Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Ugumu kwa binadamu wote in terms of shida na matatizo uwe mzungu au mwafrika lazima upate ugumu kweny nyanja yeyote ile ya maisha ...Huo ugumu ndio kuwafanya binadamu wawe swa ulimwengu mzima .

Wewe unamtaka Mungu zaidi kweny nn labda ? Umuone ili labda unataka nn haswa?[emoji23][emoji23] Mungu amekupa akili na mambo mengine ya vipawa ili usiwe mtumwa wa binadamu mwenzio kwa kumuabudu binadamu mwenzio ambye kesho anaweza kufa je utamtegemea nan?


Sio kuungua na kibiriti nishapata ajali kabisa na baadhi walikufa katika ajali hiyo.

Mungu yupo milele

Mimi Zizungumzii ugumu wa maisha........ ingawaje haiingii akilini inakuwaje kosa afanye Adam na Hawa adhabu tujekupewa watu wote duniani wakati hatukuwepo wakati wanafanya hayo makosa..... this is not fair at all
Just imagine Mungu kawaumba wawili tu duniani tena wakiwa bado wageni duniani akawapa shetani(nyoka) awarubuni
Na alipo warubuni aka walaani na kutupa suluba hadi ambao hatujazaliwa.... huyu Mungu wa ajabu sana aisee

Back to topic
Ugumu ninao umaanisha mimi ni huo wa kwanini hadi uzame “rohoni” ndio ujue uwepo wake? au wa kubaini Mungu wa kweli ni yupi wakati anajua kabisa watu wanawalisha watoto wao imani na ndio zinakuja kuwa imani zao?
Wakati huo ukikosea tu “Mungu sahihi” huo moto unao ujua wewe utachomwa nao MILELE na MILELE

Kwanini kumjua Mungu isiwe rahisi kama 1+1=2 ?
Ili watu tumjue Mungu wa kweli na kumuabudu tukale bata peponi...... HII NDIO SABABU NATAKA KUMJUA KAMA YUPO

Utumwa ulikuwepo na vitabu vya mungu vinaujua na kuutambua ni halali kabisa.
Ni akili za binadamu zilizo upiga marufuku sio MUNGU

Mbona hii dhana ya Mungu ina jitengeneza kama ni jitu fulani katili sana linalo mtega tu binaadamu ili limtupe jehanamu?
Au ndio maana aliumba jehanamu mapeeema ili aje atusulubu?
 
Mimi Zizungumzii ugumu wa maisha........ ingawaje haiingii akilini inakuwaje kosa afanye Adam na Hawa adhabu tujekupewa watu wote duniani wakati hatukuwepo wakati wanafanya hayo makosa..... this is not fair at all
Just imagine Mungu kawaumba wawili tu duniani tena wakiwa bado wageni duniani akawapa shetani(nyoka) awarubuni
Na alipo warubuni aka walaani na kutupa suluba hadi ambao hatujazaliwa.... huyu Mungu wa ajabu sana aisee

Back to topic
Ugumu ninao umaanisha mimi ni huo wa kwanini hadi uzame “rohoni” ndio ujue uwepo wake? au wa kubaini Mungu wa kweli ni yupi wakati anajua kabisa watu wanawalisha watoto wao imani na ndio zinakuja kuwa imani zao?
Wakati huo ukikosea tu “Mungu sahihi” huo moto unao ujua wewe utachomwa nao MILELE na MILELE

Kwanini kumjua Mungu isiwe kama 1+1=2 ?

Utumwa ulikuwepo na vitabu vya mungu vinaujua na kuutambua ni halali kabisa.
Ni akili za binadamu zilizo upiga marufuku sio MUNGU

Mbona hii dhana ya Mungu ina jitengeneza kama ni jitu fulani katili sana linalo mtega tu binaadamu ili limtupe jehanamu?
Baba yako unaweza kumuita mkatili kwa KUTOMTII...atakufungia bandani siku 2 bila ya kula.....kama inawezekana kwake ni kwanini isiwezekane kwa Mungu kwa KUTOTII maagizo yake na mwishowe akakuadhibu?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi Zizungumzii ugumu wa maisha........ ingawaje haiingii akilini inakuwaje kosa afanye Adam na Hawa adhabu tujekupewa watu wote duniani wakati hatukuwepo wakati wanafanya hayo makosa..... this is not fair at all
Just imagine Mungu kawaumba wawili tu duniani tena wakiwa bado wageni duniani akawapa shetani(nyoka) awarubuni
Na alipo warubuni aka walaani na kutupa suluba hadi ambao hatujazaliwa.... huyu Mungu wa ajabu sana aisee

