Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Mungu na serikali wapi na wapi?

Unahitajika kuwa na akili gani kumjua Mungu mkuu?
Kwani Mungu kaumba na kuweka limitation za

Ume quote watu wawili

Umemlenga nani mkuu?
Wanao pinga kwamba eti Mungu hayupo. Lakini kiukweli, hajui hata wanae mtafuta, ndicho nilicho gundua wengi wamtafuta kamavile ni ni mtu wakati Mungu si mtu. Pili njia mnayo itumia kumtafuta tatu mnachokitafuta kwake hamkijui ndiyo maana itimisho. Mnaishia kusema hakuna Mungu, namakejeli mengi Mimi huwa naishia kuanglia.
 
Hizo ni akili za kitoto tu utakuja Mungu wakati hata serikali yako ina kushinda iwe Mungu umjue kwa akili za kipumbavu na kitoto hizo acha kusumbua watu bahq
Wewe mwenye Akili timamu Thibitisha huyo Mungu Yupo.

Kama huwezi na wewe ni mjinga mwenye Akili za kipumbavu unaye amini visivyo kuwepo, imaginations just an illusion.
 
Ndio ushangae sasa huyu Mungu kwanini aoteshe mibangi

Mwezi uliopita nilikua Muhimbili wodi za watoto wa saratani
Yaani niliwaangalia wale watoto wadogo kweli jinsi wanavyopata tabu ya kansa na matibabu yake
Machozi yalinilenga aisee, unabaki unajiuliza kuhusu Mungu unakosa majibu
Mateso na adha azipatazo mwanadamu yanafikirisha mno.Ingawaje umewasilisha ktk lugha ya ghadhabu na hasira, Lakini una jambo zito tatanishi.Ni vema anayewiwa kujibu ajiibu kwa hoja isiyo na ghadhabu wala hasira, matusi wala vitisho.
Kwa kufanya hivyo hekima zenu zitawavutia wengi na zitaleta nuru kwa wengi.
 
Wanao pinga kwamba eti Mungu hayupo. Lakini kiukweli, hajui hata wanae mtafuta, ndicho nilicho gundua wengi wamtafuta kamavile ni ni mtu wakati Mungu si mtu. Pili njia mnayo itumia kumtafuta tatu mnachokitafuta kwake hamkijui ndiyo maana itimisho. Mnaishia kusema hakuna Mungu, namakejeli mengi Mimi huwa naishia kuanglia.
Mungu ana tafutwa, Kwani kapotea?
 
Ndio ushangae sasa huyu Mungu kwanini aoteshe mibangi

Mwezi uliopita nilikua Muhimbili wodi za watoto wa saratani
Yaani niliwaangalia wale watoto wadogo kweli jinsi wanavyopata tabu ya kansa na matibabu yake
Machozi yalinilenga aisee, unabaki unajiuliza kuhusu Mungu unakosa majibu
Hapo ni uthibitisho tosha kwamba,

Mungu mwenye upendo na huruma kwa wanadamu, Hayupo.

Mungu Mkamilifu mwenye kuumba binadamu wakamilifu, Hayupo.

Mungu muweza wa yote anaye daiwa kuponya wenye shida, wagonjwa, walemavu na shida mbalimbali, HAYUPO.
 
Uthibitisho wa kwanza Mungu yupo ni wa kiasilia wala hakuna haja ya kupiga kelele.

Ipo hivi ,jamii zetu kihistoria hata uende kwa wahadzabe wanaoishi porini kuna kitu wanaabudu ambacho ni imagery yaani kinabaki kama imani ya moyoni ,wanaweza kuabudu hata mti kwa sababu mambo yanayotokea dunia hakuna kiumbe hai (anayeonekana anaratibu hayo mambo) kama magonjw ,vifo ,ulemavu ,watu kuzaliwa na jinsia tofuati & watu kuzaliwa na kasoro....Mfumo mzima wa maisha ya binadamu hakua ajuaje kesho ina maana akili ya binadamu hata yule primitive kabisa kama mnavyosoma alikuwa anaabudu kitu ambacho kipo kweny ulimwengu wa kiroho.



