Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Pole ila kama unachosema hakitokani na kiburi cha moyo wako ila ni ufahamu hafifu unaopelekea imani ndogo kwa Mungu nakuombea wewe na mimi pia Mungu atuguse kwa namna ya kipekee ile tuweze kumfahamu japo katika mipaka hii hi ya uelewa wetu... Mungu na akubariki

[emoji120][emoji120][emoji120]

Natamani sana kupata hiyo baraka ya kumjua YUPO mkuu
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Biggest scam hapa duniani ni hizi dini za kutungwa na watu Ukristu, Uislam, na Uyahudi
 
Unajisumbua bure tu, nahisi ndonga lake limejaa TROJAN [emoji23]

Umeishiwa HOJA sasa unaleta VIROJA

Ndio maana mnaambiwa mnao amini imani za Mungu mnashambulio la KIAKILI

Kama huwezi kumthibitisha Mungu wako tusichoshane.....
Wewe endelea KUMUAMINI
 
[emoji23]

Jamaa alipojibiwa kwa hoja inayoendana na upeo wake mara ghafla akasahau kwamba msingi wa hoja yake ni neno tuonyeshe

Comments iliyofuatia amejibu mitungi [emoji23] "vihifadhi gesi"

#We misso misondo umepigaje hapo [emoji23]
Basi tuonyesheni ushuzi mnao Jamba ukoje?.
Tuna tambua vitu Kwa kutumia milango ya faham,

Unavuta hewa na kuitoa na unapumua vizuri kabisa watu wakamua kuita oxygen,
 
Una wenge, aliyejenga hoja ya TUONYESHE MUNGU ni FLONA au BLENDER?

Ungemuuliza shoga yako BLENDER hilo swali na si FLONA

We pia umeona hilo boko e

Mkuu inaonekana wewe ni KIAZI sana aiseee [emoji23]
 
Basi tuonyesheni ushuzi mnao Jamba ukoje?.
Tuna tambua vitu Kwa kutumia milango ya faham,

Unavuta hewa na kuitoa na unapumua vizuri kabisa watu wakamua kuita oxygen,
Oxygen ni colorless Kwa macho ya kawaida ya binadamu, Ila kama ukitumia vifaa maalumu cha kielektroniki ambacho hutumia mwanga wa ultraviolet ili kugundua uwepo wa oksijeni .
 
Mkuu inaonekana wewe ni KIAZI sana aiseee [emoji23]
Umefurahi mwenyewe [emoji23]

Sema nini, nimefarijika sana sababu hilo neno aliyeanzisha kulitumia kwa minasaba hiyo ni mimi mnamo 2010s, najivunia, endelea kuwa mmoja wa wenezi wangu

[emoji4]
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Biggest scam hapa duniani = Uislam, Ukristu
 
Mkuu kwani uthibitisho wa uwepo wa kitu ni lazima UONEKANE KWA MACHO TU?

Hatuoni Sauti, harufu nk nk lakini tunao uthibitisho kuwa vitu hivyo vipo

Achana na simulizi za Mudi na Fundi kapenta wa Galilaya
THIBITISHA uwepo wa Mungu
Huyo jamaa alihoji kama kweli Mungu yupo tuonyeshe huyo mungu Yuko wapi?
Yeye alikua anataka amuone Mungu kwa macho ndio maana nikamtolea huo mfano.
Pia nimemuuliza kama anayo akili lakini hakunijibu, angenijibu ningemuomba anioneshe hio akili yake ili niamini kama kweli anayo hio akili.
 
Huyo jamaa alihoji kama kweli Mungu yupo tuonyeshe huyo mungu yuko wapi? Yeye alikua anataka amuone Mungu kwa macho ndio maana nikamtolea huo mfano.

Pia nimemuuliza kama anayo akili lakini hakunijibu, angenijibu ningemuomba anioneshe hio akili yake ili niamini kama kweli anayo hio akili.

Sawa

[emoji4]
 
Huyo jamaa alihoji kama kweli Mungu yupo tuonyeshe huyo mungu Yuko wapi?
Yeye alikua anataka amuone Mungu kwa macho ndio maana nikamtolea huo mfano.
Pia nimemuuliza kama anayo akili lakini hakunijibu, angenijibu ningemuomba anioneshe hio akili yake ili niamini kama kweli anayo hio akili.

Mkuu naona unajaribu kukwepa msingi wa HOJA kwa kucheza na maneno

Unapo ambiwa tuonyeshe Mungu alipo maana yake thibitisha alipo na uwepo wake

Wewe tuambie huyo Mungu wako anathibitika vipi?
Binadamu tunatambua vitu kwa milango ya fahamu
We mthibitishe anavyoweza kuthibitika
 
Back
Top Bottom