibu sana hii kesi ya mbowe ila jamuhuri wamejipanga kwa ushahidi.

Binafsi naona meli inazama taratibu huku kelele,ambazo hazitasaidie kuokoa meli zikiongezeka.

Kwa ushahidi sidhani naona kama umenyooka kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga...na technologia aidanganyi...sijui tusubiri.

Nimeiyogopa jamhuri!!

Propaganda za vyomba habari na mitandaoni na hazitamsadia yule bwana.
Boya lingine hili hapa....
Kushindwa pia ni kupanga.....
 
Mkuu we waache tu, lakini Gaidi na Hujumu Uchumi Mbowe LAZIMA lile mvua za kutosha!
Mwanamke muuza mbege anajua namba ya bastola..sahihi zake hazifanani .hakuna kesi ni Chuplichupli..MiCCM 90% mihamiaji kutoka Congo,Rwanda na Burundi.. Mtanzania mzawa huwezi kuwa na roho mbaya kiasi hiki..
 
Hapo vip!!

Nafuatia kwa karibu sana hii kesi ya mbowe ila jamuhuri wamejipanga kwa ushahidi.

Binafsi naona meli inazama taratibu huku kelele,ambazo hazitasaidie kuokoa meli zikiongezeka.

Kwa ushahidi sidhani naona kama umenyooka kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga...na technologia aidanganyi...sijui tusubiri.

Nimeiyogopa jamhuri!!

Propaganda za vyomba habari na mitandaoni na hazitamsadia yule bwana.
Jamhuri imejipanga kumdhulumu raia wake.
 
Back
Top Bottom