Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Je kitu hicho kinacho abudiwa bila kuonekana kimeleta matokeo gani chanya yaliyo msaidia binadamu?

Kwa nini tena inabidi sayansi na wanasayansi waumize vichwa vyao kufanya utafiti na uchunguzi wa kisayansi kurahisisha maisha ya mwanadamu.

Kwa nini nguvu hizi za kiroho zishindwe kufanya kazi katika uhalisia wa kuonekana?
Maswali mazuri sana!

👉kitu kinachoabudiwa kimeleta uunganisho wa binadamu weny rangi ,asili ,jinsi ,uwezo ,lugha , elimu ,kipato wote kuwa sawa chini ya jua na kwamba wao wote ni wamoja ...what if nje ya Mungu ni kwamba wazungu wanaamini sisi waafrica tulikuwa nyani!?bila ya Mungu wetu kuwekea sifa za kibadamu kama kuzaa na kufa unafikria una kitu gani ya kuwambia mzungu wewe na yeye wote ni binadamu ?

👉 Wanasayansi ni binadamu kwanza tutambue pia rejea kiumbe kilichopewa mamlaka na uwezo wa juu dunia ni binadamu ,amepewa vipawa ili kuja kutawala dunia yote kwa namna yeyote ma kila siku mwanadamu anapambania kuyakabili maisha yake hii kutokana na asili ya uwezo wake wa kiakili ... Binadamu anafanya utafiti sio wa kimaendeleo hata wa kumjua Mungu wake ndio maana hata wewe unakataa hamna Mungu ila deep down ukikaa unatafakari "Huyo Mungu ni nan " ...Tangu zamani ushawahi kuona wanyama wakiwa wana maendeleo yani kutoka kuishi msituni mpaka kuwa mjini na kumiliki nyumba ,bali ni binadamu pekee waliishi misituni zamani mpaka sasa wamafika mbali kielimu na kuzidi kupambana na mazingira ila wanyama wapo vile vile miaka millions.

👉Nguvu za kiroho zinafanya kazi ila sio kimiujiza kama unayoamini ,wengi mnataka miujiza ndio maana mnatapeliwa yaani mpaka wewe unataka mambo ya kimiujuzi ndo maana wengi mnapigwa na mitume wa mchongo....Mambo ya kiroho ni mengi kwa vile usipuuze kitu kidogo kama afya tu ni neema kubwa sana ....Mimi naomba niwe na afya njema na mpaka sasa ninayo sio kwamba siwezi kuumwa la hasha naelewa umuhimu wa afya ,kesho naweza kuumwa au wewe kuumwa hata kufa yote ni nguvu ya mungu wakati leo upo mzima leo kuna mtu you ICU mda huu anapambania uhai wakr.
 
Binadamu ukianzia milango yake ya fahamu na mifumo ya dunia yote ni dhaifu.

Ndo maana hauwezi kusikia sauti ya mtu aliyopo kms 10 mpaka utumie simu (escorting aid) ..Ukizungumzia milango ya fahamu kuhisi ,kusikia, kuonja ,kuona mengi hata kuna watu wanazaliwa vipofu kabisa..

Waafrica hata wazungu wanaabudu mizimu hapa sitakueleza zaidi ni vip wazungu wanaabudu? wazungu kama unabisha kawaulize hata wanaokaa na wazungu wapo wenye imani za mizimu (sio kama ya Africa) ila ndo hivyo wanaabudu kitu hawakioni.

Kama una akili timamu maziko ya Queen Elizabeth yamefanyika kimatambiko na imani kuna vitu walificha ,plus kusimikwa mfamle mpya pia walifanya kama waafrica ..

Uhusiano wa Mungu na mwanadamu upo kiroho sio kuhisiwa kwenye milango ya fahamu ,leo uki-paralyze mwili mzima unaweza usifanye kazi kwa kukosa ushirikiano ila unakuwa upo hai kutokana na roho yako ipo hai..

Wewe haya mambo ya Mungu yupo kiroho uliambiwa na nani? Mungu mwenyewe?

Au umesoma barua za mtume paulo kwa wakorintho na kuhalalisha ni “maneno ya Mungu”

Hivi mkuu unajua “Bibilia” imeandikwaje na ninani kaiandika, ni nani kachagua kaongeza na kapunguza vitabu vya bibilia?

