Adui mkubwa sio ujinga (lack of knowledge)Nimekuambia ana ratibu mzunguko wa jua na mwezi ,kinachotokea kwa binadamu ambacho hata wewe hujui kesho yako.
Sijaona hoja yako mpaka sasa zaidi ya 😂😂kubisha...Toa hoja zako maana najua hauna.
Sasa hujui huoni kama ni kazi kumuelewesha mpumbavu (yaani hujui halafu hutaki kujua).
Hamna unachojua zaidi ya kufuata mkumbo ..Huu sio mtihani tunatumia akili na uhalisia wa maisha.
Adui mkubwa sio ujinga (lack of knowledge)
Ispokuwa ni illusion of knowledge.
Hiyo ni mbaya sana.
Anayeratibu jua na mwezi ni nani?
Bado utataja Mungu ambaye ni wa kufikirika na ndiyo tunaomba uthibitisho wake kama yupo kweli.
You are making circular fallacy.
Yani kwamba madai yako ndiyo yanakuwa uthibitisho.
What a shame!
😂😂Kwa nn wwe hauna majibu na hutaki kuelewa?Je hiki kinajibu kile nlichokuuliza zaid ya Ad hominem tu.
Nmekuuliza,
wew unayejua unaweza kunieleza chanzo cha binadamu kwa kunipa hizo facts!?
Nimecheka saaana. Wee jamaa umetafakari sana haya mambo kwa kina. The way ulivyoandika sasa.....Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever
Niliongelea dhana ya Mungu in general, au wewe unadhani dunia hii ina mungu wako tu?Shida yenu haya mambo hamyasomi. Baba yetu Adamu na mama yetu Hawa walipo kuwa kwenye Ile Bustani wakiambiwa kila kitu, kwamba hiki wafanye na hiki wasifanye. Kwahiyo kumsikiliza kwao Shetani ni kuacha kusikiliza maagizo ya Mola wao, lakini mwisho wa siku walitubu kwa Mola na Mola wetu akawasamehe.
Kingine hawajaweka kwenye Bustani ili warubuniwe bali waliwekwa mule wastarehe, na ndio maana wakapewa angalizo. Sasa mapenzi gani mnayataka kutoka kwa Mola wetu zaidi ya hayo ?
Hiyo adhabu ya shuruba nani amekwambia imetokana na Adamu na Hawa ? Hakuna wa kubeba mzigo wa mwenzie kwenye dini. Hivi huu ujinga unao uandika hapa unao toa kwenye vitabu gani ?
Mkuu mbona umemshambulia bila kujibu hoja yake?Mnyiramba wakwanza wa hovyo sana.
Hujui kitu na huna akili hata moja
Huamini kuhusu Mungu ila unaamini uchawi bogus wewe
Liko wapi jibu la swali langu hapo.!?Maalim.
M.Mungu kamuumba mwanadamu na kampa manual. Kazi ya manual ni nini (Quran).
Tofauti na vitabu vilivyochezewa unavyosema Mungu kaleta vitabu ili vikuongoze kwenda Mbinguni....... laa, na muislam hapaswi kuwa na fikra hizo.
Lengo la kuletelewa hii manual ni hii MMungu takuletea manual kutoka mbinguni hapa duniani ili tuishi maisha ya peponi hapa duniani.
Na maisha ya peponi hayana hizo mbambamba,
Sasa kwanini wanadamu wanaishi kwa mateso, visasi, kuumizana.
Jibu ni kwasababu tumeacha kutumia manual sahihi.
Na badala yake tunatumia manual za kibinadamu.
Na hivyo tunajiadhibu wenyewe hapa duniani.
Basi unathibitishaje Mungu ni Allah na sio YahwehNamkutaje wakati kila kitu kipo wazi ? Umewahi kujifunza Falsafa au Logic kama fani ? Kama umewahi kusoma masomo hayo, achana nayo, yanakufanya uwe zwa zwa na ushindwe kuhoji mambo kwa usahihi.
Hatubahatishi sisi.
Hapo si umesema, shida sio kusema hujaona wenzako wanasema wao ndio mumiungu wenyewe, shida ni kuthibitisha hilo. Kwahiyo wewe endelea kusema tu. Sisi tunataka ithibati.
🤣okay tufanye hivi twende kwa facts me nachoka kubishana na watu wanaojikoshaKijana sababu sio wasomaji na mmezoea kusikia, fanya kazi niliyo kupa.
Onyesha wapi Qur'an ime copy toka kwenye Biblia.
Mimi nimekwambia Qur'an ipo kabla ya Biblia kuwepo. Sasa nionyeshe wapi Qur'an ime copy kwenye Biblia, naandika Kiswahili chepesi sana.
Nataka tuone kati yangu na wewe nani analeta utoto.
Sio karuhusu Mkuu ila kayaumbaa mabaya soma isaya 45:7Mimi ninalo.
Kwanini Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kaumba ulimwengu huu wenye kuruhusu mabaya?
Japo mie ninaamini mungu yupo,lkn nikiri wazi kabisa kuwa wewe ni mtu mwenye akili sana,una uweze mkubwa sana wa kujenga hoja na kushawishi.Mkuu,
Kisicho kuwepo Haki hitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kusikika au kushikika.
Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo either ya kuonekana, kusikika au kushikika.
