William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
- Thread starter
-
- #21
Rudi kwenye hoja. Haiwezekani wataalamu kukadilia isivyo sahihi. Kun shida kubwa mahaliMagufuli alikuwa na NIA na DHAMIRA ya dhati ktk kuleta mabadiliko ya kweli kwenye nchi yetu, ndio maana amekuwa ni mtu wa vitendo zaidi ktk kutekeleza miradi mbalimbali aliyoahidi
Ishu ya kukamilika kwa miradi hio huwezi kumlaumu kiongozi wa Serikali kwakuwa na yeye anapewa ahadi ya makisio ya ukamilishaji wa miradi kutoka kwa wataalamu wanaohusika na ujenzi na usimamizi wa miradi
By the way kuna dawa hapa Burundi inaitwa Uburukutu inasaidia kuondoa sumu mwilini,,, Nakushauri ndugu Tindo, Sexless na wenzako muitumie kupunguza kiwango cha chuki kwa Magufuli,, je niwaletee!??? 😀
Tanroad.Machi 26 mtendaji mkuu tanload alisema Daraja la Wami litakamilika Sept 2021. Kwa mujibu wa Mwananchi, Leo Serikali inakuja na Lugha nyingine. Kwanini tunafanywa watoto
Jamaa wanaficha ilikupiga pesa za ummaHuu uongo wa miradi ya taifa uliasisiwa na Magufuli, na tokea wakati akiwa hai tulikuwa tunasema ni kiongozi muongo. Sasa uongo wake unazidi kuendelezwa. Kuna hatari kuwa kuna ukweli mwingi sana wa hatari unafichwa.
hata kama wakikosea makadilio angalau iwe ndan ya miez mitatu hata sita hivi,Rudi kwenye hoja. Haiwezekani wataalamu kukadilia isivyo sahihi. Kun shida kubwa mahali
Magufuli alikuwa na NIA na DHAMIRA ya dhati ktk kuleta mabadiliko ya kweli kwenye nchi yetu, ndio maana amekuwa ni mtu wa vitendo zaidi ktk kutekeleza miradi mbalimbali aliyoahidi
Ishu ya kukamilika kwa miradi hio huwezi kumlaumu kiongozi wa Serikali kwakuwa na yeye anapewa ahadi ya makisio ya ukamilishaji wa miradi kutoka kwa wataalamu wanaohusika na ujenzi na usimamizi wa miradi
By the way kuna dawa hapa Burundi inaitwa Uburukutu inasaidia kuondoa sumu mwilini,,, Nakushauri ndugu Tindo, Sexless na wenzako muitumie kupunguza kiwango cha chuki kwa Magufuli,, je niwaletee!??? 😀
Kizarendo na kizalendo!!Nani kakudanganya kuwa hakuna uongo wa kizarendo [emoji849][emoji849]
1)Uongo wa kizarendo ni ule uliopo kwa maslai ya taifa
2)Na uwongo wa kifisadi ni ule ambao upo dhidi ya maslai ya taifa bali kwa maslai ya wahuni ,tokomeza wahuni popote uwaonapo.
Hauitwi uwongo, unaitwa hekima na busara ya uongozi....Empathy!Nani kakudanganya kuwa hakuna uongo wa kizarendo [emoji849][emoji849]
1)Uongo wa kizarendo ni ule uliopo kwa maslai ya taifa
2)Na uwongo wa kifisadi ni ule ambao upo dhidi ya maslai ya taifa bali kwa maslai ya wahuni ,tokomeza wahuni popote uwaonapo.
Nani kakudanganya kuwa hakuna uongo wa kizarendo [emoji849][emoji849]
1)Uongo wa kizarendo ni ule uliopo kwa maslai ya taifa
2)Na uwongo wa kifisadi ni ule ambao upo dhidi ya maslai ya taifa bali kwa maslai ya wahuni ,tokomeza wahuni popote uwaonapo.
Uozo KWA serikali ya CCM hauwezi kuisha. Tofauti ni nani na wakati tu. Ni staili inabadilika tu.Hayupo mbona hujafurahi na kurekebisha uozo?