Uongozi CHADEMA: Heche anaweza kutibu Majeraha, Lissu hawezi

Uongozi CHADEMA: Heche anaweza kutibu Majeraha, Lissu hawezi

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
Lisingekuwa Vuguvugu la kumng'oa Mbowe hizi Dakika za Mwisho kwangu mimi ungeniuliza nani anastahili kuwa Mwenyekiti baada ya Mbowe ningesema ni Heche.

Leo nimewasikiliza wote(Lissu&Heche) Hotuba zao walipoingia Ofisini kwa mara ya kwanza,kimsingi ukiwasikiliza vizuri Hotuba ya Heche ndiyo ilitakiwa iwe ya Lissu na ya Lissu iwe ya Heche.

Heche katoa hotuba nzuri sana ya kuvunja Makundi na kutambua Mchango wa Mbowe, Lissu alijitahidi kuongea ila kwasababu ya utulivu mdogo mwishoni alichemsha baada ya kuingiza mambo ya Kampeni tena kwa kuleta majungu na Madongo hasa alipotumia neno Wabangaizaji ambalo lilitonesha Vidonda, tukumbuke neno hili lilitumika sana kama kete ya kuwaunganisha watu wake kipindi cha Kampeni na kuwabagua watu wa Mbowe.

Kwangu mimi naona Heche anaweza kuponya Majeraha na kuwaunganisha wanaCHADEMA kuliko Lissu, hii ni kwasababu Heche ni Homeboy anapendwa na WanaCHADEMA wengi hata katika kundi la Mbowe anao watu wengi na pia kipindi cha Kampeni aliendesha Kampeni za Wastani ambazo hazikujeruhi sana watu na baada ya kushinda ameepuka sana kuendeleza mambo ya Kampeni.

Hii ni tofauti na Lissu ambaye Kampeni zake aliumiza sana watu, alitumia hadaa nyingi ikiwemo kumchafua sana Mbowe hasa kwa tuhuma za rushwa zisizo na ushahidi nk.,Kampeni za Vurugu na Uhuni mwingi akishirikiana na Wakina Pambalu na Mwaipaya, hawa walitengeneza Chuki kubwa sana wanahitajika kufanya kazi ya ziada kurudi kwenye Mioyo ya upande wa pili.

Ni Mtazamo tu Povu linaruhusiwa.
 
Wacha aendelee kujisugua vidonda kwa chumvi maumivu ni yake hayamuhusu mtu!
 
Kajambie Lumumba au kule Dodoma mlipochagu Nchimbi...... UNAPENDA SANA KUTUKANWA....
 
CHADEMA wakitulia,yaani wakiacha habari za kampeni wakaungana naona wanaweza kuwatoa jasho watu fulani
 
Lisingekuwa Vuguvugu la kumng'oa Mbowe hizi Dakika za Mwisho kwangu mimi ungeniuliza nani anastahili kuwa Mwenyekiti baada ya Mbowe ningesema ni Heche.

Leo nimewasikiliza wote(Lissu&Heche) Hotuba zao walipoingia Ofisini kwa mara ya kwanza,kimsingi ukiwasikiliza vizuri Hotuba ya Heche ndiyo ilitakiwa iwe ya Lissu na ya Lissu iwe ya Heche.

Heche katoa hotuba nzuri sana ya kuvunja Makundi na kutambua Mchango wa Mbowe, Lissu alijitahidi kuongea ila kwasababu ya utulivu mdogo mwishoni alichemsha baada ya kuingiza mambo ya Kampeni tena kwa kuleta majungu na Madongo hasa alipotumia neno Wabangaizaji ambalo lilitonesha Vidonda, tukumbuke neno hili lilitumika sana kama kete ya kuwaunganisha watu wake kipindi cha Kampeni na kuwabagua watu wa Mbowe.

Kwangu mimi naona Heche anaweza kuponya Majeraha na kuwaunganisha wanaCHADEMA kuliko Lissu, hii ni kwasababu Heche ni Homeboy anapendwa na WanaCHADEMA wengi hata katika kundi la Mbowe anao watu wengi na pia kipindi cha Kampeni aliendesha Kampeni za Wastani ambazo hazikujeruhi sana watu na baada ya kushinda ameepuka sana kuendeleza mambo ya Kampeni.

