Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

😂😂Yanatokea majanga wengine wanakufa ni njia tu ya kifo ,ila hata ukiumwa utakufa hata bila ya majnga na magonjwa utakufa.


Mungu huyo kapendelea Tanzania isipate hayo majanga makubwa mbona husemi kwamba kapendelea.
Mungu muweza wa yote na kama ana upendo kweli, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na hayo majanga?

Mungu sio kwamb hawezi kuzuia ila yeye ndio kapanga
Basi Mungu huyo ni mkatili sana.
hta katika hayo mafuriko sio wote wamekufa ni baadhi,
Hao walio kufa je walikuwa hawana haki ya kuishi?.

Halafu wengi wao ni watoto wadogo na vichanga visivyokuwa na hatia yeyote.

Mungu huyo anayedai ni mwema Hana hata huruma kwa watoto wachanga wanao kufa na mafuriko ambayo angeweza kuyazuia?
majanha kama hayo yapo nje ya uwezo wetu hakuna anayependa yatokeee
Mungu huyo, Hakujua kwamba hakuna binadamu anaye penda majanga hayo yatokee, Aumbe dunia isiyo na hayo majanga?
ila ni Mungu muweza na hakuna jinsi unaweza kuzuia.

Mungu huyo kakupendelea wewe usiwe mlemavu na kakupa akili ni neema jaribu kushuruku ,huwezi kuonq neema mpaka yakufike..
Kwani kuna anaye penda kuwa kilema au mlemavu?
Watoto wachanga wanao zaliwa na matatizo kama unjiti, vichwa vikubwa,uchizi na utahira na kasoro nyingine nyingi za kimwili na kiakili, je wanapenda kuzaliwa hivyo?

Mungu huyo haoni, kwamba watoto hawa wachanga wanapaswa kuzaliwa wakiwa wazima wa afya kimwili na kiakili?

Hapa ni uthibitisho tosha kwamba Mungu huyo ni mkatili sana na Hana upendo wowote ule.
Huoni hapo umeona umuhimu wa uhai basi unapumua bure mpaka uumwe ukapewe mtungi wa oxygen uanze kulipia ndio utajua kwambq kupumua tu ni upendeleo.
Je waliokwisha kufa, Mungu huyo Hakujua kwamba watu hao wanahitaji uhai?
Neema za Mungu ni countless na huwezi kuzijua mpaka ziondoke na ni nyingi kuliko mjanga.
Uovu wa Mungu ni countless.
 
Dhana ya Mungu imejengwa ili kuvunja sheria za fizikia.

Watu wa zamani walishindwa kuelezea huu ulimwengu kwa kufuata sheria zote, na ndicho kikapelekea wakamuumba Mungu kwa mfano wa mwanadamu halafu wakampa uwezo wote.

Uwezo ambao unamfanya asiweze kushikwa na sheria za mantiki.

Kwahyo hata hyo sheria ya kwamba kila kitu kina muumbaji wake, ukiwafikisha kwa huyo Mungu wao sheria inakuwa haifanyi kazi!!!

Lakini swali zuri kwa wavunja sheria za fizikia (waamini/theist) watujibu hili:

Mungu muweza wa yote anaweza kuumba jiwe zito ambalo litamshinda kubeba!?
 
Hii kanuni huwezi kuikosoa ndio maana hata hapa umeshindwa pia. Kanuni imemtoa Allah Japo na yeye ni kitu.
Kwa nini Allah atolewe na yeye ni kitu?

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo chake, Hata huyo Allah Lazima awe na chanzo chake.

Hawezi kuwepo kwa kutokea tu,
from no where.

Kanuni inasema kila kitu isipokuwa Allah, hapo tayari imeshamtoa Allah,
Hii kanuni yako ni kujaribu kukwepa logic reasoning.

Nakwambia hivi, Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo Hata huyo Allah wenu lazima awe na chanzo.

Wewe una unda kanuni zako za kutetea Ubishi tu.
Sasa uongo uko wapi na kanuni Iko wazi ? Uwe unasomwa kwa kuelewa usisome ilimradi.
Kama Allah huyo anaweza kuwepo bila chanzo, Hata Dunia inaweza vilevile kuwepo bila chanzo.
Nilikupa kazi hapa uje uthibitishe ukweli wa "Infinity" naona unaruka ruka tu.
 
Kuna nchi nyingine ni usiku kwa sasa, huku kwetu ni mchana tunalitizama jua.

Kwetu ikiwa usiku kwao ni mchana wanalitizama jua.

Umewahi kuskia upande wa pili kuwa jua linasujudu!?

Ujinga wako ni zawadi ya uteuzi asilia (Natural selection)
 
Siamini kama una uwezo wa kufikiri kidhahania

Lakini ngoja njaribu nione kama imani yangu ni ya kweli.

Je, unadhani kuwa ungezaliwa sehemu ambayo hakuna uislamu, leo hii ungekuwa muislamu?

Fikiria ungezaliwa Korea kaskazini kwa mfano
 
Haya ndio matatizo ya kutokusoma ninacho kiandika. Soma tena hili swali unarudia hii mara ya pili au Tatu. Hii inaonyesha wazi huna hoja.
Wewe hunaga hoja zaidi ya Ubishi ubishi tu.

Maswali magumu yanayo kushinda unaya undia kanuni za uongo uongo tu zisizo na Logic yeyote.

Nakwambia kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo hata huyo Allah wenu lazima awe na chanzo.