Au wewe kazi yako ni kusoma tu Kwakuwa bibilia ni “Maneno ya Mungu”?

Mnapata taabu sana kuhalalisha uwepo wa Mungu kwa kumjengea kichaka cha “rohoni”

Ukiulizwa rohoni ni wapi utaanza kutengeneza nadharia mfu

Hizo “rohoni” kwanini Mungu azifiche hivyo iwe tabu kweli kueleweka?
Ili apate sababu ya kutuchoma moto?
 
Umeandika sana ila hakuna cha maana yaani wewe ni hayawani.. umekufuru Mungu na siku yako ya taabu yaja tulia hivyo hivyo dawa ya uchungu utaielewa..

Hivi ndio vitisho vinatumika ukitaka kujua ukweli kuhusu Mungu

Kuna muungwana mmoja huko Arabia eti alikua anashushiwa aya kuwakata vichwa wanaompinga Mungu

Unakufuru vipi kitu ambacho hakipo mkuu
 
Wewe haya mambo ya Mungu yupo kiroho uliambiwa na nani? Mungu mwenyewe?

Au umesoma barua za mtume paulo kwa wakorintho na kuhalalisha ni “maneno ya Mungu”

Hivi mkuu unajua “Bibilia” imeandikwaje na ninani kaiandika, ni nani kachagua kaongeza na kapunguza vitabu vya bibilia?

Au wewe kazi yako ni kusoma tu Kwakuwa bibilia ni “Maneno ya Mungu”?

Mnapata taabu sana kuhalalisha uwepo wa Mungu kwa kumjengea kichaka cha “rohoni”

Ukiulizwa rohoni ni wapi utaanza kutengeneza nadharia mfu

Hizo “rohoni” kwanini Mungu azifiche hivyo iwe tabu kweli kueleweka?
Ili apate sababu ya kutuchoma moto?
😂😂Nacheka sana binadamu hajawahi kuhisi uwepo wa Mungu kwa kutumia milango ya fahamu kama walemavu wapo tangu zamani......Wapo vipofu wanaongoza matambiko kweny jamii fulani wakiwa wanaomba.

Roho ya binadamu ndio inafanya kuamini kuna kitu kipo nje kinachoongozq ulimwengu ndio maana kuna mizimu watu wanaomba kwa watu waliokufa kwamba wana nguvu katika jamii zao japo hawapo hai ....

Watu wanachija wanyama kunywesha mizimu ambayo hawaioni 😁😁ila rohoni wanajua wapo hai na kuabudu.


Sijazungumzia kuhusu kitabu cha nn wala usikimbilie huko hata kiakili tu inaeleweka kuna roho ndo kila kitu kwa binadamu kuwa hai ,maana milango ya fahamu inaweza kutofanya kazi na ukaishi vizuri.
 
Nacheka sana binadamu hajawahi kuhisi uwepo wa Mungu
Pesa ndio MUNGU zingine mbwembwe tu za mtandaoni Ila Pesa ni MUNGU tosha
MUNGU 👇
102335275-euros-dollars.jpg
 
Hiyo sio hoja kwamba Mung hayupo labda upande huo ndio ndio una maelezo yanashindwa kueleza uungu huo.

Mungu yupo ndio maana watu wanaabudu mizimu yote wanalenga sifa za Mungu mweny uwezo wa kiutawala hapa dunia ...Watu wa approach tofauti ila lengo Mungu huyo.

Mtu anaweza kuabdu sanamu kama Mungu ,wengine miti kwa sababu nafsi ya binadamu inatambua uwezo wa Mungu ishu ni kumjua Mungu wa kweli ndio tatizo kutokana na sifa ...

Unaweza kusema unategemea sanamu ndio Mungu halafu sanamu hilo umelichonga mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa kwanini Mungu muumba vyote aweke “ugumu” sana kujua Mungu wa kweli ni yupi?

Halafu wakati huo katupa huo mtego huku katuumbia moto wa milele kuchoma watakaokosea

Hivi umewahi kuungua hata kidogo tu na kibiriti?

