Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Kwamba ukishindwa kuthibitisha basi hao Mungu wote wapo?

Mbona mnatumia logic za kitoto sana ku prove uwepo Mungu?
Unajua maana ya logic kijana ? Mbona unaingiza utoto katika mambo ya kielimu ?

Kwani hao Miungu hawapo ? Sasa kama unashindwa kuthibitisha kwanini unakanusha ? Lazima ukanushe kitu ambacho huna elimu nacho ?

Logic gani imetumika hapo kuthibitisha uwepo wa Mungu ? Sisi tunaandika uhalisia wewe unatuletea utoto wa logic ? Logic ni ujinga kama ujinga mwingine.
 
Unaulizia swali la uongo, ungekuwa Malaika no nani, bila shaka usongeuliza swali hili, eti "Unaweza kuthibitisha hakuna Malaika wa ki-Hindu", mkiambiwa nyinyi vichwa mchunga mnasema tunawatukana. Malaika ni kiumbe maalumu kwacho hakipatikani kwa wengine ila Mola muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.

Prove kama ni uongo
 
Unaulizia swali la uongo, ungekuwa Malaika no nani, bila shaka usongeuliza swali hili, eti "Unaweza kuthibitisha hakuna Malaika wa ki-Hindu", mkiambiwa nyinyi vichwa mchunga mnasema tunawatukana. Malaika ni kiumbe maalumu kwacho hakipatikani kwa wengine ila Mola muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Malaika ni kiumbe? Naomba kujua sifa za kiumbe mana sifa ya kwanza kabisa ya kiumbe ni kuwa na mwili. Malaika wana mwili Kwa mujibu wa dini Yako? Wana jinsia gani?
Mind you, wakiwa na mwili basi lazima watakuwa na sifa kiumbe hai na kama hawana mwili basi sio kiumbe bali ni wazo/hisia tu kama ulivyo upepo au mwanga.
Karibu
 
Tatizo lenu ni kutaka kuthibitisha mambo ya Mungu kwa kutumia hivi vijitools vyenu mnavyoviita majina tofauti tofauti na kuviweka sehemu moja na kupaita mabara....kwa sasa bado kuna matatizo mengi tunayo...kabla ya kuanza kutafuta wa kumlaumu na kusema hayupo au yupo pambana na hayo kwanza...adui kwa kwanza kabisa ni kifo....tukimshinda huyo then njoo hapa tamka vyovyote utakavyo hata useme Mungu ni boya au sijui nini nitakuamini!
Wa pili ni muda....huyu nae anaumiza kichwa...lakini niamini ukimshinda huyo wa kwanza huyu wa pili hana maajabu.
🤣🤣🤣🤣We gari limetengenezwa liendeshwe ardhini unataka Hilo gari lipae na liwe meli pia na submarine heeee... that proves nothing.... usilete u Chaka wako wa kiroho cjui coz hili Chaka mtu yoyote anaweza kutumia for anything hata kusema amekutana na spiderman kiroho na hauwezi mbishia so it's pointless argument
 
Huko hatuwezi kwenda sababu si swali la msingi.

Tuko makini sana kuliko unavyo fikiria, jibu swali nililo uliza, kama huna jibu tulia usome tunaya yaandika.
The answer is we both don't know. Ukiulizwa capital city ya Tanzania ukajibu Manchester na mi nikasema cjui it means we r both wrong. None of us know the answer so usijikoshe na maswali ambayo kila dini inasema Mungu wake ndo jibu coz it's unfalsifiable we can't prove or disprove it
 
Sasa umeona unavyo jichanganya ? Mnatakiwa mjifunze kanuni za mijadala. Hapo umeonyesha ya kuwa anaye kanusha ndio anatakiwa athibitishe juu ya kile anacho kikanusha.

Naposema Mungu yupo, na wewe unae dai hayupo, nani anatakiwa amthibitishie mwenzie ?
🤣🤣🤣🤣bac sawa mkuu hayupo kwa sababu hujanipa evidence ya uwepo wake...na nanasi kuwa tamu au Tako kuwa zuri sio evidence
 
Sababu vina chain na hakuna mwanadamu anaye weza kuandika mfano wa vitabu hivyo, na challenge walipewa wale walio kana hayo.

Ukanaji hamjaanza nyie, wapo walio watangulia na wale walio watangulia nyinyi walikuwa na hoja na wenye maarifa lakini walishindwa kufanya hivyo.
🤣Kitabu gani hiko...wakati mkikanwa ndo wakwanza kuandamana kupiga watu mawe kulipua maghorofa kuuwa etc.... hata mtoto wa la Saba ambae hajazaliwa katika dini yoyote akipewa vile vitabu anasoma anacheka kabisa
 
Ni kweli msingi wA Imani ni kuwa na uhakika na kitu ambacho hujawahi kukiona, kukikuta/kutana nacho.

