Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Unaangalia upande wa ukatili tu sio ,tatizo lako umebase kweny kulaumu ila neema nyingi huzioni ...

Angalau siku moja upate ulemavu ndio utajua umuhimu wa kuwa kimwili na afya kuwa njema.
Unataka niangalie nini!?

Si napima upendo wa Mungu!?

Kwanini wewe unataka tuangalie mazuri pekee!?
 
Unalazimisha na hauna hoja zaidi ya kulalamika sijaona hoja zako zaidi unalalamika..

Au nionyesha hauna hoja kifupi unalalamika kwa nn yule yupo hivi ? Huyu yupo hivi ? Sio hoja hizo ni vile wewe unataka ..


We umekuwa unalalamika tu hutoa hoja🤣🤣
Hoja ni hii ambayo imekushinda wewe kujibu

Unajibu jibu lisilohusiana na ulichoulizwa.

Ni nini dhumuni la Mungu kutaka kupima watu?
Je Mungu si mjuzi wa yote na hajui matokeo ya vitu anavyotaka kuvipima!?
 
Hata wewe unaye jidai kumtetea na kumjua Mungu Utakufa na kupita.

Mfano wako huu wa kwamba "tunapita" Hauna mantiki yeyote ya kuonesha uwepo wa Mungu.

Thibitisha Mungu yupo na si mawazo yako ya kufikirika.
Kwa uzoefu wangu Mungu hatetewi na wala hajitetei kwa kiumbe mmoja mdogo kama wewe.
 
Huyo utahangaika tu mkuu,

Siku zote Huwa Haelewi hata anachokijibu.

Hajui hata mantiki ni kitu gani
Si muda naacha mazungumzo nayeye.

Nimemuuliza maswali yako straight forward, yeye anenda kujitungia maswali yake then anajijibu.
Sioni tunakoelekea.
 
hivi swala la ndoa linakuaje kwa sisi non religious people?

kwa hapa tz utapata kweli wa kuendana nae?
Wapo mkuu, inakubidi ujipange tu mbona hata kwa wasioamini wapo wa jinsia zote.

Halafu hata kwa wanaoamini, mtu akikuelewa kakuelewa tu.

Kuna binti wa Kiislamu ananielewa mpaka basi, ikafikia wakati mpaka kwenye mfungo anataka awe nami, mimi ndiye nikawa namuomba asiharibu mfungo wake, all along ananijua mimi siamini Mungu na kila baada ya mazungumzo kadhaa napiga falsafa zangu ananisikiliza ananielewa na ananikubali tu.

Ni wewe tu.

Ila nakuelewa sana kibongobongo watu wakisikia huamini dini wanakuona chinjachinja, uelewa mdogo sana.

Mimi napata nafuu kwa sababu huku Marekani hususan mijini habari hizo ni kawaida tu.
 
Upendo ni wewe kakupa pumzi unapumua bure hata afya inayofanya unafanya kazi.

Kakupa macho unaangalia hapa ndio unatyping , unataka nn zaidi?
Unataka niangalie nini!?

Si napima upendo wa Mungu!?

Kwanini wewe unataka tuangalie mazuri pekee!?
 
Hoja ni hii ambayo imekushinda wewe kujibu

Unajibu jibu lisilohusiana na ulichoulizwa.

Ni nini dhumuni la Mungu kutaka kupima watu?
Je Mungu si mjuzi wa yote na hajui matokeo ya vitu anavyotaka kuvipima!?
Anampima binadamu kwa vile kampa akili.! Ndio jibu nimekujibu

Labda maoni yako sema ulitaka binadamu akae tu, basi tungekuwa tunalala wala hakuna kutafuta riziki sisi ni wa kulala tu, hamna kuzaliana wala nini.
 
290px-Loewenmensch1.jpg

Tafuta kitabu kinaitwa A brief history of humankind halafu kisome mpaka utakapokutana na hiyo picha ndio utaelewa hii kelele ya Mungu inaanzia wapi...kimeandikwa na Yuval Noah Harrari....Pia bwana hawking na yeye si wa kumpuuzia pata nakala ya brief history of time...brief answers to big question...ukimaliza hivi vitabu mtafute Lex Fridman kwenye upande wa podcast kuna wataalamu wanaielewa hii dunia kupita kiasi huwa wanapiga story na jamaa...

Kwa watakaouliza Lex Fridman ni nani? Huyu ni proffesor kutoka chuo cha MIT....ukimaliza hutakuwa na haja ya kubishana na mtu yoyote juu ya uwepo wa kisichokuwepo...cha msingi tuu ni kwamba ni vizuri akawepo kwenye akili yako ili ikusaidie katika kuboresha afya ya subconcious mind yako kwa sababu huwa inafanya kazi katika kanuni ya morality...

Tofauti na hivyo utaishia kuwa ni mtu wa grief ukiniuliza ni kwanini jibu ni jepesi ukimkataa wanayemuita Mungu hasa kwa Tanzania ambapo elimu bado ipo chini utakuwa umeyakataa maisha..ambayo mimi binafsi nnamini watu walitumia miaka mingi sana kuimagine reality ambayo ndio imekuwa coded mpaka kwenye DNA yetu na ndio maana ni rahisi hata mtu kuamini kuwa Mungu yupo kwasababu hayo ndio maisha yenyewe..ilisafiri vipi?? Usisahau kuhusu inheritance

Nimalizie kwa kusema life would have been tragic if it weren't funny...
 
