Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Nakuuliza hivi nipe sababu tatu ambazo zinalazimisha ya kuwa Muumba wa Mbingu na ardhi na vilivyomo lazima awe na chanzo au lazima awe ameumba ?

Kanuni inasema hivi "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Allah". Sababu Allah ndio chanzo chenyewe.
Kanuni yako hii ni ya UONGO na mimi nai prove wrong hapa.

Ukishasema kila kitu na Allah pia anabeba sifa za "kitu" ana jumlishwa huko kwenye vitu vyote. Na kanuni ni hivi 👇

Kama kila kitu kilichopo na Allah huyo unakiri yupo kwa sababu ni kitu kilichopo kwamba Lazima kiwe na chanzo, Basi hata huyo "Allah" Lazima awe na chanzo, Na chanzo chake Allah kiwe na chanzo chake, Na chanzo chake Allah chanzo chake Lazima kiwe na chanzo chake.

Ili muundo wa Kanuni hii ya kwamba "Lazima kuwepo chanzo cha kila kitu kilichopo" uwe na muundo ule ule wa kuonesha ulazima huo, to infinity (Endless)


Unakubali kuna "Infinity Series" ? Kama inakubali ya kuwa kuna "Infinity" wewe huna akili, na ni makosa kuendelea kujadiliana na wewe.

Hao Wanasayansi mnao waamini wenyewe wanapinga ya kuwa hakuna Infinity series.
Kama Hakuna "infinity series" Hata mwanzo na chanzo cha kitu si lazima kiwepo.

Hivyo hata Dunia Haihitaji kuwa na mwanzo na haina mwisho.

Kwa vile infinity series haipo.

Na huyo "Allah" HAYUPO.
Fatilia ishu za Entropy au fatilia Ile Second Law of Thermodynamics.
 
Ndio ushangae sasa huyu Mungu kwanini aoteshe mibangi

Mwezi uliopita nilikua Muhimbili wodi za watoto wa saratani
Yaani niliwaangalia wale watoto wadogo kweli jinsi wanavyopata tabu ya kansa na matibabu yake
Machozi yalinilenga aisee, unabaki unajiuliza kuhusu Mungu unakosa majibu
Ila hujawahi kujiuliza pamoja na madhambi yako topu yanayojaa kiroba ila Mungu hajakuchukua, amewachukua unaona wema? Umewahi kujiuliza?
 
Dahhh! Umeongea mambo mazito sana yanayotokana na ujinga wa akili yako

Niambie bro ni mambo gani hayo Kwa Sasa mliyoweza kuyaelewa na kuyaelezea bila ya haja ya kuweka dhana ya Mungu

Nitajie 5 tu Ili nikuonyeshe kuwa wewe ni mjinga
Unaweza kuwa bingwa wa kutukana,
Lakini ukweli ni kwamba definition ya ujinga ni kutokufahamu mambo kwa usahihi.

Ni kheri kuwa mjinga kuliko mpumbavu.

Hekima imekuwa ikikufuata lakini wewe umekuwa na kasi kubwa.

Hasira hazitokusaidia

Relax

Mambo mazito yaliyosumbua watu na yalielezewa kwa dhana ya miungu ni kama yafuatayo

1.Radi
2.Kutokea kwa Usiku na mchana
3.Mechanism za mwili (ikiwemo sperm zinapotoka)
4.Tetemeko la ardhi
5. Sayari kuzunguka jua

Je wewe waweza thibitisha Mungu yupo nje ya kwamba unaamini tu.!?

Kwenye dhana tu ya kuwepo huyo Mungu, msingi wake ni tata sana kiasi cha dhana hiyo kuanguka vibaya.

Can you refute those contradiction!!?
 
Ila hujawahi kujiuliza pamoja na madhambi yako topu yanayojaa kiroba ila Mungu hajakuchukua, amewachukua unaona wema? Umewahi kujiuliza?
Kwanini unaongea as if ni kweli umeshathibitisha kuwa Mungu yupo?
 
Dahhh! Umeongea mambo mazito sana yanayotokana na ujinga wa akili yako

Niambie bro ni mambo gani hayo Kwa Sasa mliyoweza kuyaelewa na kuyaelezea bila ya haja ya kuweka dhana ya Mungu.
Dhana ya uwepo wa Mungu ni kichaka cha kushindwa kujibu maswali hayo na kulazimisha majibu hayo yawe ni Mungu.

Logical non sequitur.

Mnaunga nisha maswali yaliyo shindikana kwa kuunda majibu potofu.

Ilhali hata kumthibitisha Mungu huyo kama yupo, Hamuwezi.

Sasa sijui mlifahamu vipi kwamba huyo Mungu yupo, ila mnashindwa kumthibitisha?

