Uongozi ni pamoja na kuwa tayari kufa kwa ajili ya watu unaowaongoza. Nimeliona hili kwa Magufuli na Mbowe, siyo kwa Lissu na Lema

Lisu anagombea urais wakati kura zinahesabiwa kakimbilia nyumbani kwa balozi wa Ujerumani.

Bure kabisa yule mnyaturu!
Mama alisema, hata mkipigia kura kule kwingine, CCM ndio itakayounda Serikali. Wakati wa kufunga kampeni pale kawe Lissu alisema Ana Habari kuwa kura zimeisha setiwa kuwa jiwe atashinda kwa kura milioni 12 ndivyo ilivyokuwa, Sasa unaposema wakati kura zinahesabiwa nashindwa kukuelewa ni kura zipi unazozizungumzia
 
Muziki wa Lissu uliuonaje?? Jiwe hakupata amani tena hata baada ya kujitwalia madaraka kamili bado moyo wake ulisononeka hadi umauti.
 
Kura ambazo Tundu Lisu alipata 13%
 
Lissu alitisha sana! Na alilitendea vema jukwaa.

Lowassa aliaibisha sana majukwaani ata kuongea ni taabu!
Lowassa alilisimamisha jiji la Dar es salaam siku anakwenda kuchukua fomu hali iliyosababisha NEC wapate wazo la kujenga ofisi zao Dodoma

Lakini Tundu Lisu alishindwa kujaza Kanisa la Mwamposya siku ya kufunga kampeni.
 
Lowassa alilisimamisha jiji la Dar es salaam siku anakwenda kuchukua fomu hali iliyosababisha NEC wapate wazo la kujenga ofisi zao Dodoma

Lakini Tundu Lisu alishindwa kujaza Kanisa la Mwamposya siku ya kufunga kampeni.
Kumbuka Lissu aliwekewa vikwazo sana ata kwenye kurudisha form na wakati huo Jiwe alishakuwa chumba.

Lowassa Jiwe alikuwa bado hajawa Rais kwa hiyo hakupata vikwazo kama Lissu.

Lissu alimshinda Jiwe mbali sana ni vile tu hawa watu wetu wa usalama wana shida vichwani
 
Kwanza wewe hauaminiki.Pili usimfananishe Mbowe na vitu vya kijinga.
 
tetete Mbowe siyo gaidi bibi e
Mbona unajifanya kumjua Mbowe zaidi ya anavyojuliwa na mkewe? Ina maana ww unajiona kuwa unastahili kuwa na uchungu zaidi ya ule anaostahili kuwa nao mkewe? Je haujui kuwa Mbowe ameshaowa na dini yake hamruhusu kukufanya ww kuwa mke wa pili? Comment yang haikumtaja huyo balafu wako wa moyo, lkn nashangaa umekimbilia kumuingiza katika hoja yangu.. how come!
 
Mtoa mada yuko sahihi Mbowe baada ya kifo cha Magufuli alikili wazi mwenyewe kwamba Magufuli alikuwa na msimamo sana kwenye kusimamia mambo yake na hakuwa muoga na alikua tayari kufa kutetea anacho kiamini ndicho mtoa mada alichomlinganisha na Mbowe
 


 
Mtu aliye tayari kufa kwanini alindwe kama yuko KUNDUZ!? 😳😳😳

 
Mwendazake alikuwa tayari Kuua sio kufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…