Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Mara ngapi watu wanakusudia kuua na mtu hafi ? Na unaweza kuadhibu na mtu aside kama ulivyo kusudia ? Kwanini unaleta ubishi wa kitoto ?
Nia ya mzazi ni mtoto afe. Mzazi amemuadhibu mtoto akafa kama alivyokusudia.

Asingekufa mzazi angerudia tena zoezi la kumchoma moto. Mpake afe.
Wala asingejutia adhabu aliyotoa baada ya mtoto kufa.
Jema katika hiyo adhabu ni kuondoa uovu, na kuukemea ila njia aliyo itumia haikuwa sahihi.
Mzazi hakutaka kuondoa uovu wala kukemea. Unaweza mkemea mtu akiwa mfu??
Alitaka mtoto afe. Kumuondoa mtoto duniani ndiyo adhabu aliyotaka. Si vinginevyo.
Unataka nikujibu mara ngapi kuhusu hicho kitendo ? Hivi unasoma ninacho kiandika au unabishana uonekana upo kwenye mjadala ?
Hakuna sehemu ulipo jibu kama kitendo cha kumuua kwa kumchoma moto ni cha upendo au la zaidi ya kusema "upendo utabaki palepale" .

Quote mahali unapodhani umejibu. Kisai
 
Hili swali la uongo. Uliza swali sahihi, ushaambiwa hakuna kinachozidi uwepo wake, wewe unakuja kuuliza hawezi kuumba kinacho mzidi ? Unaakilo kweli kijana ?

Au huwa unafurahi kuleta utoto katika mada za wakubwa na za kielimu ?
Ok tufanye nmekuelewa kwamba unamaanisha Mungu hawez kuumba Mungu mwingine mkubwa kuliko yeye. Si ndio jibu lako au sio Ivo?[emoji3][emoji3]
 
Sio kila mitume au manabii au wanadamu walipewa vitabu.

Adamu alikuwa anapewa maelezo ya Moja kwa moja toka kwa Allah. Kitendo Cha kujisalimisha kwake kwa kumtii pasi na kumshirikisha na chochote huo huitwa "UISLAMU".

Kwa hiyo Kwa wakati huo uislamu ulikuwa sio kusimamisha swala Tena Bali kumtii Mungu tu [emoji1]
Leta reference ya haya uliyosema, unabii ni ufunuo anaopewa mtu Ili afikishe ujumbe Kwa hadhira iliyopo(Kwa mujibu wa vitabu) Unabii sio maelekezo binafsi lazima ishirikishwe hadhira huo ndo Unabii. Leta reference kwamba Adam alikuwa anapewa maelekezo Moja Kwa moja
 
Hawezi vipi ? Unajua maana ya swali la uongo ? Ushaambiwa hakuna kinachozidi uwezo wake, wewe unakuja kuuliza je anaweza kuumba kitu kinachozidi uwezo wake ? Hii akili au wendawazimu ?

Maana yake wewe unae uliza swali hili huna akili.
Ndo paradox hio zunguka. Ndo it means haiwezekani mtu akawa all powerful lazma kutakuwa na contradictions..anaweza kutengeneza jiwe ambalo ye mwenyewe hawezi beba?
 
Weka nukta Moja baada ya nyingine, na uhakikishe unacho kiweka unalijua, maana nyinyi mnashida ya kuokoteza vitu mitandaoni pasi na kuvifanyia uhakiki, mkivileta humu mkibanwanakimbia.

