Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Nimekuambia ana ratibu mzunguko wa jua na mwezi ,kinachotokea kwa binadamu ambacho hata wewe hujui kesho yako.

Sijaona hoja yako mpaka sasa zaidi ya 😂😂kubisha...Toa hoja zako maana najua hauna.
Adui mkubwa sio ujinga (lack of knowledge)
Ispokuwa ni illusion of knowledge.

Hiyo ni mbaya sana.

Anayeratibu jua na mwezi ni nani?

Bado utataja Mungu ambaye ni wa kufikirika na ndiyo tunaomba uthibitisho wake kama yupo kweli.

You are making circular fallacy.

Yani kwamba madai yako ndiyo yanakuwa uthibitisho.

What a shame!
 
Sasa hujui huoni kama ni kazi kumuelewesha mpumbavu (yaani hujui halafu hutaki kujua).

Hamna unachojua zaidi ya kufuata mkumbo ..Huu sio mtihani tunatumia akili na uhalisia wa maisha.

Je hiki kinajibu kile nlichokuuliza zaid ya Ad hominem tu.

Nmekuuliza,
wew unayejua unaweza kunieleza chanzo cha binadamu kwa kunipa hizo facts!?
 
Adui mkubwa sio ujinga (lack of knowledge)
Ispokuwa ni illusion of knowledge.

Hiyo ni mbaya sana.

Anayeratibu jua na mwezi ni nani?

Bado utataja Mungu ambaye ni wa kufikirika na ndiyo tunaomba uthibitisho wake kama yupo kweli.

You are making circular fallacy.

Yani kwamba madai yako ndiyo yanakuwa uthibitisho.

What a shame!
FB_IMG_1693414538960.jpg



Uwezi kuwa na akili za kufika mbali kama huwezi kufirikia ,lazima ujiulize maswala hao wanagunduzi wote kweny tafiti zao walianza kwa kujiuliza maswali ndio wakaanza kufanya tafiti.


Kwa vile hauna hoja sioni tatizo😂😂😂....jua kwa nn lina ratiba kila siku na hakuna anayezunguka hiyo ratiba kila siku.... Binadamu alianzaje maisha hapa duniani? Je dunia ina miaka mingapi mpaka sasa ukiachana na hii 2023?
 
Je hiki kinajibu kile nlichokuuliza zaid ya Ad hominem tu.

Nmekuuliza,
wew unayejua unaweza kunieleza chanzo cha binadamu kwa kunipa hizo facts!?
😂😂Kwa nn wwe hauna majibu na hutaki kuelewa?

Nimekuuliza haujawahi kujibu hata mara moja .!
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Nimecheka saaana. Wee jamaa umetafakari sana haya mambo kwa kina. The way ulivyoandika sasa.....
 
Shida yenu haya mambo hamyasomi. Baba yetu Adamu na mama yetu Hawa walipo kuwa kwenye Ile Bustani wakiambiwa kila kitu, kwamba hiki wafanye na hiki wasifanye. Kwahiyo kumsikiliza kwao Shetani ni kuacha kusikiliza maagizo ya Mola wao, lakini mwisho wa siku walitubu kwa Mola na Mola wetu akawasamehe.

Kingine hawajaweka kwenye Bustani ili warubuniwe bali waliwekwa mule wastarehe, na ndio maana wakapewa angalizo. Sasa mapenzi gani mnayataka kutoka kwa Mola wetu zaidi ya hayo ?

Hiyo adhabu ya shuruba nani amekwambia imetokana na Adamu na Hawa ? Hakuna wa kubeba mzigo wa mwenzie kwenye dini. Hivi huu ujinga unao uandika hapa unao toa kwenye vitabu gani ?
Niliongelea dhana ya Mungu in general, au wewe unadhani dunia hii ina mungu wako tu?

Kwamba Allah kaombwa na Ibils abaki ili ampoteze binadamu na Allah akamkubali baki ili awapoteze ...... shida inaanzia hapa(kwanini amkubalie? Was it necessary?)