Hii ni tofauti na Lissu ambaye Kampeni zake aliumiza sana watu, alitumia hadaa nyingi ikiwemo kumchafua sana Mbowe hasa kwa tuhuma za rushwa zisizo na ushahidi nk.,Kampeni za Vurugu na Uhuni mwingi akishirikiana na Wakina Pambalu na Mwaipaya, hawa walitengeneza Chuki kubwa sana wanahitajika kufanya kazi ya ziada kurudi kwenye Mioyo ya upande wa pili.

Ni Mtazamo tu Povu linaruhusiwa.
Ni mtazamo wako na mawazo yako.
 
Lisingekuwa Vuguvugu la kumng'oa Mbowe hizi Dakika za Mwisho kwangu mimi ungeniuliza nani anastahili kuwa Mwenyekiti baada ya Mbowe ningesema ni Heche.

Leo nimewasikiliza wote(Lissu&Heche) Hotuba zao walipoingia Ofisini kwa mara ya kwanza,kimsingi ukiwasikiliza vizuri Hotuba ya Heche ndiyo ilitakiwa iwe ya Lissu na ya Lissu iwe ya Heche.

Heche katoa hotuba nzuri sana ya kuvunja Makundi na kutambua Mchango wa Mbowe, Lissu alijitahidi kuongea ila kwasababu ya utulivu mdogo mwishoni alichemsha baada ya kuingiza mambo ya Kampeni tena kwa kuleta majungu na Madongo hasa alipotumia neno Wabangaizaji ambalo lilitonesha Vidonda, tukumbuke neno hili lilitumika sana kama kete ya kuwaunganisha watu wake kipindi cha Kampeni na kuwabagua watu wa Mbowe.

Kwangu mimi naona Heche anaweza kuponya Majeraha na kuwaunganisha wanaCHADEMA kuliko Lissu, hii ni kwasababu Heche ni Homeboy anapendwa na WanaCHADEMA wengi hata katika kundi la Mbowe anao watu wengi na pia kipindi cha Kampeni aliendesha Kampeni za Wastani ambazo hazikujeruhi sana watu na baada ya kushinda ameepuka sana kuendeleza mambo ya Kampeni.

Hii ni tofauti na Lissu ambaye Kampeni zake aliumiza sana watu, alitumia hadaa nyingi ikiwemo kumchafua sana Mbowe hasa kwa tuhuma za rushwa zisizo na ushahidi nk.,Kampeni za Vurugu na Uhuni mwingi akishirikiana na Wakina Pambalu na Mwaipaya, hawa walitengeneza Chuki kubwa sana wanahitajika kufanya kazi ya ziada kurudi kwenye Mioyo ya upande wa pili.

Ni Mtazamo tu Povu linaruhusiwa.
Kutibu majeraha kwani kuna mtu kaumia? Kama kuna mtu ana majeraha aende hospitali wakampe dawa za kukausha, we kila siku mbowembowe mfateni alipo, lisu chapa kazi
 
We said Lissu is a good infantry man but some people did not hear us.

Huu ni mwanzo. Mtu mwenye akili ya vita anatakiwa akae front line kupigana HQ akae mwenye akili na mawazo ya kiungozi yaliyotulia.
 
Majeraha yatapona baada ya mda, hii hali ya kulialia na kutaka kubembelezwa itaisha pia.
This is can be good strategical plan kama wakiamua kuitumia kuteka anga la habari!

Si unawajua wabongo wanavyopenda ubuyu? So watembee nayo then wake wabadilishe gear angani kipindi uchaguzi unakaribia!

Yaani FAM ajifiche hivi hivi! Ili story ziwe nyingi then siku akiibuka! Aibuke wakiwa kitu kimoja kwa ajili ya uchaguzi.
 
Lisingekuwa Vuguvugu la kumng'oa Mbowe hizi Dakika za Mwisho kwangu mimi ungeniuliza nani anastahili kuwa Mwenyekiti baada ya Mbowe ningesema ni Heche.

Leo nimewasikiliza wote(Lissu&Heche) Hotuba zao walipoingia Ofisini kwa mara ya kwanza,kimsingi ukiwasikiliza vizuri Hotuba ya Heche ndiyo ilitakiwa iwe ya Lissu na ya Lissu iwe ya Heche.

Heche katoa hotuba nzuri sana ya kuvunja Makundi na kutambua Mchango wa Mbowe, Lissu alijitahidi kuongea ila kwasababu ya utulivu mdogo mwishoni alichemsha baada ya kuingiza mambo ya Kampeni tena kwa kuleta majungu na Madongo hasa alipotumia neno Wabangaizaji ambalo lilitonesha Vidonda, tukumbuke neno hili lilitumika sana kama kete ya kuwaunganisha watu wake kipindi cha Kampeni na kuwabagua watu wa Mbowe.

