Uongo wa Watanzania

Uongo wa Watanzania

mwaswast

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2014
Posts
12,780
Reaction score
6,480
Hakuna kitu TZ tungefanya kwani Ofisi za UN Kenya zililetwa na Wazungu wakati wa Ukoloni, hivyo ni juhudi za Waingereza kupeleka Ofisi kwenye Koloni lao kwa sababu walizozijua wao wenyewe, na Uingereza ni moja kati ya nchi zinazotoa maamuzi huko UN, siyo kwamba Wakenya wenyewe kwa jihudi zao ndiyo walioleta UN Nairobi hapana, zilikuja kabla ya Uhuru!
UN offices in Nairobi were opened back in 1996 wacha kuwadanganya wana JF.
 
Ndivyo ivyo unakuta hapa jf geza ndio godfather wao kwa kuwapa taarifa. He is the most educated tanzanian na akili yake uwa pungufu kiasi
 
UN offices in Nairobi were opened back in 1996 wacha kuwadanganya wana JF.


Kama wewe ni Mkenya basi ulipaswa ufiche uso wako, UN ina Ofisi 4 Kuu Duniani , Geneva, Nairobi, New York na Vienna na hii ni tangia UN inaanzisha kabla hata Kenya haijapata Uhuru, hivyo walioleta UN Kenya ni Muzungu, hizo Ofisi nyingine kama UN habitat ndo zimekuja juzi lkn UN yenyewe Kenya iko kabla ya Uhuru!
 
Ndivyo ivyo unakuta hapa jf geza ndio godfather wao kwa kuwapa taarifa. He is the most educated tanzanian na akili yake uwa pungufu kiasi
cabeTxT.gif
 
Kama wewe ni Mkenya basi ulipaswa ufiche uso wako, UN ina Ofisi 4 Kuu Duniani , Geneva, Nairobi, New York na Vienna na hii ni tangia UN inaanzisha kabla hata Kenya haijapata Uhuru, hivyo walioleta UN Kenya ni Muzungu, hizo Ofisi nyingine kama UN habitat ndo zimekuja juzi lkn UN yenyewe Kenya iko kabla ya Uhuru!
Weka evidence bila kijikanganya zaidi

Vyote hivyo vinategemeana na purchasing power, Kampuni zinafungua mahali ambapo wanannchi wana uwezo wa kununua bidhaa zake, hivyo Kenya (Nairobi) kwa mfano watu wenye uwezo wa kununua gari mpya 0 km ni wengi klk TZ yetu!
Wewe mwenyewe unajikanganya
 
Sasa kaandika mtu mmoja halafu unatujumuisha wote una akili wewe? Au una makaratasi kichwani?
 
Hujui lolote, tangu lini maoni ya mtu mmoja aanayetumia fake ID yakawa maoni ya nchi nzima?

Huu ni upuuzi wa wakenya wanaojiita wajuvi wa mambo!
Based on your comments on this forum, you're even more stupid than that forumer who said that.
 
UN offices in Nairobi were opened back in 1996 wacha kuwadanganya wana JF.
ww ulishaishiwa hoja ulichobakia hapa ni kulia tu 😀😀😀😀😀😀 tanzania huiwezi itakupumulisha huko nyuma
 
ww ulishaishiwa hoja ulichobakia hapa ni kulia tu 😀😀😀😀😀😀 tanzania huiwezi itakupumulisha huko nyuma
Una ushahidi UN offices kufunguliwa Kenya miaka ya 60s? ukipata ushahidi nitag tafadhali.
 
Hawa jamaa huwa misinformed balaa, ni wachache ambao wanaweza hata kukutajia nchi yao imezungukwa na matafa mangapi.
Mkuu huko TZ matafa hatuyajui kabisa
 
Back
Top Bottom