Kama unajua Mungu yupo, Niambie yupo kwa namna gani na ana umbo gani?

Na mlifahamu vipi kwamba yupo?

ila mnashindwa kumthibitisha kama yupo.!!
Nitajie 5 tu Ili nikuonyeshe kuwa wewe ni mjinga
 
Swali zuri, huo ni utaratibu ambao ameuweka ili sisi waja wake tufikie lengo la yeye kutuumba.
Kwanini aweke utaratibu wa kututest wakati anajua hata matokeo ya test hiyo!?

Lengo la yeye kutuumba ni lipi!?
 
Sio kweli kusifu kupo, kufanya kipo, kukemea kupo, kwa ufupi uzembe hautakiwi na kufikiria kitoto kadhalika.

Sio kwamba nahisi, bali ametaka mpaka hii jf iwepo ndio maana ipo na wewe unaandika. Bali anajua hata jani la mti gani limeanguka, kadhalika anajua hata kile ambacho hakipo kingekuwepo kingekuwaje.

Unaposema nadhani unakosea, yaani Mimi nina uhakika usio na shaka kabisa, na sio nadhani.

Unaposema contradictions za wazi ulitakiwa uzionyeshe hizo contradictions za wazi, Sasa unalo sema bila kuzionyesha huu ni upunguani wa hali ya juu.

Kadhalika hizo unazo dai ni Contradictions unaziona wewe sababu ya ujinga wako na kutoyafatilia mambo kiundani na kuyafikiria.
Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kuumba ulimwengu wenye kuruhusu mabaya(uovu+Majanga n. K)

Ni contradiction ama siyo contradiction?
 
Hii ni shibe ya ugali na mchuzi wa dagaa, Umejieleza sana kwa usicho hata na ufaham wake.
 
Wapi Qur'aan imesema hivyo ? Jaribu ukiwa unaandika mambo uwe una uhakika nayo.

Mnatupa kazi mara mbili, kwanza kukosoa nukuu zenu na mengine.

Anga imepambwa na nyota, vimondo ndio huwa vinawapiga Mashetani. Sasa unaposema nyota inabidi utuwekee nukuu huko ulipo itoa.
Kwahyo quran yako ndiyo ya Mungu?

Kumbe Mungu wako kaweka nyota kama mapambo!?

Kumbe vimondo vinakazi ya kupiga mashetani?
 
Sasa mbona unaeleza sifa mbaya tu ...Wewe leo mzima huoni kakupa afya ,hauna ulemavu kwa nn usishukuru.
Wewe ni mbinafsi sana, na inaonyesha Mungu huyo pia ni mbinafsi sana na mwenye upendeleo kwa kutoa Afya na uzima kwa upendeleo.

Maelfu ya watu wamekufa kwa tetemeko la ardhi huko Morocco, ila Mungu huyo mtoa Afya na uzima sijui alikuwa amesinzia wakati wa tetemeko hilo akashindwa kuwa okoa watu hao wasi angamie?

Kama ni Mungu mwema, Alishindwaje kuzuia tetemeko hilo lisitokee?

Haya, Yani hata Vilio vya watu wa Morocco havijaisha kwa tetemeko baya sana, Lililo shindwa kuzuiliwa na Mungu huyo,👇

Jana nchi ya Libya ikapigwa na Mafuriko yaliyo Ua tena maelfu ya watu, Mungu huyo nadhani ana jisahau sana....!!!

Yani juzi tu Mungu kashindwa kudhibiti tetemeko la Morocco, jana tena mafuriko yakaja aka sahau kuyadhibiti yasitokee...!!!!

Halafu unasema Mungu huyo ni mwema sana anatoa Afya na uzima?

Yani kashindwa kudhibiti tetemeko la ardhi na mafuriko yasitokee na kuua watu, Wewe unakuja kumtetea eti, ana toa Afya...!!!

Nakwambia hivi 👇

Mungu huyo ni mkatili sana.
FB_IMG_1694578814067.jpg







Akili ndogo unaangalia maovu ila sio mema uliyopewa ,binafsi nashukuru leo ni mzima na Mungu ni mwema.


Ngoja siku upate kilema ndio utaelewa .
 
Nipe sababu tano za yule aliyeumba kila kitu na yeye alazimike kuumbwa ?

Unaamini Kuna Infinity series ?

Allah hajatokea bali yeye yupo.
Ameweza vipi kuwepo bila kuumbwa?

Nkikwambia dunia na watu hawajaumbwa bali wapo utasemaje!?

Kwanini unaongea as if tushakubaliana kuwa yupo kweli!?

Umethibitisha uwepo wa huyo Allah!?
 