Back to topic
Ugumu ninao umaanisha mimi ni huo wa kwanini hadi uzame “rohoni” ndio ujue uwepo wake? au wa kubaini Mungu wa kweli ni yupi wakati anajua kabisa watu wanawalisha watoto wao imani na ndio zinakuja kuwa imani zao?
Wakati huo ukikosea tu “Mungu sahihi” huo moto unao ujua wewe utachomwa nao MILELE na MILELE

Kwanini kumjua Mungu isiwe rahisi kama 1+1=2 ?
Ili watu tumjue Mungu wa kweli na kumuabudu tukale bata peponi...... HII NDIO SABABU NATAKA KUMJUA KAMA YUPO

Utumwa ulikuwepo na vitabu vya mungu vinaujua na kuutambua ni halali kabisa.
Ni akili za binadamu zilizo upiga marufuku sio MUNGU

Mbona hii dhana ya Mungu ina jitengeneza kama ni jitu fulani katili sana linalo mtega tu binaadamu ili limtupe jehanamu?
Au ndio maana aliumba jehanamu mapeeema ili aje atusulubu?
Mungu yupo na binadamu wote ni hulka kuwa na mitihani sio rahisi uumbwe dunia ukae tu bila ya kusumbua akili ,hiyo sio tabia ya kibadamu lazima watu wahangaike dunia na ili kuonyesha ushupavu ni kukabiliana na mitihani hata shule unapewa mitihani kuangali uwezo wako ukoje.

Kumjua Mungu hata wewe unamjua ndio maana unakataa yesu sio Mungu kwa vile kateswa na binadamu , basi huo unayemfikria ndio huyo Mmoja na hawezi kuteswa msalabani.

Mungu sio katili kama unavyofikria ,Mungu ni mwema anasamehe Mfano imagine hapa kuna watu wanadhulumu ,wanaua watu ila bado wapo hai ni kwamba wana mda wa kutubia ...Ila hapa Tanzania ukiua leo ukikamatwa kisheria unapewa hukuma ila hukumu za Mungu hazipo hivyo.


Ushwahi kukutana na binadamu wanadhulumu haki za watu kama pesa hawa ndio hawana huruma kabisa ,wanaibia mpaka masikini tena viongozi kabisa hawa ndio hawana huruma.
 
Huu ujasiri unautoa wapi ndugu yangu?

Mungu yupo na hakika wakati ukifika utajutia haya uliondika

Walikuwepo wengi waliompinga lakini sasa wako wapi?
Hata wewe utapita lakini Neno la MUNGU litasimama daima hadi ukamilifu wa dahari
Mungu yupo na anatupenda, si ndio?
Sasa kwanini Kuna watoto Muhimbili Wana cancer?

Wamekosa nini?

#YNWA
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kuua watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Kosa lako bado hujaelewa neno mungu linamaanisha nini? Jaribu kuelewa kwanza usilaumi.
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kuua watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
HAYA NDIO MAFUNDISHO YA KI-ILLUMINATI, MKO VIZURI SANA KUVUGA WATU, NA MTAWAPATA WAPUMBAVU WENGI, MAANA WAPO WENGI KAMA WEWE.
 
Kosa lako bado hujaelewa neno mungu linamaanisha nini? Jaribu kuelewa kwanza usilaumi.

Hebu nieleweshe mkuu “neno Mungu” lina maana gani

Mimi sijalaumu, nimejenga hoja ya Umungu na yaliopo nikaona hakuna MANTIKI

Nifahamishe [emoji120]
 
Baba yako unaweza kumuita mkatili kwa KUTOMTII...atakufungia bandani siku 2 bila ya kula.....kama inawezekana kwake ni kwanini isiwezekane kwa Mungu kwa KUTOTII maagizo yake na mwishowe akakuadhibu?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Kwahiyo Mungu baba muumba wa vyote unamlinganisha na baba yangu labda alikua mtu wa tungi anatembeza bakora tu hataka kama huna kosa?

Makosa kafanya Adam na hawa iweje tuadhibiwe dunia nzima?
Tena yeye mwenyewe ndio kamtupia huyo nyoka aliyeshindwana naye na nyoka huyo akaapa kwa Mungu kuwa atapotosha binaadamu

Huyu Mungu alitarajia nini sasa wakati kamuumba Adam na Hawa akawapa udhaifu wa kupotoka na akampa shetani uwezo wa kupotosha halafu walipo potoshwa eti akakasirika na akawalaani wao na vizazi vyao vyote
Huyu ndio Mungu anatupenda kweli?
 
