Uongo wa Ali Kiba

Hahaahaaa!...huna hoja wewe na nilijua hilo ndo jibu utakalolitoa,siku nyingine jifunze kuleta PROPERGANDA ZINAZOENDANA NA UKWELI ATA KIDOGO BHANA.

Sasa we unadhani n nani alituma nyimbo za kiba nimeshidwa Ku screen shot tu ali tuma n video ya mwana n chekecha ngoja nikipata nafax next week nitakuja n ushaidi wa picha sasa
 
Ishu hapa vigezo vilikuwa vipi? Ni kama King King akusanye nyimbo zake mpaka za Masantula Ngoma ya Mpwita Aseme ziko albam moja na " Chungulia'. Ila tu siku zote ieleweke. Njia ya muongo ni fupi!
 
Ishu hapa vigezo vilikuwa vipi? Ni kama King King akusanye nyimbo zake mpaka za Masantula Ngoma ya Mpwita Aseme ziko albam moja na " Chungulia'. Ila tu siku zote ieleweke. Njia ya muongo ni fupi!
Sorry King Kiki
 

Hahahaha umeongea ukweli kabisa
 

uwe unapitia habari yako kabla hujaipost
 
hata mimi nilivyoona albam bora ya mwaka - mwana, i was like what?? lakini kwa vile najua mjini mipango nikatulia.
 
Na akikosa atasema jamaa fulani[emoji117] [emoji117] ........anatumia ndumba,ni mchawi [emoji13] [emoji6]
 
watu bana hamnazo kupitiliza, hivi wewe unayehoji baba wa tiffah?? wa kwako unamjua??? go find your biological father kwanza ndio mpate ujuzi wa kumjua wa tiffah, mara ni wa ivan, baada ya kuona kwa ivana inakosa mashiko sana kwa sababu mtoto ni mweupeee na ivana ni mweusi mfano wa giza jana naona wametafuta picha ya kaka wa kihindi sijui yuleee wakatuletea, na bado sasa mtoto ndio kwanza anakuwa anabadilika mpaka sura ije itulie utatuletea baba zaidi ya kumi. wewe ukiulizwa baba yako nani utamtaja yule anayelala na mama yako, lakini kumbe si ajabu baba yako ni kichaa yupo kule kariakoo anaokota makopo huna habari.
 
Hata lugha nayo[emoji12]

Basi sawaaa
Lugha hapo sawa.Nasikia Salaam amefukuzwa na security eneo fulani kenya aisee.
Nasikia alienda kuhakikisha juu chini d anafanya kazi na Neyo.
Kijana ana mapozi kwenye picha aisee
Nilidhani neyo ashalilia 'collabolation' na mnyama kumbe bado.
 
Anajaribu walau jina livuke Julius nyerere airport
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…