fizo talent
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 2,255
- 3,889
- Thread starter
-
- #81
ha ha ha itakua miti ile ya tanga iliyokua inafanana na Nyerere au ule waliosema umegoma kutoka kupisha ujenzi wa barabaraTuliambiwa miti huwa inaongea yenyewe kwa yenyewe kwan kuna mzee alishawahi kuta miti inaongea Ila sauti yao ni ya chini sana na sauti ya haiyundi herufi,mpka Leo namfikiria yule mzeee "ALITUCHUKULIAJE KIPINDI KILE"
usipokua makini unaweza ukarithisha kizazi chako ujingaSijajua,kwanni walikuwa wanatuongopea sana zamani na ndio maana tumekuwa wajinga badala ya kutuelimisha wao wanatuongopea ili kuendeleza ujinga
ha ha ha....bila kusahau usipotupa jino juu ya bati na kusema kunguru au mwewe chukua jino baya nipe jino zuri eti napo jino litakua haliotiUking'oa jino ukamchekea jogoo halioti, wakat wa kula naambiwa kula twende gari linakuja ha ha ha, ukimg'ata mwenzio akapaka kinyesi cha kuku pale ameng'twa, aliemng'ata ataoza meno yote
hahahahaha ha ha....bila kusahau usipotupa jino juu ya bati na kusema kunguru au mwewe chukua jino baya nipe jino zuri eti napo jino litakua halioti
hii kvp mkuuMi nakumbuka hii "nakupenda sana"
zile ni ndege za kawaida tuuu inawezekana ni za mizigi au abiria na viwanja ni vyote ambavyo me na we tunavyovijuaHapo kwenye viwanja vya kutoa ndo navyojua mpka Leo embu nipe ukweli
Hahaha mama zetu wa kiafrika hao.Huku kashika mwiko halafu anakuchekea
hapo utajuta kuzaliwa.kubabake ukisogea tu kifuatacho balaaaa
Alafu na kesho unadanganywa tena ivoivo.ha ha ha ukienda tu imekula kwako
ukienda tu ushaachwaKavae viatu twende,..
ukisema ukweli tu kipigo cha mbwa koko kinakuhusi"ukiniambia ukweli sikuchapi "
[emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] ukienda tu imekula kwako"Njoo mwanangu sikupigiiii"
unapata tabu sana[emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] ukienda tu imekula kwako
Mkuu kipigo cha mbwa koko kinahusika hapo [emoji16]unapata tabu sana