Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

...kama mtu hataki kuamini kuna mungu... We muache... Mungu si mnasema anauwezo ko atamfanya amtambue kwa uwezo wake... Mbona tunalazimishana bana... Mimi nikimwambia mtu kuhusu mungu na akawa haelewek unamuacha... Na wewe kama mcha mungu kamwombee japo amjue mungu kupitia maombi yako... Me naamini mungu yupo lakn kuna vitu vinanitiaga mashaka... Huwa naulizia kwa waumini wananielewesha maisha yanasonga...
Hivyo vitu vinavyokutia mashaka, ndivyo vikuongoze kujiamini kabisa kuwa Mungu hayupo.

Jibu la Mungu ni jibu jepesi zaidi ambalo linafit akili za watu haswa watoto.

Nawewe huwezi kuhoji mashaka hayo kwasababu umetiwa hofu ya kukufuru.

Hata ukitaka kuhoji utaenda kupewa mahubiri tu, na ukihibiriwa hakuna kuhoji zaidi.

Wanazima upelelezi.

Ila ukweli ni kwamba, Hakuna Mungu.

Mungu ni mhusika wa hadithi za kubuni tu.

Binadamu tuliumba Miungu kwa mfano wetu sisi.

Iko miungu mingi sana

Ila yote ina hadithi tofauti kulingana na jamii husika!
 
Kwanini mnarudia swali ambalo nimeshawajibu ?

Allah hajaumba watu ili awachome ? Hakuna popote kimeandikwa kitu hiki, bali ameumba watu ili wamuabudu kwa maana ya lengo maalumu. Katika mchakato huo Kuna mambo mengi ili mja afikie lengo la kuumbwa kwake. Baada ya kumuabudu Kuna Kuna kufa kisha kufufuliwa, kwa maana ya kulipwa kila mja stahiki yake.

Kwahiyo hao watakao chomwa ni baada ya wao kukaidi maagizo ya Allah katika kulifikia lengo la wao kuumbwa, tena kwa hiari yao na matakwa yao.

Allah alipo tuumba akatupa uhuru wa kuchagua, kwa akili ya mwanadamu tungeumbwa pasi na uhuru nako tunge lalama.
Logical non sequitur fallacy

Tatzo sio kujibu,

Je jibu hilo lina akili?

Angalia mfano huu.

Smotor : Kisai Kwanini unalia?
Kisai :Naelekea sokoni kununua mboga

Ila mtu huyo nae atadai kajibu

Je jibu hilo ni sahihi hapo?

Hicho ndicho unachokifanya hapo.

Kujibu si tatzo je jibu lako linamantiki ya kuendana na ulichoulizwa!?

Huwezi kunijibu kama inavyotakiwa kwasababu hyo ni contradiction tu na huwezi kuitatua.

Naomba nrudie tena

Mungu mjuzi wa yote

Maana yake alijua kabisa kuwa kuna Smotor huyu nkimuumba hataniabudu.

Kwanini amuumbe Smotor ili aje kumchoma moto!?

Je Mungu huyu ni wa upendo wote kama anataka kuona kiumbe chake kikiteketea wakati alijua kitaenda tofauti nayeye!?

Kama lengo la kuumba ni ili watu wamuabudu, Kwanini asingeumba wale tu watiifu akina kisai na akaachana na akina Smotor!?

Unadhani hata hizi akili za kutokumuabudu zimetoka wapi kama sio kwake?

Kama Mungu ni wa upendo wote kwanini asi_edit akili zetu sisi tusiomuabudu ili tumuabudu yeye asituchome moto?

Unafahamu kwamba ukileta kigezo cha kutupa free will halafu aje kutuchoma moto tyari anakiwa sio wa upendo wote, anakuwa Mungu katili sana asiye na huruma?
 
Thibitisha ya kuwa Mungu hayupo. Usiandike andike tu.
Haya kuwa katika uhalisia, ili tuelewane

Hivi kwamfano nkakuuliza-

Unajua hapo juu ya kichwa chako kuna filimbi ya dhahabu ambayo inaongoza mawimbi yote ya sauti duniani.

ukweli kwamba filimbi hiyo haipo na haiwezekani kuwepo.

Nawe ukanijibu kabisa kuwa filimbi hiyo haipo

Sasa nkwambie thibitisha kuwa haipo!!

Utasemaje hapo!?
 
Kama upo nje angalia juu mbinguni.
_20230728_103154.JPG
 
Mimi watu kama wewe huwa nawafurahia.

Umetanguliza kuwa unaamini.

Lakini ukweli kwamba Mungu hayupo haumzuii mtu yeyote kuamini kuwa kuna Mungu!!!

God is just an illusion.
Sijamkataza mtu kuamini ama kuto-kuamini,
Imani ni jambo binafsi, hata usipoamini sio kosa kabisa ile hali hatukwazani...

Hata wanangu ni haki yao kuchagua kinachowafaa wala sitamuhukumu hata mmoja..
Zaidi nataka kuona wanajua zuri na baya.

Nashangaa sana familia zinazowakomalia watoto kurithi dini zao na wengine wanawatenga kabisa.

Dini ni usanii mkubwa sana.
 
