Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Mkuu,

Kisicho kuwepo Haki hitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo either ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Sasa Mungu hayupo kwa namna yeyote ile, Haonekani, Hashikiki wala Hasikii.

Ni dhana ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.
Gesi ya oxygen ipo?
 
Hivi,huwa unasoma biblia Kama wewe ni mkristo?Umewahi kupata miongozo ya namna ya kuisoma?Huwa unauliza unapotatizika au huwa unakimbilia kulalama tu?Unaamini katika lipi hadi sasa?
😂😂😂Hao wenye miongozo si ndo wachungaji wa madhehebu na makanisa laki moja duniani... ingekuwa easy hivyo si ukristo ungekuwa mmoja...
 
Kinachosikitisha zaidi

Hao Waliotuletea hizi dini ndo hao hao

1.walowatesa Babu zetu kwa vipigo Kisha kuwauza utumwani Kama bidhaa[emoji26]

2. wanaosema sisi waafrika chimbuko letu Ni nyani
😂Bible na Quran zote zinaruhusu utumwa...asa utasema ni vitabu vya Mungu kweli
 
Huu ujasiri unautoa wapi ndugu yangu?

Mungu yupo na hakika wakati ukifika utajutia haya uliondika

Walikuwepo wengi waliompinga lakini sasa wako wapi?
Hata wewe utapita lakini Neno la MUNGU litasimama daima hadi ukamilifu wa dahari
😂😂😂Hata wewe utapita pia...kwani anayempinga Mungu ndo Hafi au...😂mbona unaongea utoto
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kuua watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
May Allah Almighty guide you!!!
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kuua watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Imani za kidini ni shambulio la akili.
 
😂😂😂maswali ya kijinga Kama haya tushakataaga, Rudi form 2 nenda maabara wakakuonyeshe evidence ya oxygen...afu ukitoka hapo type evidence ya dini kuwa kweli...
Acha kiherehere sikukuuliza wewe.
 
Hivi,huwa unasoma biblia Kama wewe ni mkristo?Umewahi kupata miongozo ya namna ya kuisoma?Huwa unauliza unapotatizika au huwa unakimbilia kulalama tu?Unaamini katika lipi hadi sasa?
Kwanini biblia ya Mungu huyo inahitaji miongozi mingine?

Jibu ni kwamba haijitoshelezi tu.

Na ndiyo maana inajipinga yenyewe.

Yani ni kitabu hata Geography kuhusu ulimwengu tu ni imeandika uongo lakini cha ajabu ni kwamba watu wameyang'ang'ania.

Kama unabisha Prove me wrong.
 
Huu ujasiri unautoa wapi ndugu yangu?

Mungu yupo na hakika wakati ukifika utajutia haya uliondika

Walikuwepo wengi waliompinga lakini sasa wako wapi?
Hata wewe utapita lakini Neno la MUNGU litasimama daima hadi ukamilifu wa dahari
Neno Mungu litabaki kwenye historia kuelezea zama za giza na ujinga na si vinginevyo.

Ni sawa na Mungu Thor, Pseudo n. K
Wote hawa wamebaki kuwa historia tu.

Saizi radi inaelezeka kirahisi tu si Mungu Thor tena ambaye alikuwa ndiye mhusika.
 
Mpumbavu usema moyoni mwake kuwa hakuna MUNGU, SI maneno yangu ni bible

Kama hauamini uwepo wa Mungu Kwa sababu haumuoni basi hamini pia kutokuwepo kwa hewa au upepo kwa kuwa hauuoni wala uwezi kuushika, pumbavu.
😂Nenda beach rusha karatasi itapepea..huo ni upepo unaopeperesha...haya jibu dini Zina ukweli gani
 
Kwahiyo msingida point yako niipi au baada ya kuandika hivi nini kifanyike. Kumbuka huu ubaya wote uliopo duniani ungekuwa mara dufu bila dini kwahiyo unataka kufumbia watu macho ili uhalifu oungezeke sio???
😂Watu wanakesha club jumapili wanaamkia kwa mwamposa...😂vita kibao zimepigana kisa dini . Watu wameteswa wameuliwa kisa dini..utumwa umekubaliwa na dini zote . Na nchi ambazo wadini wachache ndo wanaongoza kwa human rights na maisha Bora...cjui unajikosha Nini sasa
 
unaonekana umesoma soma lkn kumkichwa bado kumejaa viazi mbatata
 
Kisichokuwepo hakipo...!! hata kukitamka au kukifikiria haiwezekani maana hakipo...huwezi ukasema Mungu halafu ukasema hayupo....umejuaje Hayupo halafu ukamtamka....!

Hoja dhaifu sana hii mkuu

Nimezaliwa nikabatizwa hata sijapata ufahamu kamili
Toka akili yangu ipo empty imekua ikijazwa nadharia hii ya Mungu akilini mwangu

Niliaminishwa kuhusu Mungu toka utotoni
Fanya hivi Mungu anataka
Usifanye hivi mungu hapendi la sivyo ni dhambi na utachomwa moto siku ya mwisho
Na asiye ogopa kuchomwa moto milele? Nikaamini

Nikahudhuria Sanday school nikalishwa sana matangopori kuhusu Mungu
Nikahudhuria Kipaimara nikalishwa sana matangopori
Nikahudhuria sana ibadani kila jumapili nikalishwa sana matangopori

Binadamu wote walio nizunguka wanamuongelea Mungu

Halafu leo unaniuliza nimemjuaje ?
Sio nimemjuaje tu, nimejaribu kumuishi lakini nikabaini ni UONGO MTUPU
 
Back
Top Bottom