Mungu yupo na binadamu wote ni hulka kuwa na mitihani sio rahisi uumbwe dunia ukae tu bila ya kusumbua akili ,hiyo sio tabia ya kibadamu lazima watu wahangaike dunia na ili kuonyesha ushupavu ni kukabiliana na mitihani hata shule unapewa mitihani kuangali uwezo wako ukoje.

Kumjua Mungu hata wewe unamjua ndio maana unakataa yesu sio Mungu kwa vile kateswa na binadamu , basi huo unayemfikria ndio huyo Mmoja na hawezi kuteswa msalabani.

Mungu sio katili kama unavyofikria ,Mungu ni mwema anasamehe Mfano imagine hapa kuna watu wanadhulumu ,wanaua watu ila bado wapo hai ni kwamba wana mda wa kutubia ...Ila hapa Tanzania ukiua leo ukikamatwa kisheria unapewa hukuma ila hukumu za Mungu hazipo hivyo.


Ushwahi kukutana na binadamu wanadhulumu haki za watu kama pesa hawa ndio hawana huruma kabisa ,wanaibia mpaka masikini tena viongozi kabisa hawa ndio hawana huruma.

Kwanza elewa kwamba nime assume Mungu yupo kisha nikaanza kuoanisha dhana ya Mungu na uhuhalisia kwa kutumia logic ya kawaida kabisa

Rejea “kitabu cha Mungu” Bibilia kasome ujue maisha Mungu aliyomuumbia Adam na Hawa pale Edeni na jinsi walivyo ishi kwa raha
Kisha Mungu akazinguana na Shetani “mbinguni” akamtupa shetani duniani kwa Adam na Eva
Kumbuka kamuumba Adam na eve kama viumbe dhaifu vinavyo rubunika na kamuumba shetani mwenye uwezo mkubwa wa kurubuni

Halafu Shetani alivyo mrubuni Adamu na eva Mungu huyu huyu akashangaa inakuaje adamu na hawa wamerubunika? akakasirika kabisa na akamlaani Adam na eva na vizazi vyake vyote utadhani sio yeye aliye waumba adam na shetani na akawapa uwezo kila mtu na wake
Haya mambo yanahitaji kujitia upofu wa imani kuyaelewa aisee

Hii kadhia yote unayoita mitihani na kuhangaika ni laana ya adam kurubuniwa na sio “hulka ya binadamu” kwa mujibu wa “neno la Mungu”

Mambo yanayo kosa logic ni
Kwanini Mungu anaye mpenda binadamu amtupie shetani aliyezinguana naye huko mbiguni wakati anajua uwezo wake mkubwa dhidi ya binadamu

Kwanini makosa wamefanya adamu na eva adhabu yake wapewe binadamu wote?
 
Kwanza elewa kwamba nime assume Mungu yupo kisha nikaanza kuoanisha dhana ya Mungu na uhuhalisia kwa kutumia logic ya kawaida kabisa

Rejea “kitabu cha Mungu” Bibilia kasome ujue maisha Mungu aliyomuumbia Adam na Hawa pale Edeni na jinsi walivyo ishi kwa raha
Kisha Mungu akazinguana na Shetani “mbinguni” akamtupa shetani duniani kwa Adam na Eva
Kumbuka kamuumba Adam na eve kama viumbe dhaifu vinavyo rubunika na kamuumba shetani mwenye uwezo mkubwa wa kurubuni

Halafu Shetani alivyo mrubuni Adamu na eva Mungu huyu huyu akashangaa inakuaje adamu na hawa wamerubunika? akakasirika kabisa na akamlaani Adam na eva na vizazi vyake vyote utadhani sio yeye aliye waumba adam na shetani na akawapa uwezo kila mtu na wake
Haya mambo yanahitaji kujitia upofu wa imani kuyaelewa aisee

Hii kadhia yote unayoita mitihani na kuhangaika ni laana ya adam kurubuniwa na sio “hulka ya binadamu” kwa mujibu wa “neno la Mungu”

Mambo yanayo kosa logic ni
Kwanini Mungu anaye mpenda binadamu amtupie shetani aliyezinguana naye huko mbiguni wakati anajua uwezo wake mkubwa dhidi ya binadamu

Kwanini makosa wamefanya adamu na eva adhabu yake wapewe binadamu wote?
Elewa hiyo ni nadharia ya Mungu katika dini ndio maana umerejea kweny bible..

Mungu yupo labda maelezo ya bible kwako hayana logic ..
 
Back
Top Bottom