Uongozi CHADEMA: Heche anaweza kutibu Majeraha, Lissu hawezi

Uongozi CHADEMA: Heche anaweza kutibu Majeraha, Lissu hawezi

TAL akam-out smart

FAM alisahau kuwa siasa ni namba, ni mchezo wa hesabu
Mkuu

ni difference ndogo sana aisee...yaani 49% kwa 50% ndio kamu-outsmart kwa lipi sasa?

Ingekua 90% kwa 10% ndio total domination

Difference ni ndogo sana na ukitilia maana Mbowe didnt even campaing kwa nguvu kama Lissu

Hii difference ndogo hivi ndio inaenda iua chadema maana still Mbowe ana power na 50% ya watu ndani ya CDM

MBowe ni powerful still which will make Lissu hard to run CDM kama anavyotaka

Mfano mdogo tu,akileta maamuzi kwenye kamati kuu,Mbowe akiwa haitaki,ana watu 50% ndani ya baraza kupiga kura ya NO.....hapo hoja za Lissu zinafia hapo hapo

Ninachoona Lissu asicheke sana,Mbowe still call the shots mle ndani na itamsumbua sana Lissu,wakae chini man to man wa agree on something,otherwise tutaona mengi

Bado hatujaona lipicha!
 
Hebu acheni kulinganisha na kutofautisha viongozi wa chadema mpya, uchaguzi wao umepita subirini ujao ndio muanze.
 
Narudia, ni suala la muda tu kabla mshamba flani hajatema au kutemeshwa bungo!!
 
Zitto kapata mataahira to run circles around,ACT itaipita Chadema ya Heche na Lissu very fast maana Zitto ni smarter than these two put together and by far!
Fact👍
Zitto anaungalia huu mtanange kwa umakini sana, naona hataki mdomo ukiponze kichwa anasubiri perfect moment tu.
 
Mleta uzi tulia dawa ya Diclofenac ikuingie vizuri sisi ni team lisu forever lisu ana qualities nyingi unateseka bure.
 
Uchaguzi umeshaisha Lissu ni Mwenyekiti na Makamu Heche, Mnyika Katibu Mkuu, sasa hivi nguvu zote ni kuwang'oa hawa wakoloni weusi waliojimilikisha nchi yetu kwa njia za kisanii.
 
Lisingekuwa Vuguvugu la kumng'oa Mbowe hizi Dakika za Mwisho kwangu mimi ungeniuliza nani anastahili kuwa Mwenyekiti baada ya Mbowe ningesema ni Heche.

Leo nimewasikiliza wote(Lissu&Heche) Hotuba zao walipoingia Ofisini kwa mara ya kwanza,kimsingi ukiwasikiliza vizuri Hotuba ya Heche ndiyo ilitakiwa iwe ya Lissu na ya Lissu iwe ya Heche.

Heche katoa hotuba nzuri sana ya kuvunja Makundi na kutambua Mchango wa Mbowe, Lissu alijitahidi kuongea ila kwasababu ya utulivu mdogo mwishoni alichemsha baada ya kuingiza mambo ya Kampeni tena kwa kuleta majungu na Madongo hasa alipotumia neno Wabangaizaji ambalo lilitonesha Vidonda, tukumbuke neno hili lilitumika sana kama kete ya kuwaunganisha watu wake kipindi cha Kampeni na kuwabagua watu wa Mbowe.

Kwangu mimi naona Heche anaweza kuponya Majeraha na kuwaunganisha wanaCHADEMA kuliko Lissu, hii ni kwasababu Heche ni Homeboy anapendwa na WanaCHADEMA wengi hata katika kundi la Mbowe anao watu wengi na pia kipindi cha Kampeni aliendesha Kampeni za Wastani ambazo hazikujeruhi sana watu na baada ya kushinda ameepuka sana kuendeleza mambo ya Kampeni.

Hii ni tofauti na Lissu ambaye Kampeni zake aliumiza sana watu, alitumia hadaa nyingi ikiwemo kumchafua sana Mbowe hasa kwa tuhuma za rushwa zisizo na ushahidi nk.,Kampeni za Vurugu na Uhuni mwingi akishirikiana na Wakina Pambalu na Mwaipaya, hawa walitengeneza Chuki kubwa sana wanahitajika kufanya kazi ya ziada kurudi kwenye Mioyo ya upande wa pili.

Ni Mtazamo tu Povu linaruhusiwa.
Siku ccm wakiruhusiwa kufanya kampeni kwa uhuru, haki na uwazi tutasikia mengi kuliko kawaida.
Kama unabisha rejea hotuba ya kampeni ya Makongoro JN dhidi ya Wassira.
 