Binadamu wa zamani walikuwa na upeo mkubwa sana wa mambo ndio maana waliweza kuabudu hata miti na mizimu kwa sababu walijua binadamu halisi hana achojua kuhusu kesho yake ,kama laiti angejue angekuwa mtu wa kuhairisha mambo (procrastinating ) ...Nina maana gani kama mtu leo anajua anaenda kupata ajali basi asingeenda hiyo safari wala kupanda hiko kipando (gari, pikipiki,baiskeli)


Maisha ya binadamu ni fumbo hata yule Hawking na kejele zote ila kaishia kuwa zombie(paralyzed) hajielewi yaani yeye pia na akili zote hajui kesho yake ,je kapenda kuwa vile wakati alihangaika kujibu ikashindikana mpaka kama kama zombie mpaka umauti unamfika..

Wanakuja wazungu na wanasayansi nguli✍️✍️
Mapema kabisa wanadamu anapoanza kufanya ugunduzi anakujw kugundua kila kinatokea katika "muunganiko wa hatua na force zinawezesha hilo jambo kufanyika" finally wanakuja kukubali kila kitu kinaendeshwa na "mechanism" ina maana kutokea kwa kila kitu kuna sababu...

Mbegu lazima ipande kweny ardhi kama sio lazima labda maabara basi lazima ipate mwanga na oxygen ,mtoto lazima patokee muingiliano wazazi kama ni surrogance lazimq mbegu za wazazi zikutane ...
Ina maana hata utengenezaji wa vitu dunia mpaka ndege na magari ,wataalum walitumbia formular ya mechanism na kufanya kitu fulani kifanye hivi kama ni gari itembee ,kama mashine izalishe .

Je ulimwengu huu hauna mechanism?✍️ Na kama zipo je ni nn kipo chum ya mechanism hzi zinazoleta usiku na mchana ,kuzama kwa jua,kupata majria mbalimbali ya mwaka...kama mvua hutokana na miti mbona jangwani inayesha japo kwa uchache ..


Kuna binadamu anapenda kuzaa mtoto chizi ? Kuna binadamu anapenda kufeli mitihani yake ya kimasomo ? Kwa nn wengine wapo vizuri darsani na wengine la basi tuseme ni genetic zq ukoo na familia ila ipo familia ina vipanga na bado kuna mwamba anakuja kulamba zero kutoka familia hiyo hiyo.

What if kama binadamu wasingekuwa tofauti yaani wote wapo sawa ni wazima(hamna mgonjwa) ,wote wana pesa, wote weupe ,wote jinsia moja .
..

Ni kwamba tusingekuwa na mfumo wa kiutawala kwanza baina yetu na pia isingekuwa dunia hii tunaoishi.
 
Mpumbavu usema moyoni mwake kuwa hakuna MUNGU, SI maneno yangu ni bible

Kama hauamini uwepo wa Mungu Kwa sababu haumuoni basi hamini pia kutokuwepo kwa hewa au upepo kwa kuwa hauuoni wala uwezi kuushika, pumbavu.
Mpumbavu husema moyoni mwake Kuna Mungu, Atheism (12:4)

Kitu kinaweza kuwepo angalau kwa namna mojawapo ya kuonekana, kusikika, kuhisika au kushikika.

At least, Hewa ipo kwa namna fulani ya kuhisika tunapo ivuta.

Upepo upo kwa kusikika ukivuma, na kutambulika upo.

Sasa Mungu hayupo kwa namna yoyote ile Haonekani, Hasikiki, Hashikiki, Haisiki, Zaidi ni mawazo ya kufikirika tu imaginations just an illusion.

Mungu hayupo katika uhalisia bali katika dhana za kufikirika na kusadikika tu. (Fictions)
 
Mpumbavu husema moyoni mwake Kuna Mungu, Atheism (12:4)

Kitu kinaweza kuwepo angalau kwa namna mojawapo ya kuonekana, kusikika, kuhisika au kushikika.