Sasa Mungu hayupo kwa namna yeyote ile, Haonekani, Hashikiki wala Hasikii.
Ni dhana ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.
Hizo hisia ulizopata ndizo Mungu aliekuumba anazo na kukuzidi, ndio maana akaweka uwezo wa "kuji-resert" hiyo kansa inaisha(healing miracle), ila naamini kwa kilicho moyon mwako hutoweza kufikia hiyo level ya "resert"...Ndio ushangae sasa huyu Mungu kwanini aoteshe mibangi
Mwezi uliopita nilikua Muhimbili wodi za watoto wa saratani
Yaani niliwaangalia wale watoto wadogo kweli jinsi wanavyopata tabu ya kansa na matibabu yake
Machozi yalinilenga aisee, unabaki unajiuliza kuhusu Mungu unakosa majibu
Bado tunazunguka pale pale kama Allah hayupo basi hata hayo maagizo hayakushukaNakupa kazi hapa uje uonyeshe ya kuwa Mtume hakuwa anashushiwa maagizo.
Naanzia hapa, uwepo wa Mola muumba unathibitishwa kwa njia hizi.Mimi sijaona
Naomba ufanye hivyo [emoji120]
Hizo hisia ulizopata ndizo Mungu aliekuumba anazo na kukuzidi, ndio maana akaweka uwezo wa "kuji-resert" hiyo kansa inaisha(healing miracle), ila naamini kwa kilicho moyon mwako hutoweza kufikia hiyo level ya "resert"...
Kama ww ni mwanaume na una watoto..kile unachowaelekeza wanao unahisi kimekujia tuu kichwani hakuna origin yake?kwann umlinde bint yake asipigwe p wakat bint za wenzio unawapgsha "mijeled" bila huruma?kwasababu bint yko una-link nae ya kiroho na kimwili ndio maana roho inakuuma asifanyiwe unachofanyia wengine-the same kwa Mungu dhidi ya wanadamu aliowaumba kwa sura na mfano wake+small spirit portion ya pumzi yake.....wanadamu tunapata matatizo na hahitaji kutushikia fimbo kwakua ameshatoa maelekezo na mafundisho yote ya kukulinda, the same kwa kwa bint yako umemfundisha hiki do's hiki dont's akitoka hapo akaenda huko "mamende" wakampiga "mijeled" akarud na mimba what would you do? Kwani si ulishamfundisha kuishi njia unayoona ni sahihi..?? Au karud kapgwa tu "mjeled" utajua?ukimuuliza atasema? The same kwa Mungu hana haja ya kurudia kwakua elimu yote ametoa, na option ya msamaha katoa..bint yko mkaid na mwingine mnyenyekevu unawa-treat sawa?
Utofauti wako wewe na Mungu ni ROHO (origin of spirit) wewe kakuongezea mwili wa kutenda na maamuzi binafsi..siku ukifa(mwili kutengana na spirit) hayo maamuzi na mawazo ya kung'amua na kujiuliza "Mungu ni scam" yanatoweka kwakua utakua unaona visivyoonekana...(ndio maana mchawi anaogopa maswala ya ibada za dini..)
Skia si hatuna shida na wewe wishful thinking yako ya kuwa na sky daddy invincible anayekupenda na kukulinda...Ila ndo Usiforce waarabu na wayahudi kuleta miungu Yao na tufate sheria zaoHizo hisia ulizopata ndizo Mungu aliekuumba anazo na kukuzidi, ndio maana akaweka uwezo wa "kuji-resert" hiyo kansa inaisha(healing miracle), ila naamini kwa kilicho moyon mwako hutoweza kufikia hiyo level ya "resert"...
Kama ww ni mwanaume na una watoto..kile unachowaelekeza wanao unahisi kimekujia tuu kichwani hakuna origin yake?kwann umlinde bint yake asipigwe p wakat bint za wenzio unawapgsha "mijeled" bila huruma?kwasababu bint yko una-link nae ya kiroho na kimwili ndio maana roho inakuuma asifanyiwe unachofanyia wengine-the same kwa Mungu dhidi ya wanadamu aliowaumba kwa sura na mfano wake+small spirit portion ya pumzi yake.....wanadamu tunapata matatizo na hahitaji kutushikia fimbo kwakua ameshatoa maelekezo na mafundisho yote ya kukulinda, the same kwa kwa bint yako umemfundisha hiki do's hiki dont's akitoka hapo akaenda huko "mamende" wakampiga "mijeled" akarud na mimba what would you do? Kwani si ulishamfundisha kuishi njia unayoona ni sahihi..?? Au karud kapgwa tu "mjeled" utajua?ukimuuliza atasema? The same kwa Mungu hana haja ya kurudia kwakua elimu yote ametoa, na option ya msamaha katoa..bint yko mkaid na mwingine mnyenyekevu unawa-treat sawa?
Utofauti wako wewe na Mungu ni ROHO (origin of spirit) wewe kakuongezea mwili wa kutenda na maamuzi binafsi..siku ukifa(mwili kutengana na spirit) hayo maamuzi na mawazo ya kung'amua na kujiuliza "Mungu ni scam" yanatoweka kwakua utakua unaona visivyoonekana...(ndio maana mchawi anaogopa maswala ya ibada za dini..)