princ kadur
Member
- Mar 12, 2020
- 62
- 54
Ndio umemaliza hapo?[emoji16]Ni Watu wajinga tu wasioamini uwepo wa Mungu na mwanaye yesu kristo
Hakika #Utaangamia Vibaya Sana Kijana ila me nakuombea Unusurike Usifikie huko Unakotaka kwenda maana unaelekea sehemu tunaita #The Point of No return... Do don't Over disrespect your Creator to the point of no return. Guess what the good news is that you still have a chance to repent brother so you better turn back.!Mimi sina upendo wote kwahyo hata nkimuadhibu mimi sijajipinga.
Sifa ya Mungu ni upendo wote.
Yaani hakuna gape hata kidogo la upendo.
Ingekuwa upendo huo unapimwa kwenye kikombe, bhasi upendo wa mungu ni wote unajaa hadi pale alipoishia fundi.
Yaani upendo uliokamilika, hata kama nkikosea ni kwamba hawezi kunidhuru kabisa!!!
Mimi upendo wangu kwa mwanangu sio wote.
Hivyo nkimuadhibu hakuna shida kwamaana upendo sio wote.
Mfano wako ni batili.
Sasa Mungu huyu mwenye upendo uliokamilika/wote inakuwaje adhibu viumbe vyake!?
Tena pamoja na upendo wote uliokamilika ametengeneza hadi matetemeko na vimbunga vikali vinaangamiza hadi watoto wachanga.
Huyo Mungu hayupo in real dimensions.
Ni utapeli tu
Binafsi yangu naona siku Utakapopatwa na #Shurba ndipo Utakaposadiki Utukufu wa Mwenyezi Mungu na Kutambua Uwepo wake, Siwezi Kulaumu wala Kushangaa maana Maisha ya Mwanadamu Duniani ni Fumbo au Mfano wa Giza (Ndiyo maana kuthibitisha hilo hatujui kinachojiri hata lisaa limoja inayofuata) kifupi hatujui kesho yetu. Mwenyezi Mungu ndio anajua kwanini amekupitisha katika hali hii ya Utambuzi na Pengine yeye pia anafahamu ni Lini Atakupatia Ufahamu wa Kumtambua ama Pia Kutomtambua Wote hatujui lakini what I know ni Kwamba Mwenyezi Mungu anazungumza katika kitabu kitakatifu cha Quran kwamba "Hakika ni Kwamba Mwanadamu hawezi kuadhibiwa mpaka pale ambapo atakuwa Amefikishiwa Ujumbe na Kuukataa". So ndugu yangu Infropreneur you never know probably this is the right time for you to get informed and turn back from Losting Forever. May God bless you.....!Kanuni yako hii ni ya UONGO na mimi nai prove wrong hapa.
Ukishasema kila kitu na Allah pia anabeba sifa za "kitu" ana jumlishwa huko kwenye vitu vyote. Na kanuni ni hivi 👇
Kama kila kitu kilichopo na Allah huyo unakiri yupo kwa sababu ni kitu kilichopo kwamba Lazima kiwe na chanzo, Basi hata huyo "Allah" Lazima awe na chanzo, Na chanzo chake Allah kiwe na chanzo chake, Na chanzo chake Allah chanzo chake Lazima kiwe na chanzo chake.
Ili muundo wa Kanuni hii ya kwamba "Lazima kuwepo chanzo cha kila kitu kilichopo" uwe na muundo ule ule wa kuonesha ulazima huo, to infinity (Endless)
Kama Hakuna "infinity series" Hata mwanzo na chanzo cha kitu si lazima kiwepo.
Hivyo hata Dunia Haihitaji kuwa na mwanzo na haina mwisho.
Kwa vile infinity series haipo.
Na huyo "Allah" HAYUPO.
Logical non sequitur fallacyUwepo wako wewe hapa duniani ndio unathibisha kama Mungu yupo
Na Ili upate uhakika katika hili nenda ukamulize baba yako shahawa zake zilizokuleta wewe hapa duniani yeye alizipata wapi atakuwambia alitunukiwa na Mungu
Kama atakupa jibu tofauti uje utuambie hapa hizo shahawa baba yako alizinunua katika super market gani?
Maana mbele ya Mungu wewe si chochote ila shahawa za baba yako
Gitaa halimdhuru mpigaji eti kisa halijaupenda mziki.H
Hakika #Utaangamia Vibaya Sana Kijana ila me nakuombea Unusurike Usifikie huko Unakotaka kwenda maana unaelekea sehemu tunaita #The Point of No return... Do don't Over disrespect your Creator to the point of no return. Guess what the good news is that you still have a chance to repent brother so you better turn back.!
Unajua kwamba kupatwa na shurba pia ni uthibitisho kuwa Mungu mwenye uwezo wote ujuzi wote na upendo wote hayupo!?Binafsi yangu naona siku Utakapopatwa na #Shurba ndipo Utakaposadiki Utukufu wa Mwenyezi Mungu na Kutambua Uwepo wake, Siwezi Kulaumu wala Kushangaa maana Maisha ya Mwanadamu Duniani ni Fumbo au Mfano wa Giza (Ndiyo maana kuthibitisha hilo hatujui kinachojiri hata lisaa limoja inayofuata) kifupi hatujui kesho yetu. Mwenyezi Mungu ndio anajua kwanini amekupitisha katika hali hii ya Utambuzi na Pengine yeye pia anafahamu ni Lini Atakupatia Ufahamu wa Kumtambua ama Pia Kutomtambua Wote hatujui lakini what I know ni Kwamba Mwenyezi Mungu anazungumza katika kitabu kitakatifu cha Quran kwamba "Hakika ni Kwamba Mwanadamu hawezi kuadhibiwa mpaka pale ambapo atakuwa Amefikishiwa Ujumbe na Kuukataa". So ndugu yangu Infropreneur you never know probably this is the right time for you to get informed and turn back from Losting Forever. May God bless you.....!