At least, Hewa ipo kwa namna fulani ya kuhisika tunapo ivuta.

Upepo upo kwa kusikika ukivuma, na kutambulika upo.

Sasa Mungu hayupo kwa namna yoyote ile Haonekani, Hasikiki, Hashikiki, Haisiki, Zaidi ni mawazo ya kufikirika tu imaginations just an illusion.

Mungu hayupo katika uhalisia bali katika dhana za kufikirika na kusadikika tu. (Fictions)
Binadamu ukianzia milango yake ya fahamu na mifumo ya dunia yote ni dhaifu.

Ndo maana hauwezi kusikia sauti ya mtu aliyopo kms 10 mpaka utumie simu (escorting aid) ..Ukizungumzia milango ya fahamu kuhisi ,kusikia, kuonja ,kuona mengi hata kuna watu wanazaliwa vipofu kabisa..

Waafrica hata wazungu wanaabudu mizimu hapa sitakueleza zaidi ni vip wazungu wanaabudu? wazungu kama unabisha kawaulize hata wanaokaa na wazungu wapo wenye imani za mizimu (sio kama ya Africa) ila ndo hivyo wanaabudu kitu hawakioni.

Kama una akili timamu maziko ya Queen Elizabeth yamefanyika kimatambiko na imani kuna vitu walificha ,plus kusimikwa mfamle mpya pia walifanya kama waafrica ..

Uhusiano wa Mungu na mwanadamu upo kiroho sio kuhisiwa kwenye milango ya fahamu ,leo uki-paralyze mwili mzima unaweza usifanye kazi kwa kukosa ushirikiano ila unakuwa upo hai kutokana na roho yako ipo hai..
 
Mkuu mimi sijui maana ya Yesu kujaribiwa mara tatu, nipe darasa

Sana sana mi na shangaa tu inakuaje Mungu(Yesu) aliye muumba shetani halafu shetani amjaribu Mungu aliyemuumba
Hiyo sio hoja kwamba Mung hayupo labda upande huo ndio ndio una maelezo yanashindwa kueleza uungu huo.

Mungu yupo ndio maana watu wanaabudu mizimu yote wanalenga sifa za Mungu mweny uwezo wa kiutawala hapa dunia ...Watu wa approach tofauti ila lengo Mungu huyo.

Mtu anaweza kuabdu sanamu kama Mungu ,wengine miti kwa sababu nafsi ya binadamu inatambua uwezo wa Mungu ishu ni kumjua Mungu wa kweli ndio tatizo kutokana na sifa ...

Unaweza kusema unategemea sanamu ndio Mungu halafu sanamu hilo umelichonga mwenyewe 😂😂😂
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kuua watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Umeandika sana ila hakuna cha maana yaani wewe ni hayawani.. umekufuru Mungu na siku yako ya taabu yaja tulia hivyo hivyo dawa ya uchungu utaielewa..
 
Kwanza Thibitisha kwamba Mungu yupo.

Kisha ndio ueleze sababu za
kuto kufuriwa?

Mungu hayupo.
Hiyo pumzi unayovuta na ufahamu uliokufanya kuandika haya mauchafu yako alikupa nani? Pumbavu
 
Uthibitisho wa kwanza Mungu yupo ni wa kiasilia wala hakuna haja ya kupiga kelele.

Ipo hivi ,jamii zetu kihistoria hata uende kwa wahadzabe wanaoishi porini kuna kitu wanaabudu ambacho ni imagery yaani kinabaki kama imani ya moyoni ,wanaweza kuabudu hata mti kwa sababu mambo yanayotokea dunia hakuna kiumbe hai (anayeonekana anaratibu hayo mambo) kama magonjw ,vifo ,ulemavu ,watu kuzaliwa na jinsia tofuati & watu kuzaliwa na kasoro....Mfumo mzima wa maisha ya binadamu hakua ajuaje kesho ina maana akili ya binadamu hata yule primitive kabisa kama mnavyosoma alikuwa anaabudu kitu ambacho kipo kweny ulimwengu wa kiroho.



