Pre GE2025 Uongozi wa CCM chini ya Rais Samia umechokwa na kuwa kituko mpaka wanatumia mabango ya Comedy "Cheka na Samia"?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vitu vya hovyo kama hivi duniani vipo tu Tanzania
 
NAHILI NALO MKALITIZAME
 
Mama ni lulu ya Watanzania,kila mtanzania mwenye akili anaona fahari kuweka picha ya Mama katika matangazo yake,Comedy ni kazi kama kazi nyingine
2025,Tupo na Mama
 
Maana yake ni kwamba ukicheka na nyani utavuna mabua. Mabua yenyewe ni mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa muhimu zinazotumika kila siku mfano sukari, mafuta ya kula, nauli za daladala na mabasi ya mikoani, kodi zisizokuwa na kichwa wala miguu mfano unalipwa mshahara wa 300K unakatwa payee tax, ikiwekwa kwenye akaunti yako ya benki wakati unatoa unakatwa tena na benki halafu VAT na tozo za serikali, ukienda kunununua sukari kwa mshahara huo huo uliokatwa payee tax. tozo unakatwa tena kodi hapo dukani kwa sababu ile bei ya sukari imeshajumlishiwa na kodi humo humo. Sijui kama kuna mtu mmoja au wawili wananielewa.......au niendelee?
 
Hii nchi imefika sehemu mbaya sana. Kwa wenye akili popote walipo. Ni lazima CCM ilazimishwe tupate Katiba Mpya sasa ili tuondokane na huu upuuzi wa kuabudu watu na kujenga kizazi wa wajinga na machawa.

This country is now a failed state.
Haha
 
CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu,pigo lililonyooka, pigo takatifu.
 
Hao uliowataja kazi yao ni nini?🤣🤣 leo mmefanya mama comedian? Amekuwa kituko? Kutoka raia wa kwanza hadi comedian, ni zaidi ya fezea.... mnazidi kunitia huzuni na kunifanya nilie kwa kugalagala kama Jenista Mhagama
Hakuna unachojuwa kuhusu uchumi na michango ya sekta mtambuka katika kujenga uchumi. Kaa kimya tu usijichoreshe
 
ni upendo, ufahari, uzalendo, utambulisho na protection kua na picha au kua katika picha na Dr.Samia Suluhu Hassan kipenzi cha waTanzania wote na kiongozi madhubuti wa Taifa letu.

Ni muhimu kuona fahari kwa baraka hiyo alotujalia Mungu kama Taifa
Kwa akili hizi, Tanzania haitakuja kuendelea.
 
Hakuna unachojuwa kuhusu uchumi na michango ya sekta mtambuka katika kujenga uchumi. Kaa kimya tu usijichoreshe
Mkuu bado unazidi kupotea, pigia simu ndugu na jamaa usije kupata stroke kwa uchungu🥺🥺
 
Yes,
utaendelea kushenyentwa na mihemko na makasiriko yako hadi akili ikukae sawa gentleman
Akili imkae sawa yeye au wewe mwenye mko na mgombea comediani hadi chama kimeona amekuwa mchekeshaji
 
Saa100 ndondo cup !
😄
Mama mama mama mama

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…