Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Okay tuassume u need a god to set those things in motion...does he have to be all powerful, all knowing, all loving, miraculous, listening and answering prayers, promising ppo heaven and hell, etc hizi sifa hizi ndo za dini. Dini zinasema Mungu wao ndo ana majibu ..Zina sema tu bila evidence fyn.. waishi nae huko huko akilini mwao wasitupangie sisi eti Mungu kanitokea kaniambia sijui usimwage nje heee, wtf
Haya yote unayoyasema na unayoyafikiria na unatamani yawe kama wewe unavyotaka hizo zote ni sifa ambazo binadamu ameumbwa nazo

Yani kama usingekuwa na hivyo vitu akili mwako basi wewe usingekuwa binadamu ungekuwa ni kiumbe mwingine labda Ndege au Mbuzi hiyo inaitwa nafsi/matamanio ni viumbe wawili tu wamepewa binadamu na majini na ndio maana wamewekewa moto na pepo chaguo ni lao wapi wanataka waende

Malaika hawana nafsi/ matamanio na ndio maana wao wanaishi peponi na wataishi huko milele

Malaika anafanya Yale tu aliyoamlishwa na Mungu afanye asiyoamlishwa na Mungu hafanyi

Ila binadamu amepewa option

Kumbukumbu la Torati 11:26
Angalieni, nawawekea mbele yenu hivi leo baraka na laana;

Kumbukumbu la Torati 11:27
baraka ni hapo mtakapoyasikiza maagizo ya Bwana, Mungu wenu, niwaagizayo leo;

Kumbukumbu la Torati 11:28
na laana ni hapo msiposikiza maagizo ya Bwana, Mungu wenu, mkikengeuka katika njia niwaagizayo leo, kwa kuandama miungu mingine msiyoijua.
 
Niyakosoe mara ngapi!?

Hayo yamekosolewa na geography na fizikia tangu zamani tu.

Kwahyo milima iliwekwa ili dunia iliyo flat isiyumbe yumbe!?
Sasa ndio uonyeshe kisha tujadili nukta Moja baada ya nyingine.
 
🤣🤣🤣So muislam akikuta mwanamke amezini, huyo mwanamke anapewa adhabu gani? Na niambie muislam akibadili dini anapewa adhabu gani?
Swali lako halijakamilika, nenda kasome mafundisho ya Uislamu juu hili, kisha uje kuuliza swali.

Kwenye nchi ya Kiislamu, Muislamu akiliritadi hukumu yake ni kuuliwa.
 
🤣🤣🤣Bac naona huna hoja...yaani we ni mtoto ambae anasema "my father is always right, because he says so" so hatuwezi kuwa na logical convo... thank u
Hapa tunamuongelea Allah muumba ambaye hakosei.

Unapo muweka mwanadamu, ujue ni mkoseaji Kuna muda anapatia na Kuna muda anakosea.

Swali lako halina maana sababu umeweka mfano "Mfu".
 
🤣🤣🤣Asa ni sawa nitengeneze kampuni yangu ya superheroes tuiite Simba chama afu niseme superheroes wote kina Superman spider wote walikuwa Simba chama ila marvel na DC wamekosea tu ila ni WA kwetu ..🤣Hivi hamjiulizi why watu ambao sio waislamu hata Kama ni wakristo wanawaonaga mna Imani za ajabu sana
Mfano wako sio sahihi. Weka mfano sahihi.
 
Asa Kuna vitabu vingapi...afu why the almighty creator of the universe ana communicate through an ancient book. Yaani hizi ni evidence to kwamba hii ni ancient tribalism tu hamna lolote...
Hivyo vitabu ni vya muongozo. Huwa najiuliza vijana mbona weupe sana. Halafu mnaingia katika mijadala kama hii ?

Yaani unaulizia swali la kijinga mpaka mtu unajiuliza kwanini usinge fatilia kwanza haya mambo kisha uje kujadiliana ?

Allah aliteremsha vitabu vinne na msahafu wa Ibrahimu, vyote wakati wake umepita kimebaki Qur'aan.

Maana yake Qur'aan ni kitabu ambacho ni muongozo kwa watu wa zama hizi mpaka pale Kiama kinasimama.

Sasa nitakuuliza wewe, kitu gani kwenye vitabu hasa Qur'aan hakielezei wakati huu ?

Qur'aan imekataza watu kula Riba, je Kuna zama ambazo watu wanakula riba kushinda zama hizi ? Mafundisho yanasema kutafikia zama watu watahalisha zinaa, je zama hizi zinaa haionekani kwamba ni halali ? Sasa unaandika nini kijana ?

