Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Hivi ukiambiwa hii story sio hata original kwenye bible utajiskiaje...hii creation myth ipo Hadi kwenye epic of Gilgamesh kwenye epic nyingine huko in sumerian myths zipo kibao it's just a story made up haina historical reference yoyote Kama una any archeological evidence tuletee...
Mimi sijui Bible, ongelea Qur'an na Hadithi za Mtume huko ndiko haya nimeyatoa, Sasa njoo uonyeshe uongo wa hicho kilicho andikwa humo.

Kuwepo wapi na wapi si hoja, hoja ni je ni sahihi na chimbuko lake ni wapi ?
 
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Kila mwanadamu ameumba katika hali ya kumjua Mola muumba, ndio mtu anaposhikwa na shida na kuhisi Hana msaada wowote, huona kwamba yupo wa kutoa msaada ambaye ni Mola muumba.

Kugawanyika kwa watu kumetokana na ujinga na kufata akili zao, kama mnavyo chukua fikra zenu toka kwa wapumbavu Wanafalsafa na Wanasayansi wajinga kama vile kina Hawking.

Ukisoma Historia ya watu wa kale, unakuta walikuwa na miungu wao wengi, ila wanapo pata shida kubwa wanarudi kwa Mungu mkuu, hapa utaona kabisa Hawa wamekataa kweli na haki na wakafata akili zao.

Dini gani inawataka watu wasihoji ? Ongelea Uislamu ambao Mimi ni dini yangu, hakuna dini inayo himiza watu kuhoji vya maana na kutumia akili kuzidi Uislamu. Sasa hapa sijajua unaongelea dini gani ?
 
Kijana sisi hatuishi kwa kubahatisha, mngekuwa mnasoma kiundani hivi vitu usingeandika haya mambo.

Soma Historia na habari za huyo Zeus, kisha kaa tafakari ujue unaandika nini.

Wasomi wetu wameandika vitabu na vitabu kuelezea habari za hizo dini, ukitaka ujue tu usiende mbali soma Historia ya Uhindu na Budha sababu dini hizi zinafanan pakubwa, utajua kwanini si dini sahihi.
🤣Basi tusiende mbali mfano ukamkuta Yesu ndo Mungu ambae ndo mnamkana kinoma waislamu ..utafanyaje
 
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

Mtume hakuwa maamuma, unajua maana ya Maamuma ? Mtume alikuwa hajui kusoma Wala kuandika na hakuwa Maamuma. Halafu unataka kujadili kuhusu jambo hili na hujui maana ya maneno unayo yatumia ?

Haya hakuwa anajua kuandika, hoja yako Iko wapi ?

Nakupa kazi hapa uje uonyeshe ya kuwa Mtume hakuwa anashushiwa maagizo.

Sasa uongo hapo uko wapi ? Kwamba kupewa Wanawake 72 ni jambo baya ? Kuzagamua ni jambo baya ?
 
Mimi sijui Bible, ongelea Qur'an na Hadithi za Mtume huko ndiko haya nimeyatoa, Sasa njoo uonyeshe uongo wa hicho kilicho andikwa humo.

Kuwepo wapi na wapi si hoja, hoja ni je ni sahihi na chimbuko lake ni wapi ?
🤣🤣🤣Quran si imecopy kwa bible vitu vingi bana acheni kujichetua...kwani Muhammad si alikutana na wakristo na wayahudi mbali mbali kwani hizi story aliziota au...
 
🤣Basi tusiende mbali mfano ukamkuta Yesu ndo Mungu ambae ndo mnamkana kinoma waislamu ..utafanyaje
Yesu hawezi kuwa Mungu hajawahi kuwa Mungu na hatokuwa Mungu.

Kijana nasisitiza hatuishi kwa kubahatisha, leta mfano hai.
 
Kwahiyo hili ulichokiandika unasema hoja. Sasa njoo tujadili kwa masharti haya mawili tu :

1. Hakikisha kila swali ninalo kuuliza unajibu
2. Hakikisha unamjua huyu Mungu ambaye unamkana.

Naanzia hapa, Wapi kimeandikwa kama Dunia itaangamizwa kwa ajili yetu ? Mimi ni Muislamu, nataka ujadili jambo kwa mujibu wa Uislamu, maana Kuna sehemu ulijinadi kwamba unajua Uislamu ( Ila kiukweli kwa ulicho kiandika unaonyesha wazi huujui Uislamu).

