Uongozi Shirika la Posta na TTCL mkiweka kando utendaji wa kimazoea Mtatoa huduma bora zaidi badala ya kero kwa maslahi ya Nchi yetu



Hiyo EMS ungesema utume kwa lorry ingefika ndani ya siku3
Hawajali kazi zao wala hawajali uharaka wa mteja

Hivi ukiwa unatuma wanakuambia itafika baada ya siku ngapi😐
 
Hiyo EMS ungesema utume kwa lorry ingefika ndani ya siku3
Hawajali kazi zao wala hawajali uharaka wa mteja

Hivi ukiwa unatuma wanakuambia itafika baada ya siku ngapi😐
Sijawahi kuuliza lakini kwa akili ya kawaida nilidhani ningepata baada ya siku 3!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…