Binadamu wa zamani walikuwa na upeo mkubwa sana wa mambo ndio maana waliweza kuabudu hata miti na mizimu kwa sababu walijua binadamu halisi hana achojua kuhusu kesho yake ,kama laiti angejue angekuwa mtu wa kuhairisha mambo (procrastinating ) ...Nina maana gani kama mtu leo anajua anaenda kupata ajali basi asingeenda hiyo safari wala kupanda hiko kipando (gari, pikipiki,baiskeli)


Maisha ya binadamu ni fumbo hata yule Hawking na kejele zote ila kaishia kuwa zombie(paralyzed) hajielewi yaani yeye pia na akili zote hajui kesho yake ,je kapenda kuwa vile wakati alihangaika kujibu ikashindikana mpaka kama kama zombie mpaka umauti unamfika..

Wanakuja wazungu na wanasayansi nguli[emoji3578][emoji3578]
Mapema kabisa wanadamu anapoanza kufanya ugunduzi anakujw kugundua kila kinatokea katika "muunganiko wa hatua na force zinawezesha hilo jambo kufanyika" finally wanakuja kukubali kila kitu kinaendeshwa na "mechanism" ina maana kutokea kwa kila kitu kuna sababu...

Mbegu lazima ipande kweny ardhi kama sio lazima labda maabara basi lazima ipate mwanga na oxygen ,mtoto lazima patokee muingiliano wazazi kama ni surrogance lazimq mbegu za wazazi zikutane ...
Ina maana hata utengenezaji wa vitu dunia mpaka ndege na magari ,wataalum walitumbia formular ya mechanism na kufanya kitu fulani kifanye hivi kama ni gari itembee ,kama mashine izalishe .

Je ulimwengu huu hauna mechanism?[emoji3578] Na kama zipo je ni nn kipo chum ya mechanism hzi zinazoleta usiku na mchana ,kuzama kwa jua,kupata majria mbalimbali ya mwaka...kama mvua hutokana na miti mbona jangwani inayesha japo kwa uchache ..


Kuna binadamu anapenda kuzaa mtoto chizi ? Kuna binadamu anapenda kufeli mitihani yake ya kimasomo ? Kwa nn wengine wapo vizuri darsani na wengine la basi tuseme ni genetic zq ukoo na familia ila ipo familia ina vipanga na bado kuna mwamba anakuja kulamba zero kutoka familia hiyo hiyo.

What if kama binadamu wasingekuwa tofauti yaani wote wapo sawa ni wazima(hamna mgonjwa) ,wote wana pesa, wote weupe ,wote jinsia moja .
..

Ni kwamba tusingekuwa na mfumo wa kiutawala kwanza baina yetu na pia isingekuwa dunia hii tunaoishi.
Mungu ni dhana ya kufikirika, Haipo katika uhalisia.
 
Binadamu ukianzia milango yake ya fahamu na mifumo ya dunia yote ni dhaifu.

Ndo maana hauwezi kusikia sauti ya mtu aliyopo kms 10 mpaka utumie simu (escorting aid) ..Ukizungumzia milango ya fahamu kuhisi ,kusikia, kuonja ,kuona mengi hata kuna watu wanazaliwa vipofu kabisa..

Waafrica hata wazungu wanaabudu mizimu hapa sitakueleza zaidi ni vip wazungu wanaabudu? wazungu kama unabisha kawaulize hata wanaokaa na wazungu wapo wenye imani za mizimu (sio kama ya Africa) ila ndo hivyo wanaabudu kitu hawakioni.

Kama una akili timamu maziko ya Queen Elizabeth yamefanyika kimatambiko na imani kuna vitu walificha ,plus kusimikwa mfamle mpya pia walifanya kama waafrica ..

