... know one know for sure
.. ni kwamba hawajui for sure
Wewe ndo unayejua for sure kwamba no one know for sure?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... know one know for sure
.. ni kwamba hawajui for sure
Mmekazana kuuliza maswali ya kisayansi ili yakikosa majibu iwe ndio ushahidi wa uwepo wa Mungu?
?
Binadamu hajui kila kitu na hii haimaanishi ndio kuna Mungu
... kutoa majibu yaliokuwa hayajibiki
... know one know for sure
Mungu hayupo.Kwahiyo wewe ulikua unataka Mungu mshinde naye vijiweni na mitaani?
... kutoa majibu yaliokuwa hayajibiki
Duniani kuna Dini nyingi Sana sasa utajuaje Dini uliyopo ndio sahihi?na kila mtu wa Dini tofauti na yako unamuona amepotea!wakuu Dini Ni uongo mkubwa Sana uliokubalika na wengi kwa muda mrefu!binadamu wa kale baada ya kukosa majibu ya baadhi ya maswali magnum mfano tumetokea wapi,kwanini tunaishi,kwanini tunakufa ,chanzo cha Dunia,mtengenezaji wa hii Dunia Ni Nani/Nini,tukifa Nini kinafuata,,basi wakaanza kutunga tunga na kukisia tu mambo lakini ukweli Hakuna anayejua !tumebaki kudanganyana tu Dini sijui imani na bla bla zingine Ni uongo 😀😁Kwanini “Mungu” aweke ugumu sana kumjua na mafundisho yake sahihi ni yapi?
Nauhakika kwa 90% dini unayo iamini unaamini kwakuwa umezaliwa na kulelewa katika imani hiyo(prove me wrong)
Na hii ni kwa watu karibu wote duniani
Ni asilimia ndogo sana wanaobadili dini baada ya kujishughulisha angala kutaka kujua na kuwa na machaguo “sahihi” ya imani
Ukweli ni kwamba asilimia kubwa wanaamini kile wamelishwa(brainwashed)toka utotoni na wazazi/walezi na viongozi wao wa dini
Kama ungezaliwa Iran na wa iran ungekuwa Mshia na ungezaliwa Korea ungeabudu mabudha na ungezaliwa viunga vya Paris maybe ungekuwa mu RC
Duniani kuna Dini nyingi Sana sasa utajuaje Dini uliyopo ndio sahihi?na kila mtu wa Dini tofauti na yako unamuona amepotea!wakuu Dini Ni uongo mkubwa Sana uliokubalika na wengi kwa muda mrefu!binadamu wa kale baada ya kukosa majibu ya baadhi ya maswali magnum mfano tumetokea wapi,kwanini tunaishi,kwanini tunakufa ,chanzo cha Dunia,mtengenezaji wa hii Dunia Ni Nani/Nini,tukifa Nini kinafuata,,basi wakaanza kutunga tunga na kukisia tu mambo lakini ukweli Hakuna anayejua !tumebaki kudanganyana tu Dini sijui imani na bla bla zingine Ni uongo [emoji3][emoji16]
Sayansi ni fani pweke na huru ambayo haina majibu ya mambo chungu nzima katika huu ulimwengu.
Sayansi siyo msingi mkuu wa kujenga hoja kwa atheist licha ya kupenda kujikomba nayo.
Science doesn't deal with any non-observable realm, kwa msingi huu hamna mtu yeyote yule anayeweza kujinadi kutumia sayansi kuthibitisha kutokuwepo kwa MUNGU.
Science never claims can solve everything
Mayu aanze kusema anaongea na Mungu na kumpa muongozo wa binadamu ...... NOT IN SCIENCE
Yaani kichaa mmoja ajiite Mayu
Nilimaanisha hivi [emoji116]
That included me
Yaani ... aanze kusema anaongea na Mungu na kumpa muongozo wa binadamu uweje ...... NOT IN SCIENCE
Yaani kichaa mmoja aanze kusema anaongea na Mungu na kumpa muongozo wa binadamu uweje halafu tukubali tu.