Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwhyo ww unawawmini hao wwwnasayans wako wanaokuandikia vitabu kusoma na kupaste ya mungu uyaamini unasmini ya mzungu akiri fup San na hao wanaokusupport wewe usiamini ss tunaamini endelea kuamini wachawi na wazungu
Upo sahihi, mambo ya ufunuo tunajifunza kwenye THIOLOJIA na si SAYANSI. So hilo waachie waliobobea THEOLOGY na si SCIENCE
Hizo bibilia na quruani mbona zimeandikwa na haohao wazungu?Kwhyo ww unawawmini hao wwwnasayans wako wanaokuandikia vitabu kusoma na kupaste ya mungu uyaamini unasmini ya mzungu akiri fup San na hao wanaokusupport wewe usiamini ss tunaamini endelea kuamini wachawi na wazungu
Wana JF naomba tufahamu kwambaScience never claims can solve everything
...... NOT IN SCIENCE
Science never claims can solve everything
.... NOT IN SCIENCE
Ndio tunasema huko kwenye thiolojia mnajazana ujinga
Na ndio the biggest scam ever
Mwanasayansi anatengeneza vitu vinavyosaidia maisha yetu ya kila siku
Wanatheojia
Sawa, maana yake niWanathiolojia wapo busy Mungu gani ndio sahihi na wakweli
Mwanasayansi anatengeneza vitu vinavyosaidia maisha yetu ya kila siku
Wanatheojia wapo busy Mungu gani ndio sahihi na wakweli
Wana JF naomba tufahamu kwamba
Sayansi kimantiki haiungi mkono ukana MUNGU, hoja za wakana MUNGU hazijamea kutoka kwenye sayansi bali katika falsafa (positivism philosophy of knowing approach) na saikolojia , hivyo mkana MUNGU yeyote anayejifanya kutumia hoja za kisayansi kupinga uwepo wa MUNGU ni JUHA nduguye KILAZA, hamna hoja ya kisayansi hata moja inayosadikisha madai yao; sayansi haishughuliki na metafizikia, maadili wala historia, hivyo basi; sayansi haina msingi wa kujenga hoja za kukana kuwepo kwa MUNGU
[emoji4]
Ndio tunasema huko kwenye thiolojia mnajazana ujinga
Na ndio the biggest scam ever
Mwanasayansi anatengeneza vitu vinavyosaidia maisha yetu ya kila siku
Wanatheojia wapo busy Mungu gani ndio sahihi na wakweli
Haiwezekani kwasababu imani ni kitu ambacho hakipo1. Je, unaweza kumtibia mtu mwenye kipindupindu (cholera) kwa maombi ya kiimani?
Hakuna mapepo wala majini2. Je, unaweza kumtibia mtu aliyepandisha majini (mapepo) kisayansi?
[emoji4]
Mkuu tunaweza kujadiliana bila personal attack na lugha za maudhi?
Huu sio UGONVI [emoji120][emoji120][emoji120]
Haiwezekani kwasababu imani ni kitu ambacho hakipo
Hakuna mapepo wala majini
Huwezi kutibu kitu ambacho hakipo
Umewahi kuvuta bangi iliyotokana na majani ya mmea wa vanilla?Haiwezekani kwasababu imani ni kitu ambacho hakipo
Hakuna mapepo wala majini
Huwezi kutibu kitu ambacho hakipo
Yaani "kichaa mmoja" aanze kusema anaongea na Mungu na kumpa muongozo wa binadamu uweje halafu tukubali tu
Ndio tunasema huko kwenye thiolojia mnajazana ujinga
Mkuu tunaweza kujadiliana bila personal attack na lugha za maudhi?