Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni utapeli mtupu
Huu ujasiri unautoa wapi ndugu yangu?
Mungu yupo na hakika wakati ukifika utajutia haya uliondika
Walikuwepo wengi waliompinga lakini sasa wako wapi?
Hata wewe utapita lakini Neno la MUNGU litasimama daima hadi ukamilifu wa dahari
Jenga hoja kuonesha na kuthibitisha kwamba Mungu yupo.Mnyiramba wakwanza wa hovyo sana.
Hujui kitu na huna akili hata moja
Huamini kuhusu Mungu ila unaamini uchawi bogus wewe
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.Sasa,kama hata "Imani" kuhusu biblia hauna,kwa nini inakuumiza kichwa na kuanzisha uzi?Huo muda kwa nini usingeenda hata kuchunga punda tu?
Nani alikueleza hivyo?Tumia kichwa chako na uache kukariri kila kitu.Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.
Thibitisha uwepo wa huyo Mungu na si mawazo yako ya kufikirika.
Hata wewe unaye jidai kumtetea na kumjua Mungu Utakufa na kupita.Huu ujasiri unautoa wapi ndugu yangu?
Mungu yupo na hakika wakati ukifika utajutia haya uliondika
Walikuwepo wengi waliompinga lakini sasa wako wapi?
Hata wewe utapita lakini Neno la MUNGU litasimama daima hadi ukamilifu wa dahari
Jibu hoja, Acha mbambamba.Nani alikueleza hivyo?Tumia kichwa chako na uache kukariri kila kitu.
Kwanza Thibitisha kwamba Mungu yupo.Acheni kumkufuru Mungu jamani
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kuua watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever
Kwanza Thibitisha kwamba Mungu yupo.
Kisha ndio ueleze sababu za
kuto kufuriwa?
Mungu hayupo.
Mkuu,Mkuu hakawii kukwambia eti wewe ndio uthibitishe hayupo [emoji23][emoji23][emoji23]
Bila kusahau mwenzake Mudi.Injili ya yesu Ni utapeli mkubwa Sana
Wanasemaga Mungu yupo kiroho kwa akili za kawaida huwezi kumjua..[emoji1787][emoji1787]Jibu hoja, Acha mbambamba.
Thibitisha Mungu yupo na si mawazo yako ya kufikirika na imani zako za kusadikika.
Unapoandika ..."nazijua vizuri hizi dini"... ndiyo sehemu uliyojikaanga kwa mate yako.Lazima uungue tu.Nakudokeza,huna ujualo.Na kama kuna uliyofundishwa basi ulikuwa unapewa simulizi bila kupewa maelezo sahihi ya kiimani na uelewa thabiti.
USHAURI:Kama dini hizo zimekuwa ngumu sana kwako kueleweka ni vema uachane nazo na utafute mbadala uupendao na kuuhitaji.Ni rahisi tu!
Sidhani kama kuna sehemu niliandika..."eti utakufuru dini"..!Mbona mimi sijakataa wala sijaeleza kuuchukia huo uuitao "upofu"?Cha ajabu haujaeleza ambacho sijui ni kipi?We mwenyewe huzielewi ila ni kipofu ndio unaishi na upofu wako na kukataa kuona eti utakufuru dini ni utapeli mtupu.