H
Me naamini Kama Hauko YES basi Uko NO kwahiyo naamini kama hauamini the Presence of God & Religions basi Utakuwa Believer wa Science bila Shaka. Na we all Know kwamba Science ina base ktk the question of how, religion ina base katika the question of why. sasakwakuwa science ina jikita kwenye 'How' ndio Utufafanulie sasa how did the Universe came Up as it opposed to Religious claim kwamba 'The Universe came Up from God'.
Tuwekane hapo sawa ili mabishano yetu yawe na #Mantiki sasa
Hapa hatuko katika mjadala wa science.

Hata kama science haina jibu kuhusu how Universe ilianza, hilo halikuthibitishii wewe kwamba kuna Mungu.

Title ya thread hii ni kama ilivyoandikwa.

Inadeal na huu utapeli wa kuhadaa watu kwamba kuna Mungu.

Unaweza kuthibitishia wewe kwamba kuna Mungu?
 
Angalii hii video jamaa alitaka kumpiga bastola huyo jamaa aliyevaa nguo nyekundu ila ilikuwa haikupangwa jamaa kupigwa bastola.
Kitendo cha kuwezekana kuwepo kwa silaha ni uthibitisho tosha kabisa kuwa Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.

Angekuwepo asingekuwa mkatili kiasi hicho cha kutupatia akili hizi zenye kuweza kufikiria kutengeneza silaha za kuuana.

"Wote wanaosema kuwa kila kitu kimepangwa, angali jinsi walivyo makini kabla ya kuvuka barabara"
 
Safi sa
Safi hapa sasa ndio tunajifunza vitu vya msingi kuliko zile porojo tu sasa una habari kwamba Einstein mwenyewe alikuja Akakiri kwamba Anaamini katika uwepo way Mungu kutokana na hiyo uliyoeleza hapo juu yaani "lack of frame of reference" about exactly source ya Universe?
Sio huyo tu hadi kina Gallileo Galilei wote walisarenda kwamba there is God running the things in this Universe!
Je kukiri kwa hao kunathibitisha kuwa Mungu yupo!?
 
Nimeuliza kama utaweza kumtafsiri mtu anae mchoma mtoto wake kwa kosa lolote kama ana upendo au la, wewe unanijibu mwenye kuchoma ni Allah!

Wala Sijauliza kama ni haramu kuchoma mtu. Nimeuliza tafsiri ya watu wenzako tu ju ya upendo.
Wala sijauliza kuhusu Allah.

Jibu swali langu tafadhali.
Mzazi mwenye kumchoma mtoto wake aliyekosea wewe binafsi utamuona mzazi huyo kama mwenye upendo sana na mtoto wake??
Huyo utahangaika tu mkuu,

Siku zote Huwa Haelewi hata anachokijibu.

Hajui hata mantiki ni kitu gani
 
Matokeo nayatokana na uwezo wa mtu kushindwa kupambana na mitihani ,yaani maisha magumu mwingine anashindwa kupambana mpaka akajinyonga.
Logical non sequitur

Kwa majibu hayo ni ushahidi kwamba umeshindwa kutegua contradiction hiyo.

Acheni kuhadaa watu.

Huyo Mungu hayupo katika uhalisia
 
Nani alikwambia Jua ni nyota ? Ndio huwa mnasema Jua ni "Nyota kubwa" sio ?
Nlijua tu kuwa haujui kuwa jua ni nyota.

Hata kitabu cha dini yako hakitambui hilo.

Jua ni moja wapo ya nyota,

Usiseme Jua ni nyota kubwa kuliko zote.
Unaiona kubwa kwasababu iko karibu tu.

Hilo jua lina Radius ya 696,000 kilometers.

Wakati nyota kama Hadar(Beta centauri) ina Radius ya 5.983 million kilometers.

Ni kwamba unadhani ni ndogo kwasababu iko mbali tu (Hadar iko umbali wa miaka ya mwanga 392.02. Kutoka duniani)

Umepata pata kitu sasa Kisai ?
 
Kitendo cha kuwezekana kuwepo kwa silaha ni uthibitisho tosha kabisa kuwa Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.

Angekuwepo asingekuwa mkatili kiasi hicho cha kutupatia akili hizi zenye kuweza kufikiria kutengeneza silaha za kuuana.

"Wote wanaosema kuwa kila kitu kimepangwa, angali jinsi walivyo makini kabla ya kuvuka barabara"
Unaangalia upande wa ukatili tu sio ,tatizo lako umebase kweny kulaumu ila neema nyingi huzioni ...

Angalau siku moja upate ulemavu ndio utajua umuhimu wa kuwa kimwili na afya kuwa njema.
 
Masai mmoja anayehisiwa kuwa na Ugonjwa wa Kusahau Alikwenda hospitali kumweleza doctor kwamba anasumbuliwa na tatizo la jino kumuuma, alipoulizwa tatizo limemuanza lini masai akajibu 'tatizo gani? "🤣
Shukrani kwa kionjo

Turudi kwenye mada kuu.

Unaweza thibitisha Mungu yupo?
 
Logical non sequitur

Kwa majibu hayo ni ushahidi kwamba umeshindwa kutegua contradiction hiyo.

Acheni kuhadaa watu.

Huyo Mungu hayupo katika uhalisia
Unalazimisha na hauna hoja zaidi ya kulalamika sijaona hoja zako zaidi unalalamika..

Au nionyesha hauna hoja kifupi unalalamika kwa nn yule yupo hivi ? Huyu yupo hivi ? Sio hoja hizo ni vile wewe unataka ..


We umekuwa unalalamika tu hutoa hoja🤣🤣
 
Back
Top Bottom