Uongo wa Historia ya Afrika na Waafrika itajibiwa na muafrika

Uongo wa Historia ya Afrika na Waafrika itajibiwa na muafrika

Hiyo ya Mkwawa iko based kwenye ka story ka mtu mmoja. Historia haifanyiwi utafiti kwa namna hiyo.
Everything else inakosa credibility.
Haimanishi tuamini wanayosema wazungu lakini tuje na very concrete alternatives.
Offcourse,mathalani ktk kutetea hoja yake basi angeenda mbali zaidi kuhusu fuvu lake,maana inasadikika kuwa lile fuvu lilipelekwa Ujerumani na Wazungu lkn baadaye lilirudishwa kwasababu serikali ilitaka lilirudi,sasa km ndio hivyo(kadiri ya maelezo ya mtoa Uzi), inamaana fuvu lile sio lake?,Je, Serikali nayo ilidanganywa?.
 
Back
Top Bottom