Iko hivi ndugu, Mwenyezi Mungu tunaamini yupo kwa kuangalia DALILI Unaona kabisa hizi Ni Ishara (Kwa Wenye Akili lakini) za Kwamba Kuna Superpower Inaendesha Mambo haya duniani. Hapa kwanza ni nje kabisa ya hizi dini bali ni kwanza kwa kutumia Akili tu Unajua Maana hizi dini ni Just ways za kumfikia Mwenyezi Mungu. Sasa hebu angalia Ishara zifuatAzo ndugu
1️⃣. Uwepo wa Ulimwengu na vilivyomo
2️⃣. Uwepo wa Uhai na Kifo
3️⃣. Uwepo wa Nishati hii ya Jua(Nishati ya Ajabu kuwahi Ishuhudia)
4️⃣. Uwepo wa Majanga Mbali Mbali yanayokuikumba hii dunia (kwa mwenye Akili atajua tu ni Result ya Uwepo wake na sio tu result ya Natural Mechanisms pekee kama wanasayansi wanavyodai)
5️⃣. Uwepo wa Kiumbe Mwanadamu ambaye hata wanasayansi wamejaribu kuiga kutoa kopy yake Maabara lakini wameshindwa.
6️⃣. Disparities Mbali mbali zilizoko miongoni mwa Binadamu hao eg. Races, morphological structures na Ethnicity Backgrounds.
7️⃣. Uwepo wa Viumbe wengine nje na Binadamu (Hii ntakuelezea baadae kwa Mujibu wa Islamic Religion Highlights)
8️⃣. Usiku na Mchana (Hapa utaniambia ni result ya sijui rotation of Earth 😀) In real Sense nop isn't true according to the Holly books
9️⃣. Uwepo wa Misimu ya Mwaka/Majira (Hapa pia utasema revolution na bla blah kibao but si kweli). It was purposefully brought so as to make the critical thinkers understand the power of the Almighty Allah. S. W
🔟. Hivi through your Logic can you tell me how comes you Plant a single corn seed and as a result it bears a hundred + corns? How do you see that possible???

Acha nipose kidogo hapa ila ni Vingi sana. Hizi zote ni Dalili za Uwepo wa Mwenyezi Mungu ndugu yangu.
1. Embu eleza no 8 hapo,
What nake sense according to you?

2. Then unaweza nambia unajuaje kwa kuthibitisha kuwa hizo ni dalili za Mola mlezi na si kitu kingine tu.
 
Huamini vitabu na usiamini tulia tuende taratibu tunaongelea uwepo wa Mungu ,usikurupuke ...Hata vile vitabu vya binadamu ni nyani ni upatu na utapeli wa kifikra.
Umesema tuongelee habari za uwepo wa Mungu.
Sielewi nani kazungumzia binadamu ni nyani hapa.

Umeleta mada tanzu ambayo haipo.

Uliposema
Tunazungumzia uwepo wa Mungu kiakili sio vitabu vilivyoandikwa na wanadamu
kumbe unakubali na unajua hivi vitabu vya dini zenu viliandikwa na wanadamu tu kwa kutungwa mauongo uongo!?
 
Malaika ni kiumbe? Naomba kujua sifa za kiumbe mana sifa ya kwanza kabisa ya kiumbe ni kuwa na mwili. Malaika wana mwili Kwa mujibu wa dini Yako? Wana jinsia gani?
Mind you, wakiwa na mwili basi lazima watakuwa na sifa kiumbe hai na kama hawana mwili basi sio kiumbe bali ni wazo/hisia tu kama ulivyo upepo au mwanga.
Karibu
Kiumbe ni lkilicho umbwa na Mola.

Naam Malaika Wana umbo ila hawana jinsia. Katika sifa zao ni watiifu daima.
 
The answer is we both don't know. Ukiulizwa capital city ya Tanzania ukajibu Manchester na mi nikasema cjui it means we r both wrong. None of us know the answer so usijikoshe na maswali ambayo kila dini inasema Mungu wake ndo jibu coz it's unfalsifiable we can't prove or disprove it
Katika hili sisi tunajua na nyinyi hamjui, ndio maana huwa nawaona hamna akili pale mnapo kana jambo msilo lijua.

Jibu maswali ninayo kuuliza yatakusaidia kufikiria kiundani kama unataka hilo.

Tukija kujadili Mungu wa kila dini utaona msingi wa Uungu ni nini ? Ukisoma maana ya Mungu katika kamusi utakuta lazima ni mwenye kuumba, mwenye nguvu, mwenye uwezo, mkamilifu.

Hao miungu wa dini nyingine ni miungu wa uongo, ndio maana tunasema hilo, huwezi kusema Ng'ombe ni Mungu wakati Hana sifa ya Uungu.

Mjifunze maana za maneno kabla ya kuyatumia, mnapotezea watu muda wakati hamna hoja yoyote.
 
Back
Top Bottom