Nukta ya kuiangamiza Dunia kwanza unatakiwa ulete ukweli wake.

Nakuja kwenye kuumba Moto, Mola wetu ametuumba kwa malengo, na akaweka utaratibu ya kuwa watakao faulu watalipwa pepo na watakao feli wataingizwa motoni, hili alilijua na anajua fulani wa motoni na fulani wa peponi.

Lakini alipo tuumba akatupa akili, matashi na hali wezekano ya kufanya mema na kufanya maovu. Katika hayo akaweka mlango wa kusamehe pale mtu utakapo kosea.

Hakuna sehemu ambapo kimeandikwa kwamba Mola wetu ametuumba ili tukosee, hili halipo. Haya maneno umeyapata wapi ? Bali ametuumba katika hali zote za kupatia na kukosea, na ukikosea ukiombwa msamaha kwake unasamehewa.

Sahihi kabisa na angetaka wote tumuamini angefanya hivyo, akatuumba na kutupa uhuru wa kufanya tunayotaka, ndio maana wewe Leo hii unamkana na humjui, lakini anakupa pumzi na kukulea.

Kwa akili ya mwanadamu, ungeumbwa katika hali hiyo unayo itaka pia ungelala, na Mola wetu ni Mjuzi wa kuumba.

Maswali hujibiwa kwa majibu
 
Mtume hakuwa maamuma, unajua maana ya Maamuma ? Mtume alikuwa hajui kusoma Wala kuandika na hakuwa Maamuma. Halafu unataka kujadili kuhusu jambo hili na hujui maana ya maneno unayo yatumia ?

Haya hakuwa anajua kuandika, hoja yako Iko wapi ?

Nakupa kazi hapa uje uonyeshe ya kuwa Mtume hakuwa anashushiwa maagizo.

Sasa uongo hapo uko wapi ? Kwamba kupewa Wanawake 72 ni jambo baya ? Kuzagamua ni jambo baya ?
🤣Bro...the one making the claim ndo anatakiwa kuproof...Mimi Nikisema Nina uwezo wa kupaa unategemea unione nikipaa siwezi kusema prove kwamba siwezi kupaa nitaonekana kichaa... hizo revelation mbona asa Zina uwongo mwingi...kuhusu past kuhusu geography kuhusu future pia...🤣
 
🤣🤣🤣Quran si imecopy kwa bible vitu vingi bana acheni kujichetua...kwani Muhammad si alikutana na wakristo na wayahudi mbali mbali kwani hizi story aliziota au...
Mimi nakupa kazi onyesha wapi Qur'aan ime copy kwenye Biblia.

Kingine njoo uthibitishe ya kuwa kipindi Qur'aan inashuka Biblia ilikuwepo ?

Qur'aan ipo Biblia haikuwepo. Sasa wapi Qur'aan ime copy ? Kingine mtu asie jua kuandika Wala kusoma ana copy vipi maandiko ? Kijana wewe ni mtupu sana katika hili, unakosea sana mpaka unanipa uvivu wa kujadiliana na wewe, maana nahitajika kukukosoa mambo mengi jambo ambalo halina haja.

Sasa ndio utuambie wewe ali copy wapi ?
 
Yesu hawezi kuwa Mungu hajawahi kuwa Mungu na hatokuwa Mungu.

Kijana nasisitiza hatuishi kwa kubahatisha, leta mfano hai.
🤣🤣🤣🤣Sawa...we unasema hivyo coz muarabu kakuambia...Ila ndo umkute utafanyaje..coz me naweza sema Allah sio Mungu hajawahi kuwa Mungu ni story tu za waarabu...
 
Yesu hawezi kuwa Mungu hajawahi kuwa Mungu na hatokuwa Mungu.

Kijana nasisitiza hatuishi kwa kubahatisha, leta mfano hai.

Wewe Mungu wako umemthibitisha?

Mbona kiherehere sana kuomba uthibitisho wa mungu wa wenzako?
 
Mimi nakupa kazi onyesha wapi Qur'aan ime copy kwenye Biblia.

Kingine njoo uthibitishe ya kuwa kipindi Qur'aan inashuka Biblia ilikuwepo ?

Qur'aan ipo Biblia haikuwepo. Sasa wapi Qur'aan ime copy ? Kingine mtu asie jua kuandika Wala kusoma ana copy vipi maandiko ? Kijana wewe ni mtupu sana katika hili, unakosea sana mpaka unanipa uvivu wa kujadiliana na wewe, maana nahitajika kukukosoa mambo mengi jambo ambalo halina haja.