Kwanza kabisa akamrubuni Adam na Hawwa wakamkosea Allah matokeo yake Allah akawaondoa bustani ya kula bata akawaleta duniani kula shuruba kama maradhi magonjwa majanga nk(tunashurubika hata ambao hatukuwepo)
Matokeo yake mengine sasa ukichukulia dini moja wapo iwe sahihi utapata 80% ya watu wote duniani shetani atakuwa kawapotosha
Na ukichukulia hio dini ambayo ipo sahihi labda islam bado watakao kuwa wanafuata sahihi ni asilimia ndogo zaidi

Hii inafanya zaidi 90% ya watu wote duniani Ibils aliyemuomba Allah kuturubuni atakua katurubuni

Kwahiyo 99% ya watu wote duniani tutakwenda kuchomwa moto wa milele kwasababu tu Allah katuletea Iblis atupotoshe [emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu bado unaambiwa Mungu anatupenda kama tunavyo penda mbona ya jicho letu

Kwa msingi huu Allah kwangu ni jitu fulani katili limemuumba binadamu ili ateseke duniani na majanga na kesho ahera motoni
 
Maalim.

M.Mungu kamuumba mwanadamu na kampa manual. Kazi ya manual ni nini (Quran).

Tofauti na vitabu vilivyochezewa unavyosema Mungu kaleta vitabu ili vikuongoze kwenda Mbinguni....... laa, na muislam hapaswi kuwa na fikra hizo.

Lengo la kuletelewa hii manual ni hii MMungu takuletea manual kutoka mbinguni hapa duniani ili tuishi maisha ya peponi hapa duniani.

Na maisha ya peponi hayana hizo mbambamba,

Sasa kwanini wanadamu wanaishi kwa mateso, visasi, kuumizana.

Jibu ni kwasababu tumeacha kutumia manual sahihi.
Na badala yake tunatumia manual za kibinadamu.

Na hivyo tunajiadhibu wenyewe hapa duniani.
Liko wapi jibu la swali langu hapo.!?

Umeanza kuinadi qurani yako tu kuipigia upatu badala ya kunijibu

Kwamba ukiifata qurani hutakumbwa na tetemeko, kifo, magonjwa, kuonewa n. K

Kwa sifa zake huyo Mungu inaonesha kabisa alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kutokea kabisa.

Kitendo cha kuumba huu ulimwengu wa namna hii (unaoruhusu mabaya) unafanya kuharibu sifa yake ya upendo wote ama ujuzi wote.

Kwanini Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kaumba ulimwengu huu wenye kuruhusu mabaya!?
 
Namkutaje wakati kila kitu kipo wazi ? Umewahi kujifunza Falsafa au Logic kama fani ? Kama umewahi kusoma masomo hayo, achana nayo, yanakufanya uwe zwa zwa na ushindwe kuhoji mambo kwa usahihi.

Hatubahatishi sisi.

Hapo si umesema, shida sio kusema hujaona wenzako wanasema wao ndio mumiungu wenyewe, shida ni kuthibitisha hilo. Kwahiyo wewe endelea kusema tu. Sisi tunataka ithibati.
Basi unathibitishaje Mungu ni Allah na sio Yahweh
 
Kijana sababu sio wasomaji na mmezoea kusikia, fanya kazi niliyo kupa.

Onyesha wapi Qur'an ime copy toka kwenye Biblia.

Mimi nimekwambia Qur'an ipo kabla ya Biblia kuwepo. Sasa nionyeshe wapi Qur'an ime copy kwenye Biblia, naandika Kiswahili chepesi sana.

Nataka tuone kati yangu na wewe nani analeta utoto.
🤣okay tufanye hivi twende kwa facts me nachoka kubishana na watu wanaojikosha
 

Attachments

  • Screenshot_20230912-110451.png
    Screenshot_20230912-110451.png
    42.5 KB · Views: 4
Kwa imani yangu naamini Mungu yupo ila sio huyu tuloletewa na wazungu/ warabu
Sabu ata mababu zetu kabla ya wazungu na warabu kuja walikua na Mungu wao walomwabudu na kumfanyia matambiko pale wanapokua na mattzo ama furaha
 
Mkuu,

Kisicho kuwepo Haki hitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo either ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Sasa Mungu hayupo kwa namna yeyote ile, Haonekani, Hashikiki wala Hasikii.

Ni dhana ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.
Japo mie ninaamini mungu yupo,lkn nikiri wazi kabisa kuwa wewe ni mtu mwenye akili sana,una uweze mkubwa sana wa kujenga hoja na kushawishi.
 