Ila hujawahi kujiuliza pamoja na madhambi yako topu yanayojaa kiroba ila Mungu hajakuchukua, amewachukua unaona wema? Umewahi kujiuliza?

Nimejiuliza sana na majibu niliyopata ni kwamba
Mungu mwenye hizo sifa mnazo mpa hawezi kuwa mjinga katili na inconsistent kiasi hicho

Yaani aache wenye dhambi makahaba walevi na woote wanaokula bata na anasa halafu aende kuadhibu vitoto vichanga na kansa zitakazo watesa maisha yao yote?

Hakuna Mungu mwenye sifa mnazo mpa akawa mkatili wa kiasi hicho
 
Jana niliku uliza swali lakini bado hujajibu,

Naku uliza tena hivi
emoji116.png


Ulisema kwamba "Quran" ya Allah mnaweza kuifanyia tasfiri (translation) kwa lugha zingine.

Sasa, idhini na ruhusa ya kufanya tasfiri ya Quran aliwapa nani?
Kwani wapi tumekatazwa kutoitafsiri ?

Hujaona tarjama za Kiswahili, Kiingereza, Kifaransa, Kiurdu za Qur'an ?
Au ni maamuzi yenu ya kibinadamu kufanya tasfiri ya Quran ya "Allah" aliyo ileta kwa kiarabu?

Kama "Allah" alitaka binadamu wote tuijue Quran hiyo, Alishindwaje kuileta kwa lugha zote ulimwenguni za binadamu wote?
Naona unarudia rudia swali lile lile ambalo nishakujibu.

Allah hashindwi na kitu, ana uwezo ukiona hajafanya ujue hajataka.
 
Kwa nini Allah huyo alete Quran kwa lugha moja tu ya kiarabu, Kisha ninyi muanze kuifanyia tafsiri kwa niaba yake?

Kama Allah huyo alifahamu binadamu tupo kwa lugha tofauti, Kwa nini alete Quran hiyo kwa lugha ya kiarabu?
Haya ndio matatizo ya kutokusoma ninacho kiandika. Soma tena hili swali unarudia hii mara ya pili au Tatu. Hii inaonyesha wazi huna hoja.
 
Mimi sina upendo wote kwahyo hata nkimuadhibu mimi sijajipinga.

Sifa ya Mungu ni upendo wote.

Yaani hakuna gape hata kidogo la upendo.
Swali langu nimekuuliza nani alikwambia maana ya upendo ni kutokuadhibu ?

Naam wewe hauna upendo wote na haiwezi kuwa nao. Sababu katika upendo wa Allah ni kumruzuku hata yule ambaye ana mkana kama wewe, kumpa uhai na mengine, hii bado ni sehemu ya upendo wake.
 
Kama Allah huyo alifahamu binadamu tupo kwa lugha tofauti, Kwa nini alete Quran hiyo kwa lugha ya kiarabu?
Sababu Mtume alikuwa Muarabu akaileta kwa Kiarabu,kisha wengine wakajifunza Kiarabu, na uwezo wa kujifunza akauweka ndio maana tunajifunza na tunakijua, maana ukiona hujui Kiarabu ni wewe hujafanya juhudi, kwahiyo hii haiwezi kuwa hoja.
 
Kwanini aweke utaratibu wa kututest wakati anajua hata matokeo ya test hiyo!?

Lengo la yeye kutuumba ni lipi!?
Lengo la tuumba sisi ni tumuabudu yeye peke yake.

Anajua sababu yeye ni Mjuzi wa kila kitu, na kujua kwake hakukuzuii wewe kufanya unacho taka.

Leo hii hakuna anae jua yeye ni wa motoni au peponi, maswahaba wa Mtume walimuuliza swali mfano wa hili. Akawaambia fanyeni matendo ya watu wa peponi muipate pepo, sababu hakuna anae jua kama yeye ni wa motoni au peponi.
 
Swali zuri.

Mungu ambaye tupelo lazima awe amejielezea yeye mwenyewe kupitiwa vitabu vyake na mitume kwa maana wale wajumbe wake alio wateua katika wanadamu ambao ni mitume na manabii, sio Hawa wa uongo.

Mungu wetu sisi Waislamu, amejielezea ya kuwa ana Mikono miwili yote ipo upande wa kuumeni, anacheka, ana unyayo, anachukia, ana hasira, mpole, mwenye kusamehe, na yuko juu ya kiti chake Cha enzi. Hizi ni baadhi ya sifa zake chache katika nyingi ambazo amejielezea yeye.

Nimeweza kujua yupo, kupitia njia zifuatazo :

1. Akili
2. Mazingira
3. Ufunuo
Dah so sad
 
Back
Top Bottom