Sasa huyu Mungu kajificha ficha huko sijui “rohoni” wakati ametuumba tunatumia zaidi akili lakini kajificha huko halafu usipo mpata anakuchoma milele

U can’t be serious
 
Pesa ndio MUNGU zingine mbwembwe tu za mtandaoni Ila Pesa ni MUNGU tosha
Pesa haijawahi kuwa Mungu na pesa zinatesa wengi kweny ulimwengu mwingine wenzenu wanaprint na kutumia kama makaratasi na hautokuja kuwaona kweny list ya mabillionea ila wana pesa na wala hawana umaskini.


Celin Dion ana pesa kwa ila yupo kitandani hajui chochote cha kufanya akiwa hopless ,steven job nae kafariki na pesa zake na alipatwa ugonjwa akashindwa kujitibu na pesa zake.

Maisha ni matamu ila hata nyakati za ujana huwezi kurudisha kwa uzee japo wanajitahidi ila kufika miaka 200 ni ndotoe.
 
Sasa kwanini Mungu muumba vyote aweke “ugumu” sana kujua Mungu wa kweli ni yupi?

Halafu wakati huo katupa huo mtego huku katuumbia moto wa milele kuchoma watakaokosea

Hivi umewahi kuungua hata kidogo tu na kibiriti?

Sasa huyu Mungu kajificha ficha huko sijui “rohoni” wakati ametuumba tunatumia zaidi akili lakini kajificha huko halafu usipo mpata anakuchoma milele

U can’t be serious
Ugumu kwa binadamu wote in terms of shida na matatizo uwe mzungu au mwafrika lazima upate ugumu kweny nyanja yeyote ile ya maisha ...Huo ugumu ndio kuwafanya binadamu wawe swa ulimwengu mzima .

Wewe unamtaka Mungu zaidi kweny nn labda ? Umuone ili labda unataka nn haswa?😂😂 Mungu amekupa akili na mambo mengine ya vipawa ili usiwe mtumwa wa binadamu mwenzio kwa kumuabudu binadamu mwenzio ambye kesho anaweza kufa je utamtegemea nan?


Sio kuungua na kibiriti nishapata ajali kabisa na baadhi walikufa katika ajali hiyo.

Mungu yupo milele
 
Fedha ni Mali yangu na dhahabu ni Mali yangu asema Bwana MUNGU, MUNGU ni nani? MUNGU ni Pesa
👇View attachment 2743623
Fedha hizo ni zipi haswa ? fedha ni karatasi maalumu zenye hadhi ya pesa ,hata chuma inaweza kuwa ni fedha.


Sio guarantee ya kuishi milele still bado hauna pesa ndo maana mawazo yapo limited ngoja kwanza upate pesa ntakuelewesha ....
 
Fedha hizo ni zipi haswa ? fedha ni karatasi maalumu zenye hadhi ya pesa ,hata chuma inaweza kuwa ni fedha.
Nimesema Pesa, MUNGU Pesa ndio anaisimamia na kuitawala dunia wewe mpe jina lolote Ila dunia ipo chini ya MUNGU Pesa ukimkosa na unaugua kufa kufa utakufa tu
 
Nimesema Pesa, MUNGU Pesa ndio anaisimamia na kuitawala dunia wewe mpe jina lolote Ila dunia ipo chini ya MUNGU Pesa ukimkosa na unaugua kufa kufa utakufa tu
😂😂Sasa wengine wanazo na wengine hawana .
 
[emoji23][emoji23]Nacheka sana binadamu hajawahi kuhisi uwepo wa Mungu kwa kutumia milango ya fahamu kama walemavu wapo tangu zamani......Wapo vipofu wanaongoza matambiko kweny jamii fulani wakiwa wanaomba.

Roho ya binadamu ndio inafanya kuamini kuna kitu kipo nje kinachoongozq ulimwengu ndio maana kuna mizimu watu wanaomba kwa watu waliokufa kwamba wana nguvu katika jamii zao japo hawapo hai ....

Watu wanachija wanyama kunywesha mizimu ambayo hawaioni [emoji16][emoji16]ila rohoni wanajua wapo hai na kuabudu.


Sijazungumzia kuhusu kitabu cha nn wala usikimbilie huko hata kiakili tu inaeleweka kuna roho ndo kila kitu kwa binadamu kuwa hai ,maana milango ya fahamu inaweza kutofanya kazi na ukaishi vizuri.

Unanichanganya mkuu

Mungu mmoja muumba vyote vilivyopo YUPO AU HAYUPO NI NADHARIA TU?
 
Back
Top Bottom