Ndio ushangae sasa huyu Mungu kwanini aoteshe mibangi

Mwezi uliopita nilikua Muhimbili wodi za watoto wa saratani
Yaani niliwaangalia wale watoto wadogo kweli jinsi wanavyopata tabu ya kansa na matibabu yake
Machozi yalinilenga aisee, unabaki unajiuliza kuhusu Mungu unakosa majibu
Hizo hisia ulizopata ndizo Mungu aliekuumba anazo na kukuzidi, ndio maana akaweka uwezo wa "kuji-resert" hiyo kansa inaisha(healing miracle), ila naamini kwa kilicho moyon mwako hutoweza kufikia hiyo level ya "resert"...
Kama ww ni mwanaume na una watoto..kile unachowaelekeza wanao unahisi kimekujia tuu kichwani hakuna origin yake?kwann umlinde bint yake asipigwe p wakat bint za wenzio unawapgsha "mijeled" bila huruma?kwasababu bint yko una-link nae ya kiroho na kimwili ndio maana roho inakuuma asifanyiwe unachofanyia wengine-the same kwa Mungu dhidi ya wanadamu aliowaumba kwa sura na mfano wake+small spirit portion ya pumzi yake.....wanadamu tunapata matatizo na hahitaji kutushikia fimbo kwakua ameshatoa maelekezo na mafundisho yote ya kukulinda, the same kwa kwa bint yako umemfundisha hiki do's hiki dont's akitoka hapo akaenda huko "mamende" wakampiga "mijeled" akarud na mimba what would you do? Kwani si ulishamfundisha kuishi njia unayoona ni sahihi..?? Au karud kapgwa tu "mjeled" utajua?ukimuuliza atasema? The same kwa Mungu hana haja ya kurudia kwakua elimu yote ametoa, na option ya msamaha katoa..bint yko mkaid na mwingine mnyenyekevu unawa-treat sawa?

Utofauti wako wewe na Mungu ni ROHO (origin of spirit) wewe kakuongezea mwili wa kutenda na maamuzi binafsi..siku ukifa(mwili kutengana na spirit) hayo maamuzi na mawazo ya kung'amua na kujiuliza "Mungu ni scam" yanatoweka kwakua utakua unaona visivyoonekana...(ndio maana mchawi anaogopa maswala ya ibada za dini..)
 
Nakupa kazi hapa uje uonyeshe ya kuwa Mtume hakuwa anashushiwa maagizo.
Bado tunazunguka pale pale kama Allah hayupo basi hata hayo maagizo hayakushuka

Allah HAYUPO

Kuna concept of Russel inasema

Kama niki kwambia kuna kibuyu kidogo cha Kinyiramba kinazunguka kwenye orbit ya jua
Ni kidogo sana kiasi kwamba huwezi kukiona kwa macho wala kwa mtambo wowote ule utaniamini?
The fact is hutaniamini hata kama hauna huwezo wa kuthibitisha

Concept hii inaonyesha mambo mawili

Mosi, Wajibu wa kuthibitisha anao aliyedai uwepo wa kitu

Pili, Mtu akikwambia habari za mashaka mwitikio wa kwanza ni kutokuamini na sio kuamini
Kwahiyo kutokuamini ni msingi wa kwanza hadi kuwepo uthibitisho

PROVE IT
 
Mimi sijaona
Naomba ufanye hivyo [emoji120]
Naanzia hapa, uwepo wa Mola muumba unathibitishwa kwa njia hizi.

1. Akili
2. Mazingira
3. Ufunuo.

Naanzia na ufunuo, kwa maana Qur'an.

Anasema Allah mtukufu, kuwapa "Challenge" wakana Mungu, sababu walikuwepo tangu zama za mitume.

33. Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!

34. Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.

35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji? (At-Tur : 33-35)

Maswali hayo mawili yanaonyesha hii Dunia yupo aliye iumba.
 