Uhusiano wa Mungu na mwanadamu upo kiroho sio kuhisiwa kwenye milango ya fahamu ,leo uki-paralyze mwili mzima unaweza usifanye kazi kwa kukosa ushirikiano ila unakuwa upo hai kutokana na roho yako ipo hai..
Je kitu hicho kinacho abudiwa bila kuonekana kimeleta matokeo gani chanya yaliyo msaidia binadamu?

Kwa nini tena inabidi sayansi na wanasayansi waumize vichwa vyao kufanya utafiti na uchunguzi wa kisayansi kurahisisha maisha ya mwanadamu.

Kwa nini nguvu hizi za kiroho zishindwe kufanya kazi katika uhalisia wa kuonekana?
 
Uthibitisho wa kwanza Mungu yupo ni wa kiasilia wala hakuna haja ya kupiga kelele.

Ipo hivi ,jamii zetu kihistoria hata uende kwa wahadzabe wanaoishi porini kuna kitu wanaabudu ambacho ni imagery yaani kinabaki kama imani ya moyoni ,wanaweza kuabudu hata mti kwa sababu mambo yanayotokea dunia hakuna kiumbe hai (anayeonekana anaratibu hayo mambo) kama magonjw ,vifo ,ulemavu ,watu kuzaliwa na jinsia tofuati & watu kuzaliwa na kasoro....Mfumo mzima wa maisha ya binadamu hakua ajuaje kesho ina maana akili ya binadamu hata yule primitive kabisa kama mnavyosoma alikuwa anaabudu kitu ambacho kipo kweny ulimwengu wa kiroho.



Binadamu wa zamani walikuwa na upeo mkubwa sana wa mambo ndio maana waliweza kuabudu hata miti na mizimu kwa sababu walijua binadamu halisi hana achojua kuhusu kesho yake ,kama laiti angejue angekuwa mtu wa kuhairisha mambo (procrastinating ) ...Nina maana gani kama mtu leo anajua anaenda kupata ajali basi asingeenda hiyo safari wala kupanda hiko kipando (gari, pikipiki,baiskeli)


Maisha ya binadamu ni fumbo hata yule Hawking na kejele zote ila kaishia kuwa zombie(paralyzed) hajielewi yaani yeye pia na akili zote hajui kesho yake ,je kapenda kuwa vile wakati alihangaika kujibu ikashindikana mpaka kama kama zombie mpaka umauti unamfika..

Wanakuja wazungu na wanasayansi nguli[emoji3578][emoji3578]
Mapema kabisa wanadamu anapoanza kufanya ugunduzi anakujw kugundua kila kinatokea katika "muunganiko wa hatua na force zinawezesha hilo jambo kufanyika" finally wanakuja kukubali kila kitu kinaendeshwa na "mechanism" ina maana kutokea kwa kila kitu kuna sababu...

Mbegu lazima ipande kweny ardhi kama sio lazima labda maabara basi lazima ipate mwanga na oxygen ,mtoto lazima patokee muingiliano wazazi kama ni surrogance lazimq mbegu za wazazi zikutane ...
Ina maana hata utengenezaji wa vitu dunia mpaka ndege na magari ,wataalum walitumbia formular ya mechanism na kufanya kitu fulani kifanye hivi kama ni gari itembee ,kama mashine izalishe .

Je ulimwengu huu hauna mechanism?[emoji3578] Na kama zipo je ni nn kipo chum ya mechanism hzi zinazoleta usiku na mchana ,kuzama kwa jua,kupata majria mbalimbali ya mwaka...kama mvua hutokana na miti mbona jangwani inayesha japo kwa uchache ..


Kuna binadamu anapenda kuzaa mtoto chizi ? Kuna binadamu anapenda kufeli mitihani yake ya kimasomo ? Kwa nn wengine wapo vizuri darsani na wengine la basi tuseme ni genetic zq ukoo na familia ila ipo familia ina vipanga na bado kuna mwamba anakuja kulamba zero kutoka familia hiyo hiyo.

What if kama binadamu wasingekuwa tofauti yaani wote wapo sawa ni wazima(hamna mgonjwa) ,wote wana pesa, wote weupe ,wote jinsia moja .
..