Wewe, weka nukta Moja baada ya nyingine tuijadili.
Nyota kupiga mashetani
 
Hii Dunia bhana inampa taabu sana mwanadamu hususani ya yeye ni nani?, kwann anaishi humu panapoitwa duniani na hatima yake ni nini?, Hii so called Dunia inamambo mengi sana ikitaka kujua angalia toka mwanadamu wa kale mpaka Sasa yako mambo mengi yamevumbuliwa ambayo yanaonekana kuusaidia mwili wa mwanadamu katika shughuli zake za kila siku lakini bado mamboya msingi yanabaki hayana majibu, ukumbuke ulikuja duniani si kwa maamuzi yako basi hivyohivyo uwepo wako au Dunia hii sii maamuzi yako, utateseka na mambo mbalimbali si kwa sababu umependa ila yapo na yataendelea kuwepo, utakufa si kwa sababu umependa ila yaliyomo humu ndio yatapelekea wewe kufa.
Sasa basi uwepo/kutokuwepo kwa Mungu hakukufanyi wewe kuigeuza Dunia bali itabaki vilevile, kukashifu haikusaidii kitu kila kilichopo humu kinasababu zake ambazo wewe/Mimi hatuna maamuzi nazo kama zilivyo study mbalimbali na kuongeza maarifa na ufahamu vilevile Imani ya rohoni humasidia muhusika katika kutafuta na kujua mambo mbalimbali nje ya haya, technolojia nyingi tunazotumia waafrika zimetokana na ngozi nyeupe sisi huku ni watumiaji tu, usiishie kupiga kelele nenda kwa juhudi na maarifa na Imani ya kweli utakuja hapa na majibu hakuna kitu cha bahati mbaya/nzuri hap dunianikila kitu kipo kwa sababu yake na hakuna utakacho leta hapa toka nje ya boksi lililopo kwa kuwa hakitakuwa cha mazingira haya.
Kazi kwako mleta mada.
So wewe una amini Mungu gani
 
So wewe una amini Mungu gani
Watu mnatoa view tofauti tofauti, ila something great is "God exist with super power"
Utauliza how "Lord exist naturally" i mean kutegemeana na mazingira husika kwa wakati uliopo, kuna baadhi ya theory ni assumptions tu za binaadamu, ambazo zinapandikiza hofu, imani n.k katika nafsi zetu ambazo logically hazipo.
God is a natural, if that so you have believe mazingira yako, watu wako, shughuli zako na huyo ndio mungu.
Pia ukija kwenye witchcraft ni suala ambalo lipo, ushirikina ni dark power ambayo pia ni individual characteristic i mean kwa watu wachache, kwaiyo kila imani ina sheria zake na mipaka ambayo hutakiwi kwenda tofauti, na ikitokea ukaenda basi utaonekana wa hovyo.
Mazingira ni jumla ya mambo yote yanayomzunguka kiumbe hai na hiyo ndio natural na huyo ndio Mungu.
 
Wewe unaweza kumtengeneza Mke wako ili awe kama ndondocha ili awe anakutii tu?

Mkuu kwahiyo nyie mnao muamini Mungu na mkatoboa kwenda “mbinguni peponi” mtakwenda kuwa mandondocha milele huko peponi?

Kwamba Mungu alituumba makusudi tuwe wenye uwezo wa kufanya dhambi ili tusiwe watu wote wema maana tutakua kama mandondocha?

Kuamini nonsense ya kiwango hichi inabidi ujitie upofu wa akili
 
Tatizo lako lilianzia hapa, Nna uhakika hata mama na baba yako hawakuishi pamoja hivyo bado una hasira na kukosa malezi pande mbili na umeona Mungu ndio wa kulaumiwa kwa hayo umepitia

Shambulia hoja mkuu usimshambulie mleta hoja

Hakuna mahali nimemlaumu Mungu, nitalauje kitu ambacho hakipo?
 
Asiyeamini Mungu kwanini ahangaike kumtafuta alipo?

Tunaoamini tunafahamu kuwa yupo karibu yetu wakati wote.


Qur'an 2:186. Na waja wangu watakapo kuuliza khabari zangu, waambie kuwa Mimi nipo karibu. Naitikia maombi ya mwombaji anapo niomba. Basi na waniitikie Mimi, na waniamini Mimi, ili wapate kuongoka. 186

Haya mambo ya imani huanza kwa kusikia kuishi na kufundishwa katika imani ya waliokuzaa kukulea na tamaduni za sehemu husika

Karibu 90% ya watu wapo kwenye imani zao for the sake of accident of history and geography

Mtoto mdogo kabisa anaanza kumezeshwa Imani toka Sunday school/madrasa sio kwa chaguo lake bali chaguo la wazazi/walezi

Anapokua mtu mzima anao uhuru wa kuanza kutumia akili yake kutaka kuujua ukweli wa alichokua anafandishwa kwa viboko madrasa

So mtu anapo challenge uwepo wa Mungu kwasababu concept nzima ya Mungu anaona inakosa maana si inatakiwa aelekezwe?
Sasa mbona unauliza nataka nimjue wa nini?
Kama yupo kwa uthibitisho itakua jambo la kheri
 
K
Haya mambo ya imani huanza kwa kusikia kuishi na kufundishwa katika imani ya waliokuzaa kukulea na tamaduni za sehemu husika

Karibu 90% ya watu wapo kwenye imani zao for the sake of accident of history and geography