Hizo hisia ulizopata ndizo Mungu aliekuumba anazo na kukuzidi, ndio maana akaweka uwezo wa "kuji-resert" hiyo kansa inaisha(healing miracle), ila naamini kwa kilicho moyon mwako hutoweza kufikia hiyo level ya "resert"...
Kama ww ni mwanaume na una watoto..kile unachowaelekeza wanao unahisi kimekujia tuu kichwani hakuna origin yake?kwann umlinde bint yake asipigwe p wakat bint za wenzio unawapgsha "mijeled" bila huruma?kwasababu bint yko una-link nae ya kiroho na kimwili ndio maana roho inakuuma asifanyiwe unachofanyia wengine-the same kwa Mungu dhidi ya wanadamu aliowaumba kwa sura na mfano wake+small spirit portion ya pumzi yake.....wanadamu tunapata matatizo na hahitaji kutushikia fimbo kwakua ameshatoa maelekezo na mafundisho yote ya kukulinda, the same kwa kwa bint yako umemfundisha hiki do's hiki dont's akitoka hapo akaenda huko "mamende" wakampiga "mijeled" akarud na mimba what would you do? Kwani si ulishamfundisha kuishi njia unayoona ni sahihi..?? Au karud kapgwa tu "mjeled" utajua?ukimuuliza atasema? The same kwa Mungu hana haja ya kurudia kwakua elimu yote ametoa, na option ya msamaha katoa..bint yko mkaid na mwingine mnyenyekevu unawa-treat sawa?

Utofauti wako wewe na Mungu ni ROHO (origin of spirit) wewe kakuongezea mwili wa kutenda na maamuzi binafsi..siku ukifa(mwili kutengana na spirit) hayo maamuzi na mawazo ya kung'amua na kujiuliza "Mungu ni scam" yanatoweka kwakua utakua unaona visivyoonekana...(ndio maana mchawi anaogopa maswala ya ibada za dini..)

Mkuu mfano unatoa ni MFU

Mimi nazungumzia watoto wachanga wanazaliwa na saratani maisha yao yote wataishi kwa tabu na dhiki ya mionzi na chemotherapy
Most of them will never make to adulthood
Hawa wamemkosea nini Mungu?

Usinifananishe na mungu
Ningekuwa nina uwezo wa kimungu ningemuepusha mwanangu na balaa yote regardless na atakayo nifanyia
 
Hizo hisia ulizopata ndizo Mungu aliekuumba anazo na kukuzidi, ndio maana akaweka uwezo wa "kuji-resert" hiyo kansa inaisha(healing miracle), ila naamini kwa kilicho moyon mwako hutoweza kufikia hiyo level ya "resert"...
Kama ww ni mwanaume na una watoto..kile unachowaelekeza wanao unahisi kimekujia tuu kichwani hakuna origin yake?kwann umlinde bint yake asipigwe p wakat bint za wenzio unawapgsha "mijeled" bila huruma?kwasababu bint yko una-link nae ya kiroho na kimwili ndio maana roho inakuuma asifanyiwe unachofanyia wengine-the same kwa Mungu dhidi ya wanadamu aliowaumba kwa sura na mfano wake+small spirit portion ya pumzi yake.....wanadamu tunapata matatizo na hahitaji kutushikia fimbo kwakua ameshatoa maelekezo na mafundisho yote ya kukulinda, the same kwa kwa bint yako umemfundisha hiki do's hiki dont's akitoka hapo akaenda huko "mamende" wakampiga "mijeled" akarud na mimba what would you do? Kwani si ulishamfundisha kuishi njia unayoona ni sahihi..?? Au karud kapgwa tu "mjeled" utajua?ukimuuliza atasema? The same kwa Mungu hana haja ya kurudia kwakua elimu yote ametoa, na option ya msamaha katoa..bint yko mkaid na mwingine mnyenyekevu unawa-treat sawa?

Utofauti wako wewe na Mungu ni ROHO (origin of spirit) wewe kakuongezea mwili wa kutenda na maamuzi binafsi..siku ukifa(mwili kutengana na spirit) hayo maamuzi na mawazo ya kung'amua na kujiuliza "Mungu ni scam" yanatoweka kwakua utakua unaona visivyoonekana...(ndio maana mchawi anaogopa maswala ya ibada za dini..)
Skia si hatuna shida na wewe wishful thinking yako ya kuwa na sky daddy invincible anayekupenda na kukulinda...Ila ndo Usiforce waarabu na wayahudi kuleta miungu Yao na tufate sheria zao
 
Back
Top Bottom