Lissu hana akili na ujanja wa kuendesha taasisi inayohitaji extra thinking out of box kama chama cha upinzani

Heche ndio hana akili kabisa,mtoe

Wote hao kazi yao actually ni talking heads

Chama cha upinzani kinaenda so far pale economics zinapowafikisha

Lissu na Heche wote hawana akili za economics za ku-raise pesa apart from ruzuku na bakuli kwa wanachama...Ruzuku ya serikali ni ndogo,bakuli kwa wanachama linawachosha huwezi pitisha bakuli kila siku

Only business minded people can raise cash to run these motherfvckers

Akili ya ujanja wa chess game Lissu na Heche do not know anything

I really see Zitto fvcking these two talking heads just like dummies

Mtu ambae alikua anaweza perfectly ni Mbowe,street smarts,economics,chess games,calmness,etc...pamoja na kua perfect kwa kile chama ila asingeweza kaa milele


Zitto kapata mataahira to run circles around,ACT itaipita Chadema ya Heche na Lissu very fast maana Zitto ni smarter than these two put together and by far!
Mkuu, watu hawana miamvuli, unawaloanisha
 
Kama Diclofenac haiondoi maumivu haraka , meza Piroxicam.
Nilitoa angalizo hilo nikiwa najua Kuna madanga humu zaidi ya giggy money hivyo....namaanisha hunisumbui dada'angu nilishajiandaa na vichambo.
 
Lisingekuwa Vuguvugu la kumng'oa Mbowe hizi Dakika za Mwisho kwangu mimi ungeniuliza nani anastahili kuwa Mwenyekiti baada ya Mbowe ningesema ni Heche.

Leo nimewasikiliza wote(Lissu&Heche) Hotuba zao walipoingia Ofisini kwa mara ya kwanza,kimsingi ukiwasikiliza vizuri Hotuba ya Heche ndiyo ilitakiwa iwe ya Lissu na ya Lissu iwe ya Heche.

Heche katoa hotuba nzuri sana ya kuvunja Makundi na kutambua Mchango wa Mbowe, Lissu alijitahidi kuongea ila kwasababu ya utulivu mdogo mwishoni alichemsha baada ya kuingiza mambo ya Kampeni tena kwa kuleta majungu na Madongo hasa alipotumia neno Wabangaizaji ambalo lilitonesha Vidonda, tukumbuke neno hili lilitumika sana kama kete ya kuwaunganisha watu wake kipindi cha Kampeni na kuwabagua watu wa Mbowe.

Kwangu mimi naona Heche anaweza kuponya Majeraha na kuwaunganisha wanaCHADEMA kuliko Lissu, hii ni kwasababu Heche ni Homeboy anapendwa na WanaCHADEMA wengi hata katika kundi la Mbowe anao watu wengi na pia kipindi cha Kampeni aliendesha Kampeni za Wastani ambazo hazikujeruhi sana watu na baada ya kushinda ameepuka sana kuendeleza mambo ya Kampeni.

Hii ni tofauti na Lissu ambaye Kampeni zake aliumiza sana watu, alitumia hadaa nyingi ikiwemo kumchafua sana Mbowe hasa kwa tuhuma za rushwa zisizo na ushahidi nk.,Kampeni za Vurugu na Uhuni mwingi akishirikiana na Wakina Pambalu na Mwaipaya, hawa walitengeneza Chuki kubwa sana wanahitajika kufanya kazi ya ziada kurudi kwenye Mioyo ya upande wa pili.

Ni Mtazamo tu Povu linaruhusiwa.
Heche siku zote amekuwa anaweka wazi jinsi anavyomheshimu Mbowe. Na leo hakuacha kufanya hivyo wakati wenzake walikuwa wanajitahidi kukwepa kumtaja.

Amandla...
 
Mbona mnaweweseka sanaa aisee,badooo mnapata homa za vipindi.
Kweli hamna rangi mtaacha kuona mwakaa huu..
Mungu mbariki Lissu na vizazi vyake vyote 7
 
Hii difference ndogo hivi ndio inaenda iua chadema maana still Mbowe ana power na 50% ya watu ndani ya CDM

Mfano mdogo tu,akileta maamuzi kwenye kamati kuu,Mbowe akiwa haitaki,ana watu 50% ndani ya baraza kupiga kura ya NO.....hapo hoja za Lissu zinafia hapo hapo
Unachosema ni kuwa Mbowe akiamua kuleta upinzani dhidi ya CDM ataweza kwa asilimia 50. Upinzani dhidi ya CDM (kukwamisha mipango ya Mwenyekiti wa chama) inategemewa kuwa itafanywa na chama kilicho pinzani na CDM. Kwa vyovyote chama pinzani kwa CDM kitakua ni CCM

Kwa hiyo unamaanisha kuwa Mbowe akiamua kufanya matendo ya ccm ataungwa mkono kwa 50%.

