Uongozi wa CCM umeelemea upande mmoja

Uongozi wa CCM umeelemea upande mmoja

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Wakati B W Mkapa anataka kuunda Baraza la Mawaziri alimfuata Mwl Nyerere na kumuuomba ushauri wa kumsaidia kuunda Baraza la Mawaziri.

Mwl Nyerere alimkatalia Late Mkapa kuunda Baraza la Mawaziri.Mwl alimwambia Mkapa Niki kusaidia maana yake hilo baraza litakuwa langu.

Mwl Nyerere alimsaidia Mkapa namna bora ya kuunda Baraza la Mawaziri.

Mosi lazima Baraza lizingatie maeneo mbali mbali ya Nchi.Kwa maana ni muhimu kutazama mikoa yote kuepuka Mawaziri kutoka sehemu moja na kuyaacha maeneo mengine ya nchi.Lazima baraza liwe na sura ya kitaifa.Leo hii Mkoa wa Pwani na Tanga wana Mawaziri 8.

Mwl Nyerere pia alimtaka Mzee Mkapa kuzingatia dini mbili kuu.

Chama mapinduzi kimemteua Lt Col Kinana kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti.Tukitazama safu za uongozi wa juu (Taifa) Mwenyekiti,Makamu wa Mwenyekiti Bara na Visiwani wote ni swala tano hakuna Mgalatia!.

Jambo hili limetokea kwa bahati mbaya au chama kimeamua kupuuza ushauri wa Mwl Nyerere.

Ngongo kwasasa Ukraine 🇺🇦
 
Maswala ya udini na ukabila, ukanda sio ya kuzingatia dunia ya leo muhimu uwezo na utayari wa kiongozi.
 
Wakati B W Mkapa anataka kuunda Baraza la Mawaziri alimfuata Mwl Nyerere na kumuuomba ushauri wa kumsaidia kuunda Baraza la Mawaziri.

Mwl Nyerere alimkatalia Late Mkapa kuunda Baraza la Mawaziri.Mwl alimwambia Mkapa Niki kusaidia maana yake hilo baraza litakuwa langu.

Mwl Nyerere alimsaidia Mkapa namna bora ya kuunda Baraza la Mawaziri.

Mosi lazima Baraza lizingatie maeneo mbali mbali ya Nchi.Kwa maana ni muhimu kutazama mikoa yote kuepuka Mawaziri kutoka sehemu moja na kuyaacha maeneo mengine ya nchi.Lazima baraza liwe na sura ya kitaifa.Leo hii Mkoa wa Pwani na Tanga wana Mawaziri 8.

Mwl Nyerere pia alimtaka Mzee Mkapa kuzingatia dini mbili kuu.

Chama mapinduzi kimemteua Lt Col Kinana kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti.Tukitazama safu za uongozi wa juu (Taifa) Mwenyekiti,Makamu wa Mwenyekiti Bara na Visiwani wote ni swala tano hakuna Mgalatia!.

Jambo hili limetokea kwa bahati mbaya au chama kimeamua kupuuza ushauri wa Mwl Nyerere.

Ngongo kwasasa Ukraine [emoji1255]
Aya ya 2&3 za andiko lako zinajikana zenyewe (contradict). Upande mmoja unasema Nyerer alimkatalia kumsaidia kwa kusema kuwa akimsaidia ataonekana yeye ndiya ameunda Baraza (yaani la kwake), halfu hapo hapo tena unasema alimsaidi.... , sasa unataka tushike lipi ndugu?
 
Wakati B W Mkapa anataka kuunda Baraza la Mawaziri alimfuata Mwl Nyerere na kumuuomba ushauri wa kumsaidia kuunda Baraza la Mawaziri.

Mwl Nyerere alimkatalia Late Mkapa kuunda Baraza la Mawaziri.Mwl alimwambia Mkapa Niki kusaidia maana yake hilo baraza litakuwa langu.

Mwl Nyerere alimsaidia Mkapa namna bora ya kuunda Baraza la Mawaziri.

Mosi lazima Baraza lizingatie maeneo mbali mbali ya Nchi.Kwa maana ni muhimu kutazama mikoa yote kuepuka Mawaziri kutoka sehemu moja na kuyaacha maeneo mengine ya nchi.Lazima baraza liwe na sura ya kitaifa.Leo hii Mkoa wa Pwani na Tanga wana Mawaziri 8.

Mwl Nyerere pia alimtaka Mzee Mkapa kuzingatia dini mbili kuu.

Chama mapinduzi kimemteua Lt Col Kinana kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti.Tukitazama safu za uongozi wa juu (Taifa) Mwenyekiti,Makamu wa Mwenyekiti Bara na Visiwani wote ni swala tano hakuna Mgalatia!.

