Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Wakati B W Mkapa anataka kuunda Baraza la Mawaziri alimfuata Mwl Nyerere na kumuuomba ushauri wa kumsaidia kuunda Baraza la Mawaziri.
Mwl Nyerere alimkatalia Late Mkapa kuunda Baraza la Mawaziri.Mwl alimwambia Mkapa Niki kusaidia maana yake hilo baraza litakuwa langu.
Mwl Nyerere alimsaidia Mkapa namna bora ya kuunda Baraza la Mawaziri.
Mosi lazima Baraza lizingatie maeneo mbali mbali ya Nchi.Kwa maana ni muhimu kutazama mikoa yote kuepuka Mawaziri kutoka sehemu moja na kuyaacha maeneo mengine ya nchi.Lazima baraza liwe na sura ya kitaifa.Leo hii Mkoa wa Pwani na Tanga wana Mawaziri 8.
Mwl Nyerere pia alimtaka Mzee Mkapa kuzingatia dini mbili kuu.
Chama mapinduzi kimemteua Lt Col Kinana kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti.Tukitazama safu za uongozi wa juu (Taifa) Mwenyekiti,Makamu wa Mwenyekiti Bara na Visiwani wote ni swala tano hakuna Mgalatia!.
Jambo hili limetokea kwa bahati mbaya au chama kimeamua kupuuza ushauri wa Mwl Nyerere.
Ngongo kwasasa Ukraine 🇺🇦
Mwl Nyerere alimkatalia Late Mkapa kuunda Baraza la Mawaziri.Mwl alimwambia Mkapa Niki kusaidia maana yake hilo baraza litakuwa langu.
Mwl Nyerere alimsaidia Mkapa namna bora ya kuunda Baraza la Mawaziri.
Mosi lazima Baraza lizingatie maeneo mbali mbali ya Nchi.Kwa maana ni muhimu kutazama mikoa yote kuepuka Mawaziri kutoka sehemu moja na kuyaacha maeneo mengine ya nchi.Lazima baraza liwe na sura ya kitaifa.Leo hii Mkoa wa Pwani na Tanga wana Mawaziri 8.
Mwl Nyerere pia alimtaka Mzee Mkapa kuzingatia dini mbili kuu.
Chama mapinduzi kimemteua Lt Col Kinana kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti.Tukitazama safu za uongozi wa juu (Taifa) Mwenyekiti,Makamu wa Mwenyekiti Bara na Visiwani wote ni swala tano hakuna Mgalatia!.
Jambo hili limetokea kwa bahati mbaya au chama kimeamua kupuuza ushauri wa Mwl Nyerere.
Ngongo kwasasa Ukraine 🇺🇦