Atakuwa amekamilisha na kuuonesha kwa vitendo msemo na tetesi za kulamba asali
 
Unachosema ni kuwa Mbowe akiamua kuleta upinzani dhidi ya CDM ataweza kwa asilimia 50. Upinzani dhidi ya CDM (kukwamisha mipango ya Mwenyekiti wa chama) inategemewa kuwa itafanywa na chama kilicho pinzani na CDM. Kwa vyovyote chama pinzani kwa CDM kitakua ni CCM

Kwa hiyo unamaanisha kuwa Mbowe akiamua kufanya matendo ya ccm ataungwa mkono kwa 50%.

Atakuwa amekamilisha na kuuonesha kwa vitendo msemo na tetesi za kulamba asali
Hilo la kulamba asali actually hakuna mwenye proof

huenda alikula au la

ila kama ana beef zake na ego kubwa anaweza leta revolt ndani ya Chadema yenyewe maana he effectvely control 50% ya watu wa Chadema

Anaweza aka control baraza kuu kwenye kupiga kura za maamuzi maana ana wafuasi 50% ndani yake

Beef lake Mbowe na Chadema/Lissu (kama akisema analo) linaweza wasaidia CCM na ACT

Sasa hivi kwakweli facts are facts,Chadema is no match to CCM,lets get that clear....

Sasa hivi infact Chadema inatakiwa iwe very careful na nafasi yake ya Chama Rasmi Cha Upinzani Tanzania isikaribiwe wala kuchukuliwa na ACT maana ACT will make Chadema and Lissu run for their money and its no joke

As we speak Chadema ana kazi na ACT wala sio CCM..Kumbuka Zanzibar is their home ground,majimbo yote ya Pemba ni yao to begin with.

Chadema itaiweza CCM iwapo tu CCM watafanya blunder ya ajabu au kutokee revolution ndani ya CCM watu watawanyike,otherwise sasa hivi wanavyomiliki dola namna hii na marketing wanayofanya its a tall order!

As I see it Chadema has to be careful with ACT even more than CCM for now!
 
Lisingekuwa Vuguvugu la kumng'oa Mbowe hizi Dakika za Mwisho kwangu mimi ungeniuliza nani anastahili kuwa Mwenyekiti baada ya Mbowe ningesema ni Heche.

Leo nimewasikiliza wote(Lissu&Heche) Hotuba zao walipoingia Ofisini kwa mara ya kwanza,kimsingi ukiwasikiliza vizuri Hotuba ya Heche ndiyo ilitakiwa iwe ya Lissu na ya Lissu iwe ya Heche.

Heche katoa hotuba nzuri sana ya kuvunja Makundi na kutambua Mchango wa Mbowe, Lissu alijitahidi kuongea ila kwasababu ya utulivu mdogo mwishoni alichemsha baada ya kuingiza mambo ya Kampeni tena kwa kuleta majungu na Madongo hasa alipotumia neno Wabangaizaji ambalo lilitonesha Vidonda, tukumbuke neno hili lilitumika sana kama kete ya kuwaunganisha watu wake kipindi cha Kampeni na kuwabagua watu wa Mbowe.

Kwangu mimi naona Heche anaweza kuponya Majeraha na kuwaunganisha wanaCHADEMA kuliko Lissu, hii ni kwasababu Heche ni Homeboy anapendwa na WanaCHADEMA wengi hata katika kundi la Mbowe anao watu wengi na pia kipindi cha Kampeni aliendesha Kampeni za Wastani ambazo hazikujeruhi sana watu na baada ya kushinda ameepuka sana kuendeleza mambo ya Kampeni.

Hii ni tofauti na Lissu ambaye Kampeni zake aliumiza sana watu, alitumia hadaa nyingi ikiwemo kumchafua sana Mbowe hasa kwa tuhuma za rushwa zisizo na ushahidi nk.,Kampeni za Vurugu na Uhuni mwingi akishirikiana na Wakina Pambalu na Mwaipaya, hawa walitengeneza Chuki kubwa sana wanahitajika kufanya kazi ya ziada kurudi kwenye Mioyo ya upande wa pili.

Ni Mtazamo tu Povu linaruhusiwa.

View: https://www.instagram.com/reel/DFbDyn8iUHw/?igsh=eGtma3Byc2pqbTN0
 
Back
Top Bottom