Habari zenu wana Simba.
Hakika hiki wanachofanya uongozi ni hujuma kwetu, ni kitendo cha kuja kupoza maumivu yetu wana thimba. Hii Februari naona ni vilio vimetawala kwetu.
Utawala umeshaona kuwa kwa timu hii ya sasa, hatuwezi kutoboa michuano ya CAF, na GSM na Yanga yake wanaenda kubeba tena kombe la Ligi kwa mara pili (Naomba nisiongee maumivu tutakayoyapata dhidi ya Mwananchi kwenye derby).
Walichokifanya uongozi ni kutuletea kocha mbrazili ili akichemka ktk michuano ya CAF basi lawama zisitupiwe kwa uongozi bali kwa kocha. Wametuona vilaza, wanaamini sisi kweli ni makolo, walaaniwe viongozi.
Tuombe TFF iingilie kati tupewe viporo hata 7 walau tuweze kupumua, ee baba karia tuokoe, twafaaa, tupe viporo ili tuishi.
Nimemaliza.
Hakika hiki wanachofanya uongozi ni hujuma kwetu, ni kitendo cha kuja kupoza maumivu yetu wana thimba. Hii Februari naona ni vilio vimetawala kwetu.
Utawala umeshaona kuwa kwa timu hii ya sasa, hatuwezi kutoboa michuano ya CAF, na GSM na Yanga yake wanaenda kubeba tena kombe la Ligi kwa mara pili (Naomba nisiongee maumivu tutakayoyapata dhidi ya Mwananchi kwenye derby).
Walichokifanya uongozi ni kutuletea kocha mbrazili ili akichemka ktk michuano ya CAF basi lawama zisitupiwe kwa uongozi bali kwa kocha. Wametuona vilaza, wanaamini sisi kweli ni makolo, walaaniwe viongozi.
Tuombe TFF iingilie kati tupewe viporo hata 7 walau tuweze kupumua, ee baba karia tuokoe, twafaaa, tupe viporo ili tuishi.
Nimemaliza.