Uongo wa wachungaji wa Kanisa

Uongo wa wachungaji wa Kanisa

Bro makanisa Mengi yamejaa majizi na majambazi,kanisa linatumika kutakqtisha pesa tu,
Kuna fisadi la kiasia lilifukuzwa Kenya kipindi Cha Moi,katika kashfa ya goldenberg,
Likahamia Zimbabwe,huko likakutana na majizi Mengine yaliyopo serikalini,
Yanafsnya ufisadi wa kutisha wa dhahabu,
Kuna mtu ni balozi wa Zimbabwe kwenye bara la ulaya na ni mpwa wa Raisi,anaitwa Uebert angel,vile vile ni pastor anakanisa lake,huyu na Hilo fisadi la kiasia kutoka Kenya,wanafanya umafia wa kutisha,
Aljazeera wamerusha documentary,inaitwa "Gold mafia"
Ukiicheki hii kitu utagundua wizi wa kutisha kwenye makanisa,huyo Uebert angel,jumapili ni pastor anhubiri na kutoa "Pepo"jumatatu yupo ofcn anafisadi nchi yake.
by the way kuna video anamuombea pastor Tony Kapola waTZ sasa sijuiiii
 
Back
Top Bottom