Kwangu mimi naona Heche anaweza kuponya Majeraha na kuwaunganisha wanaCHADEMA kuliko Lissu, hii ni kwasababu Heche ni Homeboy anapendwa na WanaCHADEMA wengi hata katika kundi la Mbowe anao watu wengi na pia kipindi cha Kampeni aliendesha Kampeni za Wastani ambazo hazikujeruhi sana watu na baada ya kushinda ameepuka sana kuendeleza mambo ya Kampeni.

Hii ni tofauti na Lissu ambaye Kampeni zake aliumiza sana watu, alitumia hadaa nyingi ikiwemo kumchafua sana Mbowe hasa kwa tuhuma za rushwa zisizo na ushahidi nk.,Kampeni za Vurugu na Uhuni mwingi akishirikiana na Wakina Pambalu na Mwaipaya, hawa walitengeneza Chuki kubwa sana wanahitajika kufanya kazi ya ziada kurudi kwenye Mioyo ya upande wa pili.

Ni Mtazamo tu Povu linaruhusiwa.
Tulia wewe, leo vyuma vimeingia ofisini, hatutaki maneno a.k.a ka mdomo
 
Lisingekuwa Vuguvugu la kumng'oa Mbowe hizi Dakika za Mwisho kwangu mimi ungeniuliza nani anastahili kuwa Mwenyekiti baada ya Mbowe ningesema ni Heche.

Leo nimewasikiliza wote(Lissu&Heche) Hotuba zao walipoingia Ofisini kwa mara ya kwanza,kimsingi ukiwasikiliza vizuri Hotuba ya Heche ndiyo ilitakiwa iwe ya Lissu na ya Lissu iwe ya Heche.

Heche katoa hotuba nzuri sana ya kuvunja Makundi na kutambua Mchango wa Mbowe, Lissu alijitahidi kuongea ila kwasababu ya utulivu mdogo mwishoni alichemsha baada ya kuingiza mambo ya Kampeni tena kwa kuleta majungu na Madongo hasa alipotumia neno Wabangaizaji ambalo lilitonesha Vidonda, tukumbuke neno hili lilitumika sana kama kete ya kuwaunganisha watu wake kipindi cha Kampeni na kuwabagua watu wa Mbowe.

Kwangu mimi naona Heche anaweza kuponya Majeraha na kuwaunganisha wanaCHADEMA kuliko Lissu, hii ni kwasababu Heche ni Homeboy anapendwa na WanaCHADEMA wengi hata katika kundi la Mbowe anao watu wengi na pia kipindi cha Kampeni aliendesha Kampeni za Wastani ambazo hazikujeruhi sana watu na baada ya kushinda ameepuka sana kuendeleza mambo ya Kampeni.

Hii ni tofauti na Lissu ambaye Kampeni zake aliumiza sana watu, alitumia hadaa nyingi ikiwemo kumchafua sana Mbowe hasa kwa tuhuma za rushwa zisizo na ushahidi nk.,Kampeni za Vurugu na Uhuni mwingi akishirikiana na Wakina Pambalu na Mwaipaya, hawa walitengeneza Chuki kubwa sana wanahitajika kufanya kazi ya ziada kurudi kwenye Mioyo ya upande wa pili.

Ni Mtazamo tu Povu linaruhusiwa.
Lissu hana akili na ujanja wa kuendesha taasisi inayohitaji extra thinking out of box kama chama cha upinzani

Heche ndio hana akili kabisa,mtoe

Wote hao kazi yao actually ni talking heads

Chama cha upinzani kinaenda so far pale economics zinapowafikisha

Lissu na Heche wote hawana akili za economics za ku-raise pesa apart from ruzuku na bakuli kwa wanachama...Ruzuku ya serikali ni ndogo,bakuli kwa wanachama linawachosha huwezi pitisha bakuli kila siku

Only business minded people can raise cash to run these motherfvckers

Akili ya ujanja wa chess game Lissu na Heche do not know anything

I really see Zitto fvcking these two talking heads just like dummies

Mtu ambae alikua anaweza perfectly ni Mbowe,street smarts,economics,chess games,calmness,etc...pamoja na kua perfect kwa kile chama ila asingeweza kaa milele


Zitto kapata mataahira to run circles around,ACT itaipita Chadema ya Heche na Lissu very fast maana Zitto ni smarter than these two put together and by far!
 
Back
Top Bottom