Wewe una unda kanuni ya uongo, eti ooh! Allah huyo kanuni hiyo amekuwa Excluded.

Kama amekuwa Excluded basi Allah huyo SI KITU na HAYUPO.

Kama Allah huyo ni kitu kilichopo, Na kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo basi hata huyo Allah wenu lazima awe na chanzo.

Acha ubishi wa kuunda kanuni zisizo na mantiki wala logic.
 
Nimekuambia wewe,mimi nitakuambia kaumwa Mungu na wewe si hauamini...
Ndo uthibitishe sasa kama Mungu huyo yupo!

Yaani ili jibu lako liwe valid, lazima uthibitishe Mungu huyo yupo.

Je waweza kuthibitisha hilo nje ya mawazo yako tu na hadithi za uongo za dini!?
 
Hayo ni mahubiri tu.

Huwezi thibitisha mbingu kama ipo

Huwezi thibitisha kama Mungu yupo.

Unapiga porojo tu humu na mahubiri yako.
 
Hii kanuni huwezi kuikosoa ndio maana hata hapa umeshindwa pia. Kanuni imemtoa


Allah Japo na yeye ni kitu.
Hapa ☝️umekubali vizuri kwamba "Allah na yeye ni kitu"

Sasa ni hivi, 👇

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo basi hata huyo Allah wenu lazima awe na chanzo.

Vinginevyo Allah huyo SI KITU na HAYUPO.

Hapa sasa usibishe tena na kuanza kuunda uongo uongo na kanuni za uongo uongo.
Kanuni inasema kila kitu isipokuwa Allah, hapo tayari imeshamtoa Allah, Sasa uongo uko wapi na kanuni Iko wazi ? Uwe unasomwa kwa kuelewa usisome ilimradi.

Nilikupa kazi hapa uje uthibitishe ukweli wa "Infinity" naona unaruka ruka tu.
 
Nimekupa hoja kibao ila haujawahi kutoa hoja hata moja..kwa vile hauna uhakika na upande wako.
Je hoja hizo ulizoleta zinamaana!?

Sasa kama mtu unafikia kusema kuwa "hata usemaje Mungu yupo tu"
Hii inaonesha kuwa umeishiwa hoja.

Yani unaniambia imani yako unayoilazimisha kuwa uhalisia?

Umeweza kuthibitisha Mungu yupo!?
 
Mi sio maskini hali yangu ya kiuchumi ni nzuri tu na sio eti kwasababu mungu alitaka ni kwasababu nilisoma, nikapata kazi na nafanya kazi yangu kwa weledi na pengine nina pesa kuliko diamond sema diamond ndiyo tajiri uliyemkariri.

Vipi waliotajirika Kwa kudhulumu na kuibia watu, kuuza madawa nao mungu aliwapangia watajirike hivyo?

Mzazi haombi msamaha Kwa maana hakosei? Kuna wengine wamelelewa kizungu bwana. Pole Kwa kulelewa na gaidi unaloita mzazi [emoji23][emoji23]

Sema hivi mfumo wa dunia ndo ulivyo kuna majanga, lazima ufanye kazi upate kipato. Hiyo ya kusema dunia "ya mungu" unaichomeka ya nini?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Mnyiramba wakwanza wa hovyo sana.
Hujui kitu na huna akili hata moja

Huamini kuhusu Mungu ila unaamini uchawi bogus wewe
Umepunguza hasira yangu dhidi ya uyu jamaa!

Yuko Blank kabisa!

Nitamjibu kwa kumsaidia baadaye!

Ila umempa kitu cha maana sana!

Kwamba Uchawi ndiyo lakini Mungu hayuko...Bogus a hundred times!!!
 
Hili nimeshalielezea Jana rejea nilicho kiandika. Nilimaliza kila kitu kuhusu hili.

Huna maelezo yoyote zaidi ya blah blah na kukwepa msingi wa swali

Jua lina mulika dunia muda wote, ukiona hapa Tz ni usiku wa saa 8 basi ujue huko somewhere bara amerika jua linawaka mchana wa saa 8

Muda unao ona jua linazama hapa Tz ujue kuna sehemu huko ndio linachomoza

Umaamuma wa Mudi kuhusu sayansi ndio ulimfanya aropoke hayo , aliona maajabu sana jua linachomoza mashariki halafu “linatembea” hadi magharibi na kuzama
Akaona awapige kamba eti linaomba ruhusa kwa Allah [emoji23]
 
Umepunguza hasira yangu dhidi ya uyu jamaa!

Yuko Blank kabisa!

Nitamjibu kwa kumsaidia baadaye!

Ila umempa kitu cha maana sana!

Kwamba Uchawi ndiyo lakini Mungu hayuko...Bogus a hundred times!!!

Wapi nimeandika naamini UCHAWI?

Naamini katika SAYANSI
 
Kuumba tetemeko lenye kuleta maafa ni upendo!?
 
Kama lengo la kuumba watu ni wamuabudu,

Kwanini kaumba na wasiomuabudu?

Kwanini Mungu mwenye upendo wote kaumba ulimwengu huu wenye kuwezekana mabaya!?
 
Sasa kosoa hayo ili tukuone wewe ni mkweli ?

Usiruke ruke, nipo hapa nataka ianze kukosoa nukta baada ya nukta.
Niyakosoe mara ngapi!?

Hayo yamekosolewa na geography na fizikia tangu zamani tu.

Kwahyo milima iliwekwa ili dunia iliyo flat isiyumbe yumbe!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…