Uongozi ni pamoja na kuwa tayari kufa kwa ajili ya watu unaowaongoza. Nimeliona hili kwa Magufuli na Mbowe, siyo kwa Lissu na Lema

Uongozi ni pamoja na kuwa tayari kufa kwa ajili ya watu unaowaongoza. Nimeliona hili kwa Magufuli na Mbowe, siyo kwa Lissu na Lema

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kiukweli hata kwenye mafundisho ya dini tunaambiwa mchunga mwema wa kondoo hutangulia mbele ya kundi na kuwapa ishara kondoo kila kitu kibaya kinapokuja.

Hayati Magufuli na mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe ni mfano mzuri wa wachungaji WEMA ambao wamekuwa tayari kutaabika na kunenewa kila lililo baya kwa ajili ya wale wanaowaongoza.

Lakini Tundu Lissu na Godbless Lema ni mfano wa kunguru muoga ambaye hukimbiza mbawa zake mbaaaali kabisa.

Mungu wa mbinguni awapeni siku njema iitwayo Leo!
 
Mbowe usimulinganishe na kitu cha ajabu Mkuu we unamsemea Magufuli ambae ulimtambua baada ya kua Rais kwa kutumia Mabavu kupitia nafasi yake ya Uraisi alikua anafanya chochote lakini Mbowe anapambana akiwa chini hana Nguvu yeyote kwenye hii Nchi tena anapambana na wenye Madaraka.

#Narudia usimfananishe MBOWE na Vitu Vingine vya ajabu
 
Wale ni wapiga dili waliojificha kwenye kivuli cha siasa!
Ila vipara vyao vinameremeta wawapo miongoni mwawadanganyika na wanaonekana na kutambulika sio, Kwa kazi kubwa wanayoifanya kwa ajili ya wadangangika.
 
Kwa Magufuli nakataaa, jambo gani alilolifanya mpaka kupelekea kusema alikuwa tayari kufa kwa ajili ya watu wake?
 
Kiukweli hata kwenye mafundisho ya dini tunaambiwa mchunga mwema wa kondoo hutangulia mbele ya kundi na kuwapa ishara kondoo kila kitu kibaya kinapokuja.

Hayati Magufuli na mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ni mfano mzuri wa wachungaji WEMA ambao wamekuwa tayari kutaabika na kunenewa kila lililo baya kwa ajili ya wale wanaowaongoza.

Lakini Tundu Lisu na Godbless Lema ni mfano wa kunguru muoga ambaye hukimbiza mbawa zake mbaaaali kabisa.

Mungu wa mbinguni awapeni Siku njema iitwayo Leo!
Hapo umekosea kama siyo hujui. Hapa Tanzania tulikuwa makazi wa viongozi wengi tu wa wapigania uhuru, jana tu yakitajwa maeneo aliyokaa Rais wa sasa wa Burudi. Wakati Hayati Mandela anafungwa na Serikali y makaburu kulikuwa na wengine walikuwa wakiishi nchi mbalimbali duniani wakiendeleza mapambano kutokea huko. Kabla hajasema swala lolote humu jitahidi kuyajua kabla.
 
Back
Top Bottom