Mtoto mdogo kabisa anaanza kumezeshwa Imani toka Sunday school/madrasa sio kwa chaguo lake bali chaguo la wazazi/walezi

Anapokua mtu mzima anao uhuru wa kuanza kutumia akili yake kutaka kuujua ukweli wa alichokua anafandishwa kwa viboko madrasa

So mtu anapo challenge uwepo wa Mungu kwasababu concept nzima ya Mungu anaona inakosa maana si inatakiwa aelekezwe?
Sasa mbona unauliza nataka nimjue wa nini?
Kama yupo kwa uthibitisho itakua jambo la kheri
Kwa hiyo unachotaka wewe ni nini hapo? Unataka uwe na uchaguzi wa kuzaliwa na nani?

Sijakuelewa.
 
Sayansi inasupport evolution mbona haukubaliani nayo...mbona unashabikia Sayansi ikikusupport. Did science say the creator ni god. Imesema tu Ina mwanzo na ni hypothesis the real answer hatujui we can't prove or disprove it

Kutokubaliana na Sayansi kwenye suala la Evolution, haifanyi nipinge kila kitu kinachotokana na Sayansi.

Hata wewe huenda siku moja nikakuunga mkono kwenye jambo fulani.
 
I am humble ndo maana sijipi majibu Kama watu wa dini. Naishi kujifunza reality coz anyone in the world anaweza akaamka akasema tumeumbwa na maji Mara udongo Mara tope Mara Nini Mara dunia na anga ilikuwa kitu kimoja.. we can say all sorts of this sijui let there be light afu jua linakuja baadae na siku zinahesabika. But in the end of the day we don't know and as far as we know it we can't know.
Hao watu wa dini unaowapinga wao wanaamini hicho wanachokiamini ndiyo reality.

Wewe unasema unaishi ukijifunza reality, je tokea uanze kujifunza umegundua reality gani mpaka sasa kuhusu ulimwengu na viumbe kwa ujumla?
 
K

Kwa hiyo unachotaka wewe ni nini hapo? Unataka uwe na uchaguzi wa kuzaliwa na nani?

Sijakuelewa.

Hoja yangu ni kuhusu namna gani watu wanafuata imani waliopo

Asilimia kubwa ya watu wapo kwenye imani zao kwasababu ya wazazi/walezi mahali walipozaliwa na tamaduni
Wanaobadili imani ni wachache sana kama sisi

Wewe sio Muislam kwababu ulipewa nafasi ya kuchagua dini ya kuafuata wakati wa makuzi yako
Tangu ukiwa mtoto ulikula viboko sana madrasa kufundishwa imani ya kiislam na kuaminishwa imani yako ndio sahihi, same applied kwa mtoto wa kikorea au mtoto wa kihindu

Watu wengi tunao hoji uwepo wa Mungu tulipitia huko pia, tukaaminishwa na walezi wetu toka utotoni lakini kadiri unavyozidi kukua na kumtafuta zaidi Mungu unakuja kubaini ni hadithi tu zakutengeneza za watu

So tunapohoji sio kama tuna hoji from nowhere
 
Hoja yangu ni kuhusu namna gani watu wanafuata imani waliopo

Asilimia kubwa ya watu wapo kwenye imani zao kwasababu ya wazazi/walezi mahali walipozaliwa na tamaduni
Wanaobadili imani ni wachache sana kama sisi

Wewe sio Muislam kwababu ulipewa nafasi ya kuchagua dini ya kuafuata wakati wa makuzi yako
Tangu ukiwa mtoto ulikula viboko sana madrasa kufundishwa imani ya kiislam na kuaminishwa imani yako ndio sahihi, same applied kwa mtoto wa kikorea au mtoto wa kihindu

Watu wengi tunao hoji uwepo wa Mungu tulipitia huko pia, tukaaminishwa na walezi wetu toka utotoni lakini kadiri unavyozidi kukua na kumtafuta zaidi Mungu unakuja kubaini ni hadithi tu zakutengeneza za watu

So tunapohoji sio kama tuna hoji from nowhere
Wote tunazaliwa Waislam. Baada ya hapo wazazi wsio na akili wanakutowa kwenye Uislam na kukutia imani zingine, wale wenye akili timamu wanakuwacha uendelee na Uislam wako ukikuwa utajiamulia mwenyewe.

Labda huelewi maana ya Uislam ni nini.
 
Back
Top Bottom