Shukrani sana kwa andiko zuri! Hakika haya ni mashirika hovyo kuwahi kutokea.
Mimi mwezi huu nimetumiwa EMS kutoka Dodoma kuja Sumbawanga, imechukua siku 8 kuipata! Mbaya zaidi hata jiografia ya nchi hii hawaijui, badala ya kuileta Sumbawanga wanapeleka Mpanda! Kutoka Mpanda kuja Sumbawanga imechukua siku 5, kilomita 240! Just imagine!
Hawa TTCL nao ni kituko kingine! Mtandao wao ni udhaifu mno! Kazi ya dakika 3 itakuchukua nusu saa nzima. Hopeless kabisa!