Uongo wa Ali Kiba

Uongo wa Ali Kiba

khaa uko ig page ya Neyo ni vituko watz wanarushiana matusi hatari ...sijui stress yani ni shidaa kisa Kiba ha ha haaa
 

Attachments

  • 1439911564127.jpg
    1439911564127.jpg
    26.4 KB · Views: 165
watu bana hamnazo kupitiliza, hivi wewe unayehoji baba wa tiffah?? wa kwako unamjua??? go find your biological father kwanza ndio mpate ujuzi wa kumjua wa tiffah, mara ni wa ivan, baada ya kuona kwa ivana inakosa mashiko sana kwa sababu mtoto ni mweupeee na ivana ni mweusi mfano wa giza jana naona wametafuta picha ya kaka wa kihindi sijui yuleee wakatuletea, na bado sasa mtoto ndio kwanza anakuwa anabadilika mpaka sura ije itulie utatuletea baba zaidi ya kumi. wewe ukiulizwa baba yako nani utamtaja yule anayelala na mama yako, lakini kumbe si ajabu baba yako ni kichaa yupo kule kariakoo anaokota makopo huna habari.
povu lote la nn wakati magazeti ndo yameandika
 
khaa uko ig page ya Neyo ni vituko watz wanarushiana matusi hatari ...sijui stress yani ni shidaa kisa Kiba ha ha haaa

Mbona baada MTV neyo alimtafuta dai haukuongelea matusi ya team kibakuli
 
Mbona baada MTV neyo alimtafuta dai haukuongelea matusi ya team kibakuli

No am not taking sides here...nimecheka the way wanavyosemana that's all si mshabiki wa yeyote kati yao nisamehe mkuu kama nimekukwaza mahali.... wamenifurahisha wanagombana sebuleni mwenyenyumba kimyaa chumbani
 
povu lote la nn wakati magazeti ndo yameandika

hahhhahaaaa eti MAGAZETI ndiyo ndio yameandika hiyo technologia haipo duniani wala mbinguni kwa sasa, labda ianzie kwako magazeti ndio akina nani???
 
Back
Top Bottom