Na
1.Radi
2.Kutokea kwa Usiku na mchana
3.Mechanism za mwili (ikiwemo sperm zinapotoka)
4.Tetemeko la ardhi
5. Sayari kuzunguka jua

We bro unachekesha sana Yani hayo ndio mamba ambayo binadamu ameweza kuyafahamu na kuyaelezea pasipo dhana ya uwezo wangu ? Nani aliyekudanganya? Wewe Wala haujasoma Sayansi hayo mambo uliyoyataja hapo yote wanasayansi wamechemka

1) RADI
Radi inatokana na mvutano wa electron zenye chaji zinazofana either zote ni +ve au zote ni -ve

Nani aliyetengeneza hizo electron wanasayansi hawana majibu

Nani amezifanya hizo electron zibebe change wanasayansi hawana majibu

Umeme wa radi wanasayansi wameshindwa kuuchukua na kutumia pia Wanashangaa jinsi ulivyo na mamilioni ya voltage

Katika hili Mungu amebaki kuwa Mungu

2) KUTOKEA USIKU NA MCHANA
Usiku na mchana unatokea Kwa sababu Dunia inajizungusha yenyewe

Wanasayansi wanasema Ili kitu kimuvu lazima kuwe na external force
External force inayoifanya Dunia uzunguke ni ipi Hadi Leo wanasayansi hawana majibu na kwanini rotation speed ya Dunia ipo constant pia wanasayansi hawana majibu

3) MECHANISM ZA MWILI
Mechanism zote za mwili zinatumia umeme Hadi Leo hii wanasayansi hawajui source ya huo umeme Nini

4) TETEMEKO LA ARIDHI
Hadi Sasa wanachujua wanasayansi ni kupima ukubwa wa tetemeko yaliyobakia yote wanabahatisha na ndio maana nchi kama Uturuki Wana wanasayansi wengi lakini walishindwa kujua tetemeko litatokea LIni , saa ngapi na Lina ukubwa gani

5) SAYARI KUZUNGUKA JUA
Ingia katika website ya NASA Kila siku wanagundua vitu vipya maana yake ni kwamba hawana majibu sahihi kuhusu mfumo wa ulimwengu

Yani kama Kuna mtu amekuambia wanasayansi wanajua Kila kitu kuhusu huu ulimwengu na viumbe wake basi amekudanganya

We endelea tu kukaa na ujinga wako kuwa hakuna Mungu

Mbona hazizuki Sayari nyingine na viumbe vingine vipya kama Kila kitu kimezuka

Nakazia
 
View attachment 2750610
Tafuta kitabu kinaitwa A brief history of humankind halafu kisome mpaka utakapokutana na hiyo picha ndio utaelewa hii kelele ya Mungu inaanzia wapi...kimeandikwa na Yuval Noah Harrari....Pia bwana hawking na yeye si wa kumpuuzia pata nakala ya brief history of time...brief answers to big question...ukimaliza hivi vitabu mtafute Lex Fridman kwenye upande wa podcast kuna wataalamu wanaielewa hii dunia kupita kiasi huwa wanapiga story na jamaa...

Kwa watakaouliza Lex Fridman ni nani? Huyu ni proffesor kutoka chuo cha MIT....ukimaliza hutakuwa na haja ya kubishana na mtu yoyote juu ya uwepo wa kisichokuwepo...cha msingi tuu ni kwamba ni vizuri akawepo kwenye akili yako ili ikusaidie katika kuboresha afya ya subconcious mind yako kwa sababu huwa inafanya kazi katika kanuni ya morality...

Tofauti na hivyo utaishia kuwa ni mtu wa grief ukiniuliza ni kwanini jibu ni jepesi ukimkataa wanayemuita Mungu hasa kwa Tanzania ambapo elimu bado ipo chini utakuwa umeyakataa maisha..ambayo mimi binafsi nnamini watu walitumia miaka mingi sana kuimagine reality ambayo ndio imekuwa coded mpaka kwenye DNA yetu na ndio maana ni rahisi hata mtu kuamini kuwa Mungu yupo kwasababu hayo ndio maisha yenyewe..ilisafiri vipi?? Usisahau kuhusu inheritance

Nimalizie kwa kusema life would have been tragic if it weren't funny...

Kwamba hakuna Mungu? Binadamu katokea tu si ndio unachotaka kumaanisha?
 
Kwa uzoefu wangu Mungu hatetewi na wala hajitetei kwa kiumbe mmoja mdogo kama wewe.
Uzoefu wako upi?

Kwanza, Thibitisha huyo Mungu yupo?

Kisha eleza jinsi gani Mungu huyo hatetewi?

Maana ninyi kila mara mna mtetea Mungu huyo, panapo azishwa nyuzi za kutokuwepo kwake.
 
We Can never learn anything from the Atheist perspective. They just have nothing to stand for coz literally you can't say that something is as it is simply bcoz it's as it is [emoji1787]
If you can't say that something is as it is, simply because is as it is,

Then, Why are you saying that God exists as he is?

Prove, How God came to existence from Nothing?
 
Back
Top Bottom