Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Binadamu ana akili na anaweza kupambana na mitihani na amempa akili ...

Sio kila mtihani unapelekea wewe kufa mengine ni kuvumilia kama ugonjwa unaweza kuvumilia mpaka ukapona ,kama kifo kimepangwa basi haina shida.
Kama una Akili Na unaweza kupambana na mitihani,

Akili yako hiyo inaweza kupambana na majanga ya asili kama radi, mafuriko, matetemeko ya ardhi na vimbunga?

Una akili hiyo kweli?

Mungu huyo unayedai katupa akili ili tupambane na mitihani, Mbona Akili yake tuliyo pewa haiwezi kupambana na mitihani ya majanga ya asili?

Ni akili hiyo ama udhaifu?

Ni UDHAIFU wa huyo unaye dai katupa akili ambayo ni dhaifu.

Isiyoweza kupambana na mitihani ya majanga ya asili.
 
Kwa mfano nani anaweza kutuonesha kwa hakika akili ni Nini?

Hivi kuna ushahidi gani kama kuna akili??
Akili ni nomino dhahania

Akili ni kitu subjective tu, inategemea mtu na mtu ana mtazamo upi.

Hivyo kwasababu kudefine akili ya kitu/mtu ni jambo la kimtazamo zaidi linakuwa na definition ambayo sio common.

Labda unijibu kwanza kwa mujibu wako wewe
Akili ni nini?
 
Binadamu ana akili na anaweza kupambana na mitihani na amempa akili ...

Sio kila mtihani unapelekea wewe kufa mengine ni kuvumilia kama ugonjwa unaweza kuvumilia mpaka ukapona ,kama kifo kimepangwa basi haina shida.
Logical non sequitur fallacy

Naona hunielewi hata.

Unayonijibu hata hayahusiani kabisa na nlichokuuluza

Swali hili linaonesha limekuchemsha.

Narudia mara ya tatu:

Mungu mjuzi wa yote, kwanini anawapa watu mtihani ilihali anajua hata majibu ya mtihani huo!?
 
Kama una Akili Na unaweza kupambana na mitihani,

Akili yako hiyo inaweza kupambana na majanga ya asili kama radi, mafuriko, matetemeko ya ardhi na vimbunga?

Una akili hiyo kweli?

Mungu huyo unayedai katupa akili ili tupambane na mitihani, Mbona Akili yake tuliyo pewa haiwezi kupambana na mitihani ya majanga ya asili?

Ni akili hiyo ama udhaifu?

Ni UDHAIFU wa huyo unaye dai katupa akili ambayo ni dhaifu.

Isiyoweza kupambana na mitihani ya majanga ya asili.
Naona watu wanalazimisha majibu tu
 
N
Mtoto wa mwaka mmoja anapimwa imani gani?
Mbona vinazaliwa vina maradhi yakutishaa
Vina kufa katika njia za kusikitiaha
Ndugu Maisha ya Dunia ni ya Kupita tu, wewe kuachwa mzima mpaka dkk hii usifurahie sana, maana yake ni kwamba Una Jukumu zito nyuma yako La Kutekeleza Lengo la wewe kuletwa hapa Duniani

Sasa Huruma yako kwa mtoto aliyezaliwa akiwa na Changamoto hali ya kwamba wewe mtu mzima na Uko sawa basi hakika mtoto huyo Akifa yeye anakuwa wa kwanza kuenda katika Pepo kwani Mwenyezi Mungu alimpatia Changamoto na yeye ndiye anayejua ni Kwanini amefanya hivyo!

Furahia kuwa Hai na kuwa na Afya Njema Kabisa, but you Got to Know you have Task to Accomplish bro
 
Kwa mfano nani anaweza kutuonesha kwa hakika akili ni Nini?

Hivi kuna ushahidi gani kama kuna akili??
Akili ni neno ambalo halipo katika uhalisia, ni dhana ya kufikirika inayo tumika kuonesha uwezo wa mtu wa kufikiri.

Ni neno la kuonesha hali ya kibinadamu ya kuwa na uwezo fulani kifikra.

Akili ni neno (nomino dhahania) sawa na maneno kama Hofu, wasiwasi, tamaa, woga, chuki, kiburi, dharau, kiu, njaa, maumivu n.k

Ambapo maneno haya hayapo katika uhalisia, ila yapo kuonyesha Hali za kibinadamu.

Hali hizi za kibinadamu Hazishikiki wala kuonekana.

Ni dhana zilizopo kwenye hali ya kufikirika.
 
Logical non sequitur fallacy

Naona hunielewi hata.

Unayonijibu hata hayahusiani kabisa na nlichokuuluza

Swali hili linaonesha limekuchemsha.

Narudia mara ya tatu:

Mungu mjuzi wa yote, kwanini anawapa watu mtihani ilihali anajua hata majibu ya mtihani huo!?
Kama Mungu hayupo, dunia na viumbe hai vyake viliumbwa na nani?
 
Infropreneur na Smotor hebu tulijadli suala hili la kuwepo ama kutokuwepo kwa MUNGU kimantiki.

Mleta mada Mayu na nyie ni lazima tukubaliane kwamba hoja ya Mungu kwamba yupo ama hayupo ni lazima ianzie kwenye hoja ya kuumbwa kwa ulimwengu.

Wapinga Mungu husema kwamba dunia imeibuka tu toka kusikojulikana mamilioni kadhaa ya miaka iliyopita.