Deep!!!!Kinachosikitisha zaidi
Hao Waliotuletea hizi dini ndo hao hao
1.walowatesa Babu zetu kwa vipigo Kisha kuwauza utumwani Kama bidhaa[emoji26]
2. wanaosema sisi waafrika chimbuko letu Ni nyani
Ushahidi wa aina yeyote ile.Smotor unahitaji ushahidi Wa aina gani kuthibitisha kwamba Mungu yupo??
Sasa Kutokujua kwako huoni kama tayari unafanya concept iendelee kuwa Complex sababu watu wataendelea #Ku-Sperculate kutaka kujua where did it came from?. Na pia una encourage knowledge limitation maana watu wataridhika tu kwamba tumelikuta jua na lipo hivi basi tu watake easy bila kujiuliza maswali mengine muhimu kuhusu vitu hivi.Mbona nimeandika kila kitu kwenye bandiko langu uliloliquote!!?
Nmekwambia sijui.
Nakutokujua kwangu haimaanishi ni Mungu ndiyo kalileta jua.
Hivi wewe ukiamka asbuhi ukakuta majani mlangoni kwako, ukaanza kujiuliza ni nani kaleta majani hayo hadi mlangoni kwako.
Ukiwa haujui nani kayaleta hapo mlangoni kwako utasema ni Mungu ndiye kayaleta!?
Kama ww unajua kwamba Jua limewekwa na Mungu, bhasi thibitisha kuwa huyo Mungu wako yupo kwenye uhalisia ili jibu lako likubalike.
Tofauti na hapo wewe hujui jua limetoka wapi, zaidi unajua jibu la uongo tu.
"" Adui mkubwa wa maendeleo ya mwanadamu sio ujinga (ukosefu wa maarifa)
Bali ni illusion ya knowledge""
Hizi dini zimeua mamilioni ya watu kuliko kitu chochote katika hii dunia, soma History utaelewaKwahiyo msingida point yako niipi au baada ya kuandika hivi nini kifanyike. Kumbuka huu ubaya wote uliopo duniani ungekuwa mara dufu bila dini kwahiyo unataka kufumbia watu macho ili uhalifu oungezeke sio???
Allah katika Quran Anazungumza ya kuwa Atawajaribu Wanadamu kwa Khofu, Njaa na Magonjwa kuwapima Imani zao kwahiyo ndugu yangu wewe Kuumwa ama kupata shida Mbali Mbali haimaanishi kwamba Mwenyezi Mungu hana Upendo ni katika mitihani yake. Kuthibitisha kwamba Upendo wake hauna kifani ni kama wewe hapo Amekupa Afya njema na bado hautaki kukubali😀. Lakini hatuwezi Jua kilicho nyuma yake Maana yeye ndiye mjuzi wa yote.Unajua kwamba kupatwa na shurba pia ni uthibitisho kuwa Mungu mwenye uwezo wote ujuzi wote na upendo wote hayupo!?
Mtoto wa mwaka mmoja anapimwa imani gani?Allah katika Quran Anazungumza ya kuwa Atawajaribu Wanadamu kwa Khofu, Njaa na Magonjwa kuwapima Imani zao kwahiyo ndugu yangu wewe Kuumwa ama kupata shida Mbali Mbali haimaanishi kwamba Mwenyezi Mungu hana Upendo ni katika mitihani yake. Kuthibitisha kwamba Upendo wake hauna kifani ni kama wewe hapo Amekupa Afya njema na bado hautaki kukubali[emoji3]. Lakini hatuwezi Jua kilicho nyuma yake Maana yeye ndiye mjuzi wa yote.
Hakuna sehemu hata moja nmekwambia nataka watu wawe sawa.Nimeshakuambia mara kibao unataka dunia iwe sawa watu wote wawe sawa😂...
Sijaona hoja yako wala wenzio maana unalazimisha dunia watu wote wawe sawa.
Mungu ndio anayeratibu kila kitu kwa kifupi ndio maana yupo.!!
Hapo pia umethibitisha kwamba Mungu si mjuzi wa yote.Allah katika Quran Anazungumza ya kuwa Atawajaribu Wanadamu kwa Khofu, Njaa na Magonjwa kuwapima Imani zao kwahiyo ndugu yangu wewe Kuumwa ama kupata shida Mbali Mbali haimaanishi kwamba Mwenyezi Mungu hana Upendo ni katika mitihani yake. Kuthibitisha kwamba Upendo wake hauna kifani ni kama wewe hapo Amekupa Afya njema na bado hautaki kukubali😀. Lakini hatuwezi Jua kilicho nyuma yake Maana yeye ndiye mjuzi wa yote.
Thibitisha mbingu ipo kabla sijakwambia uthibitishe roho!Mbinguni ni kule Roho huenda zikitoka kwenye miili yetu!!
Adhabu ya Allah inapo kuja huwa haichagui, inawakumbuka wote, na hapa Kuna sababu kadha wa kadha.Mtoto wa Mwaka mmoja ana adhibiwa kwa kipi ama ana zindumiwa kwa lipi?
Halafu hawa watu walivyo wa janja, eti siku hz wanakataa mbingu sio hapo kwenye mawingu!!Mbingu Haipo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
If you fail to live on Earth, Heaven is an illusion.
Chanzo Cha kila kitu kina kuwaje na chanzo ?Thibitisha Mungu huyo hana chanzo.
Logical non sequiturBinadamu kapewa akili ndio maana anaweza kupambana dhidi ya mitihani pia ni kiumbe bora bora kabisa.
Hata shule mnapewa mitihanu kujua kutokana mmesoma.