Jambo hili limetokea kwa bahati mbaya au chama kimeamua kupuuza ushauri wa Mwl Nyerere.

Ngongo kwasasa Ukraine 🇺🇦
Usisahau na makatibu wa CCM wilaya na mikoa walioteuliwa na Samia

Wengi wanasifa moja wapo kati ya hizi: swala tano /ama anatokea Zanzibar /ama anatokea ukanda wa Pwani
 
Ni kama ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha ubaguzi ubaguzi tu kwa spidi ya 9G
 
Aya ya 2&3 za andiko lako zinajikana zenyewe (contradict). Upande mmoja unasema Nyerer alimkatalia kumsaidia kwa kusema kuwa akimsaidia ataonekana yeye ndiya ameunda Baraza (yaani la kwake), halfu hapo hapo tena unasema alimsaidi.... , sasa unataka tushike lipi ndugu?

Kuzingatia balance Mikoa.
 
Kwahiyo Tanga na Pwani kutoa Mawaziri 8 si hoja.Vipi Mwl Nyerere alipomshauri Mkapa ushauri haikuwa muhimu !.
[emoji848] 1. Alishauriwa nani?
2. Je unamjua Rais ni nani kwa sasa?
3. Kama ushauri nilipewa mimi, ni haki kukuingiza wewe kwenye lawama?
4. Unaelewa maana ya ushauri?
 
[emoji848] 1. Alishauriwa nani?
2. Je unamjua Rais ni nani kwa sasa?
3. Kama ushauri nilipewa mimi, ni haki kukuingiza wewe kwenye lawama?
4. Unaelewa maana ya ushauri?
Soma bandiko vizuri acha papara.
 
Soma bandiko vizuri acha papara.
Hakuna papara hapo. Labda kama ni papara inakuhusu wewe ulieleta uzi na kutaka kumpa mtu lawama kwa jambo ambalo halikuwa lake. Ushauri unasema alipewa Mkapa, Samia unamuhusu nini? Kwani vitu alivyoshauri Nyerer, awamu ya tan walifuata vyote? Hayo maswali yote yanamantiki kwa kuzingatia ulichoandika, acha kurukaruka
 
Hakuna papara hapo. Labda kama ni papara inakuhusu wewe ulieleta uzi na kutaka kumpa mtu lawama kwa jambo ambalo halikuwa lake. Ushauri unasema alipewa Mkapa, Samia unamuhusu nini? Kwani vitu alivyoshauri Nyerer, awamu ya tan walifuata vyote? Hayo maswali yote yanamantiki kwa kuzingatia ulichoandika, acha kurukaruka

Samia alipaswa kuzingatia usawa wakati wa uundaji baraza la Mawaziri.Tanzania ina mikoa 27 - 30.

Ni haki Mkoa mmoja kutoa Mawaziri 5 huku mikoa mingine ikiambulia patupu.

Ushauri alipewa Late Mkapa Mama alitakiwa kufanya rejea na si vinginevyo.

Sasa kuna hili suala la uongozi wa kitaifa CCM wote ni swala tano.
 
Nimekuelewa, ila hebu ngoja tuone Ilmu ya Madrasa kama inafaa.
 
Wakati B W Mkapa anataka kuunda Baraza la Mawaziri alimfuata Mwl Nyerere na kumuuomba ushauri wa kumsaidia kuunda Baraza la Mawaziri.

Mwl Nyerere alimkatalia Late Mkapa kuunda Baraza la Mawaziri.Mwl alimwambia Mkapa Niki kusaidia maana yake hilo baraza litakuwa langu.

Mwl Nyerere alimsaidia Mkapa namna bora ya kuunda Baraza la Mawaziri.

Mosi lazima Baraza lizingatie maeneo mbali mbali ya Nchi.Kwa maana ni muhimu kutazama mikoa yote kuepuka Mawaziri kutoka sehemu moja na kuyaacha maeneo mengine ya nchi.Lazima baraza liwe na sura ya kitaifa.Leo hii Mkoa wa Pwani na Tanga wana Mawaziri 8.

Mwl Nyerere pia alimtaka Mzee Mkapa kuzingatia dini mbili kuu.

Chama mapinduzi kimemteua Lt Col Kinana kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti.Tukitazama safu za uongozi wa juu (Taifa) Mwenyekiti,Makamu wa Mwenyekiti Bara na Visiwani wote ni swala tano hakuna Mgalatia!.

Jambo hili limetokea kwa bahati mbaya au chama kimeamua kupuuza ushauri wa Mwl Nyerere.

Ngongo kwasasa Ukraine 🇺🇦
Chadema hali ikoje?
 
Back
Top Bottom