watu bana hamnazo kupitiliza, hivi wewe unayehoji baba wa tiffah?? wa kwako unamjua??? go find your biological father kwanza ndio mpate ujuzi wa kumjua wa tiffah, mara ni wa ivan, baada ya kuona kwa ivana inakosa mashiko sana kwa sababu mtoto ni mweupeee na ivana ni mweusi mfano wa giza jana naona wametafuta picha ya kaka wa kihindi sijui yuleee wakatuletea, na bado sasa mtoto ndio kwanza anakuwa anabadilika mpaka sura ije itulie utatuletea baba zaidi ya kumi. wewe ukiulizwa baba yako nani utamtaja yule anayelala na mama yako, lakini kumbe si ajabu baba yako ni kichaa yupo kule kariakoo anaokota makopo huna habari.