Ni kwamba tusingekuwa na mfumo wa kiutawala kwanza baina yetu na pia isingekuwa dunia hii tunaoishi.

Hujajibu wala kutoa uthibitisho wa uwepo wa MUNGU(Ingawaje mimi nili assume Mungu yupo na nikajaribu ku reason uwepo wake na maandiko yake na nguvu zake na uhalisia uliopo nikaona havileti MANTIKI)

Ulichofanya ni kuchukulia yale mambo ambayo binadamu hana ufahamu nayo na kuhalalisha ni ya Kimungu

Sio lazima binadamu ajue kila kitu na hii sio sababu ya kuhalalisha uwepo wa Mungu

Dhana ya Mungu kimsingi imezaliwa kwa muktadha huo wa kuhisi kuna superpower

Binadamu kapitia vipindi vingi na muda mrefu kuwa hapa tulipo leo na ushahidi wa kimazingira na mabaki vinathibitisha hivyo

Alianza na kipindi kinaitwa unknown, yaani hapa alikua anaishi kama wanavyoishi wanyama porini, hana maarifa yoyote zaidi ya kula kulala na kukimbia maadui

Kadiri vizazi vilivyozidi maarifa yakaongeza akaanza kujua kwanini hiki kinakua hivi na vile na afanye nini

Kadiri vizazi na vizazi akapata ufahamu mkubwa wa mambo mengi sana lakini kuna mambo hakupata kabisa majibu yake
Hapa sasa ndio dhana ya kuwa basi itakuwa kuna superpower inayo control hayo mambo
Hapa sasa zikaanza kuibuka nadharia za “Mungu”
Ziliibuka dhana nyingi kila mtu akaabudu kulingana geography ya alipo, wapo waliabudu jua mwezi bahari miti mapango nk nk
Kuna watu wawili ambao walishawishi sana watu kuwa wametumwa na Mungu ambao uongo wao ulipata mashiko sana
Watu hao ni Yesu na Mohammed(walikuwepo na wengine kama daudi musa nk)
Walifanikiwa sana kwasababu kwanza walikua very smart kichwani kujua namna ya kucheza na akili za watu

Wote wawili hawakuanzisha dini zao from za scratch, walichofanya wao ili kupata watu waliokua wana imani zingine ni kuwahadaa wamekuja kukamilisha walipoishia wengine na wao kupewa maelekezo mapya na Mungu

Yesu alisema amekuja kuijazilizia torati zaburi nk hivyo watu wote waliokua na imani toka Musa hadi Yohana wamkubali maana hapingani nao bali kaja kujazilizia nyama

Same applied to Mohammed, yeye alijifanya anaongea na Mungu na kaja kujazilizia nyama torati zaburi injili hivyo waliokua na imani toka enzi ya Musa hadi Yesu wamkubali

Kwahiyo hata sasa waamini Mungu mmebakia na nadharia ile ile ya lazima kuna kitu ambacho kina majibu ya vitu tusivyo vijua ambacho ni MUNGU
 
Hiyo pumzi unayovuta na ufahamu uliokufanya kuandika haya mauchafu yako alikupa nani? Pumbavu
Hakuna aliyenipa ufahamu wala pumzi ninayo ivuta.

Pumzi ipo tu, Na wala haina ulazima wa kwamba kuna mtu ali iweka.


Kama una uhakika na uthibitisho wa kwamba pumzi hii tumepewa na iliwekwa, Thibitisha, Na si mawazo yako ya kufikirika tu.

Kwanza kwa nini unadhani pumzi iliwekwa?

Kama kila kitu lazima kiwe kimewekwa, Basi hata Mungu hawezi kuwepo tu bila kuwekwa.

Na mimi naku uliza hivi, Mungu huyo aliwekwa na nani?

Ukishindwa kujibu Mungu huyo aliwekwa na nani, Na wewe ni Pumbavu vilevile,

Kwa vile una amini visivyo kuwepo.
 
Back
Top Bottom