Unakuta unapinga vitabu halafu hujawahi kusoma hata herufi Moja ya kitabu husika. Huu ni uhayawani.
 
Okay kwa nini muumba wa ulimwengu woooote wenye galaxies billions and billions amtokee mwarabu mmoja pangoni jangwani miaka ambayo hamna tv Wala gazeti
Hili swali la kipumbavu. Unarudia rudia maswali.
 
So Tanzania hatuna makosa ndo maana hayatukuti...🤣Sawa mkuu
Huwezi kulinganisha na kule.

Bali Tanzania ina bahati Kuna watu wengi wanafata Ile dini sahihi kabisa.

Mfano kipindi kile janga lililo ikuta Haiti, ukifatilia unakuta zaidi ya asilimia 80, watu wake ni washirikina na wanaabudu mizimu (kama wanavyo dai). Huu ni mfano tu.
 
Kwa nini Allah atolewe na yeye ni kitu?

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo chake, Hata huyo Allah Lazima awe na chanzo chake.

Hawezi kuwepo kwa kutokea tu,
from no where.
Sababu yeye ndio muumba.

Ndio maana nikasema hivi, nipe sababu tatu ambazo Mungu ambaye ni chanzo Cha kila kitu anapaswa kuwa na chanzo.

Halafu uje uniambie je "Infinity Series" ina exist ? Usilete utoto.
 
Kuna nchi nyingine ni usiku kwa sasa, huku kwetu ni mchana tunalitizama jua.

Kwetu ikiwa usiku kwao ni mchana wanalitizama jua.

Umewahi kuskia upande wa pili kuwa jua linasujudu!?

Ujinga wako ni zawadi ya uteuzi asilia (Natural selection)
Ila hakuna nchi inayo zidiana na nchi nyingine kwa masaa 24.
 
Kama lengo la kuumba watu ni wamuabudu,

Kwanini kaumba na wasiomuabudu?

Kwanini Mungu mwenye upendo wote kaumba ulimwengu huu wenye kuwezekana mabaya!?
Kaumba wasio muabudu kwa kujua kuwa hawata mwabudu na bado ana kasirika,hii akili ni mbovu
Akifanya binadamu wa kawaida tutamwambia kachanganyikiwa
 
Hii kanuni yako ni kujaribu kukwepa logic reasoning.

Nakwambia hivi, Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo Hata huyo Allah wenu lazima awe na chanzo.

Wewe una unda kanuni zako za kutetea Ubishi tu.
Ukishaingiza mambo ya logic nakuona una uwezo mdogo sana wa kufikiri, sababu logic haitoki nje ya akili yako na mawazo ya wale walio asisi logic kama fani.

Hapa tunaongelea uhalisia, onyesha kosa katika nilicho kiandika.

Unaposema lazima kiwe na chanzo lazima uonyeshe ulazima wa kuwa na hicho chanzo. Na uje uthibitishe hapa je "Infinity" ina exist ? Utuonyeshe iko wapi ?

Sasa inakuwaje unaisha na unashindwa kuonyesha udhaifu wa hichi ninacho kiandika, nani mbishi kati yangu na wewe ?
 
Siamini kama una uwezo wa kufikiri kidhahania

Lakini ngoja njaribu nione kama imani yangu ni ya kweli.

Je, unadhani kuwa ungezaliwa sehemu ambayo hakuna uislamu, leo hii ungekuwa muislamu?

Fikiria ungezaliwa Korea kaskazini kwa mfano
Sisi hatubahatishi ndio maana hatushughuliki na mambo ya kufikiria, kuepuka kubahatisha na kukosea.

Kwahiyo bado unaendelea kukosea, leta uhalisia.

Jibu langu subiri mpaka nizaliwe katika mazingira hayo, kisha nikupe majibu. Hatuishi kwa kubahatisha Wala kujenga hoja kwa dhana. Huu ni utoto.
 
Mungu ni chanzo cha kila kitu duniani. Sisi kaballah tunaamini kuna nguvu kuu ambayo ndio inaendesha ulimwengu
 
Kila kinachotokea ni sababu ya kuishi bila kufuata kanuni na asili ya ulimwengu ambayo inatoka kwake ndio maana majanga yanaongezeka kama mvua vimbunga moto na hizo asili ndizo zinauangamiza ulimwengu
 
Back
Top Bottom