Lakini kabla hatujaenda mbali sana jee nyie akili zenu zinawatuma kwamba ulimwengu ulianzaje na ni kwa nini nyie mmetokeza kuwa binadamu na siyo Ng'ombe!!
 
...kama mtu hataki kuamini kuna mungu... We muache... Mungu si mnasema anauwezo ko atamfanya amtambue kwa uwezo wake... Mbona tunalazimishana bana... Mimi nikimwambia mtu kuhusu mungu na akawa haelewek unamuacha... Na wewe kama mcha mungu kamwombee japo amjue mungu kupitia maombi yako... Me naamini mungu yupo lakn kuna vitu vinanitiaga mashaka... Huwa naulizia kwa waumini wananielewesha maisha yanasonga...
 
Nacheka sana, naona huna Cha kuandika tena ?

Haya yote yanayotokea alishayapanga miaka elfu 50 kabla ya kuiumba hii Dunia, kwahiyo ni mipango yake tu, lianze hili lofate lile mwisho iwe hivi.

Anatumia kitabu ? Kivipi ? Kitabu ni maneno yake kwa ajili ya kuwaongoza waja wake. Tuliza akili uandike vya maana.
Qurani hata miaka 1500 haijafikisha, hiyo 50,000 umeitoa wapi?
 
Sasa mbona Hilo swali linarudi Kwa Mungu wako pia! Allah ametokana pasi na chochote au amejiumba!?
Nipe sababu tano ambazo zinalazimisha ya kuwa Muumba wa kila kitu awe na chanzo. Ushaambiwa yupo hajawahi kutokuwepo na hajatanguliwa na muda, sababu yeye ndio ameumba muda.

Ndio maana nasisitiza ya kuwa swali lako la uongo.
 
Hakuna moto Wala Pepo, acha kupenda kujipa moyo, tamaa Yako sio kwenda huko peponi tamaa Yako ni bikra 72 ambazo hujawahi kukutana Nazo kwenye uhalisia wa maisha Yako .
Thibitisha ya kuwa hakuna moto, pepo, bikiria 72 na utuambie umejuaje ya kuwa hivyo havipo ?

Usikimbie swali.
 
Kama lengo la kuumba watu ni ili wamuabudu,

Mungu mjuzi wa yote Kwanini akaumba hawa watu ambao hawamuabudu.

Maana yake Mungu huyo mwenye upendo wote aliwaumba makusudi ili awachome moto?

Kwasababu ya kichwa chako hiko, hauoni kama kuna contradiction hapo.
Kwanini mnarudia swali ambalo nimeshawajibu ?

Allah hajaumba watu ili awachome ? Hakuna popote kimeandikwa kitu hiki, bali ameumba watu ili wamuabudu kwa maana ya lengo maalumu. Katika mchakato huo Kuna mambo mengi ili mja afikie lengo la kuumbwa kwake. Baada ya kumuabudu Kuna Kuna kufa kisha kufufuliwa, kwa maana ya kulipwa kila mja stahiki yake.

Kwahiyo hao watakao chomwa ni baada ya wao kukaidi maagizo ya Allah katika kulifikia lengo la wao kuumbwa, tena kwa hiari yao na matakwa yao.

Allah alipo tuumba akatupa uhuru wa kuchagua, kwa akili ya mwanadamu tungeumbwa pasi na uhuru nako tunge lalama.
 
Tatzo lililokumba Nchi zetu ni hili.

Watu wamejitengenezea purpose ya maisha hapa duniani.

Yaani mtu anaishi akijua duniani yuko kwa hisani ya Mungu (asiyepo) ,

Mtu anaridhika na umaskini akiamini yeye ni tajiri wa rohoni (roho isiyopo)

Mtu maisha yake yote yanatekwa na dini.
Kwa bahati mbaya dini ikikukaa vzuri na ukahisi umefikia level ya uMungu, hapo psychology yako inakuwa totally corrupted.

Hey African, hatuko duniani ili kusubiri kuinuliwa.

Ukweli mchungu ni kwamba we are nothing.
Thibitisha ya kuwa Mungu hayupo. Usiandike andike tu.
 
Kama una Akili Na unaweza kupambana na mitihani,

Akili yako hiyo inaweza kupambana na majanga ya asili kama radi, mafuriko, matetemeko ya ardhi na vimbunga?

Una akili hiyo kweli?

Mungu huyo unayedai katupa akili ili tupambane na mitihani, Mbona Akili yake tuliyo pewa haiwezi kupambana na mitihani ya majanga ya asili?

Ni akili hiyo ama udhaifu?

Ni UDHAIFU wa huyo unaye dai katupa akili ambayo ni dhaifu.

Isiyoweza kupambana na mitihani ya majanga ya asili.
😂😂😂Panapotokea majanga katika madhara kuna ishu ya kuokolewa na kujiokoa vyote ni uwezo wa binadamu katika kupambania mitihani ya kidunia.


Sio kila janga watakufa wote ,ndio maana kule turkey yule dogo alikutww siku kadhaa mbele kweny kifusi kwa kawaida hakupangiwa kufa kabisa ..

Sio kila janga litaathiri na kuua kila mtu ndio maana kuna idadi na wengine wanapona.
 
Vimondo vinawapiga mashetani ah kummke[emoji1787][emoji1787] kile Cha mbozi kilimkosa shetani si ndio? Hivi kwani shetani ni kiumbe chenye mwili eeh Tena Cha kupigwa na mawe kama mnavyofanya kule mecca aisee[emoji848][emoji848]
Haswaa bila shaka.
 
Back
Top Bottom