Sasa ndio utuambie wewe ali copy wapi ?
Utaanza kutukanwa asa...,🤣🤣🤣🤣so story za Adam na eve, za nuhu, za Musa za Yesu, injili na torati hazikuwepo before 600 CE, kubishana utoto huu ndo staki hebu twende kwa facts bana ..Kama unataka uongee kujikosha kosha hapa bac yaishe
 
Naona huna hoja ila umeshika imani potofu.

Hii inaonesha kuwa umeshindwa kuthibitisha kama Mungu yupo.

Ila unaforce tu awepo.

Yaani unamawazo yako umeyang'ang'ania hayohayo ambayo huwezi kuyaelezea.

Imani za dini ni shambulio la akili.
Nimekuambia ana ratibu mzunguko wa jua na mwezi ,kinachotokea kwa binadamu ambacho hata wewe hujui kesho yako.

Sijaona hoja yako mpaka sasa zaidi ya 😂😂kubisha...Toa hoja zako maana najua hauna.
 
🤣🤣🤣🤣Sawa...we unasema hivyo coz muarabu kakuambia...Ila ndo umkute utafanyaje..coz me naweza sema Allah sio Mungu hajawahi kuwa Mungu ni story tu za waarabu...
Namkutaje wakati kila kitu kipo wazi ? Umewahi kujifunza Falsafa au Logic kama fani ? Kama umewahi kusoma masomo hayo, achana nayo, yanakufanya uwe zwa zwa na ushindwe kuhoji mambo kwa usahihi.

Hatubahatishi sisi.

Hapo si umesema, shida sio kusema hujaona wenzako wanasema wao ndio mumiungu wenyewe, shida ni kuthibitisha hilo. Kwahiyo wewe endelea kusema tu. Sisi tunataka ithibati.
 
Wewe hujui chochote kuhusu ulimwengu ndio maana tunabishana mpaka sasa..

Nikikuambia chanzo cha mwanadamu hata nikupe miaka 10 huwezi kuja na facts za kunielewa.....Ndio maana nakuambia tutumie akili sio sayansi wala vitabu vya dini ...Maana sayansi ni mawazo ya mtu na yanakulimit kufikria nje ya box.
Ulichokiongea wewe ni vice versa

Atleast mimi sijui kwa mtizamo wako.

Lakini ushauri wangu naamini ulikuwa mzuri sana.

Wewe unayejua unaweza kunipa facts kuhusu chanzo cha binadamu!?
 
Umesema tuongelee habari za uwepo wa Mungu.
Sielewi nani kazungumzia binadamu ni nyani hapa.

Umeleta mada tanzu ambayo haipo.

Uliposema

kumbe unakubali na unajua hivi vitabu vya dini zenu viliandikwa na wanadamu tu kwa kutungwa mauongo uongo!?
Binadamu wanasema ni nyani kwa sayansi uliyodanganywa ,sasa nakupa kazi ukiniambia nakulipa mil 10 ....Niambie chanzo cha binadamu kuwepo hapa duniani?
 
Utaanza kutukanwa asa...,🤣🤣🤣🤣so story za Adam na eve, za nuhu, za Musa za Yesu, injili na torati hazikuwepo before 600 CE, kubishana utoto huu ndo staki hebu twende kwa facts bana ..Kama unataka uongee kujikosha kosha hapa bac yaishe
Kijana sababu sio wasomaji na mmezoea kusikia, fanya kazi niliyo kupa.

Onyesha wapi Qur'an ime copy toka kwenye Biblia.

Mimi nimekwambia Qur'an ipo kabla ya Biblia kuwepo. Sasa nionyeshe wapi Qur'an ime copy kwenye Biblia, naandika Kiswahili chepesi sana.

Nataka tuone kati yangu na wewe nani analeta utoto.
 
Ulichokiongea wewe ni vice versa

Atleast mimi sijui kwa mtizamo wako.

Lakini ushauri wangu naamini ulikuwa mzuri sana.

Wewe unayejua unaweza kunipa facts kuhusu chanzo cha binadamu!?
Sasa hujui huoni kama ni kazi kumuelewesha mpumbavu (yaani hujui halafu hutaki kujua).

Hamna unachojua zaidi ya kufuata mkumbo ..Huu sio mtihani tunatumia akili na uhalisia wa maisha.
 
Back
Top Bottom