Uongozi jumuishi huleta maendeleo jumuishi

Uongozi jumuishi huleta maendeleo jumuishi

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210329_082405_340.jpg

Uongozi jumuishi ni moja ya misingi ya utawala bora ikiwa na maana kuwa, kuhusisha watu wa aina zote kwenye jamii kama wazee, vijana, wanawake, wanaume na walemavu kwenye kufaidika na mambo yatokanayo na serikali au uongozi wao.

Pia kuhusishwa kwenye kufanya maamuzi juu ya mambo yahusuyo jamii yao.

Kutofanya hivyo hupelekea utofauti mkubwa kati ya wenye nacho ambao ni wale wanaojumuishwa na wasionacho wale wanaoachwa kwenye mipango ya mambo mbalimbali.

Aidha hupelekea watu kuharibu mambo ya maendeleo kama vile miundombinu ambayo imejengwa bila wao kuhusishwa kwakuwa wanajihisi si sehemu ya mipango hiyo.
 
Upvote 1
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom