Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world


[emoji120][emoji120][emoji120]

Natamani sana kupata hiyo baraka ya kumjua YUPO mkuu
 
Biggest scam hapa duniani ni hizi dini za kutungwa na watu Ukristu, Uislam, na Uyahudi
 
Unajisumbua bure tu, nahisi ndonga lake limejaa TROJAN [emoji23]

Umeishiwa HOJA sasa unaleta VIROJA

Ndio maana mnaambiwa mnao amini imani za Mungu mnashambulio la KIAKILI

Kama huwezi kumthibitisha Mungu wako tusichoshane.....
Wewe endelea KUMUAMINI
 
[emoji23]

Jamaa alipojibiwa kwa hoja inayoendana na upeo wake mara ghafla akasahau kwamba msingi wa hoja yake ni neno tuonyeshe

Comments iliyofuatia amejibu mitungi [emoji23] "vihifadhi gesi"

#We misso misondo umepigaje hapo [emoji23]
Basi tuonyesheni ushuzi mnao Jamba ukoje?.
Tuna tambua vitu Kwa kutumia milango ya faham,

Unavuta hewa na kuitoa na unapumua vizuri kabisa watu wakamua kuita oxygen,
 
Una wenge, aliyejenga hoja ya TUONYESHE MUNGU ni FLONA au BLENDER?

Ungemuuliza shoga yako BLENDER hilo swali na si FLONA

We pia umeona hilo boko e

Mkuu inaonekana wewe ni KIAZI sana aiseee [emoji23]
 
Basi tuonyesheni ushuzi mnao Jamba ukoje?.
Tuna tambua vitu Kwa kutumia milango ya faham,

Unavuta hewa na kuitoa na unapumua vizuri kabisa watu wakamua kuita oxygen,
Oxygen ni colorless Kwa macho ya kawaida ya binadamu, Ila kama ukitumia vifaa maalumu cha kielektroniki ambacho hutumia mwanga wa ultraviolet ili kugundua uwepo wa oksijeni .
 
Mkuu inaonekana wewe ni KIAZI sana aiseee [emoji23]
Umefurahi mwenyewe [emoji23]

Sema nini, nimefarijika sana sababu hilo neno aliyeanzisha kulitumia kwa minasaba hiyo ni mimi mnamo 2010s, najivunia, endelea kuwa mmoja wa wenezi wangu

[emoji4]
 
Biggest scam hapa duniani = Uislam, Ukristu
 
Mkuu kwani uthibitisho wa uwepo wa kitu ni lazima UONEKANE KWA MACHO TU?

Hatuoni Sauti, harufu nk nk lakini tunao uthibitisho kuwa vitu hivyo vipo

Achana na simulizi za Mudi na Fundi kapenta wa Galilaya
THIBITISHA uwepo wa Mungu
Huyo jamaa alihoji kama kweli Mungu yupo tuonyeshe huyo mungu Yuko wapi?
Yeye alikua anataka amuone Mungu kwa macho ndio maana nikamtolea huo mfano.
Pia nimemuuliza kama anayo akili lakini hakunijibu, angenijibu ningemuomba anioneshe hio akili yake ili niamini kama kweli anayo hio akili.
 

Sawa

[emoji4]
 

Mkuu naona unajaribu kukwepa msingi wa HOJA kwa kucheza na maneno

Unapo ambiwa tuonyeshe Mungu alipo maana yake thibitisha alipo na uwepo wake

Wewe tuambie huyo Mungu wako anathibitika vipi?
Binadamu tunatambua vitu kwa milango ya fahamu
We mthibitishe anavyoweza kuthibitika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…