DOKEZO Uongozi wa hospitali ya Bugando ujitathimini kwenye kitengo cha Dailysis

DOKEZO Uongozi wa hospitali ya Bugando ujitathimini kwenye kitengo cha Dailysis

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Azoge Ze Blind Baga

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
442
Reaction score
1,655
Kama mada inavyonieleza
Kuna hiki kitendo cha dailysis pale Bugando hospital mambo ni ovyo sana
Kwanza wahudumu hasa wa kike kwenye kile kitengo hawana kauli nzuri kwa wagonjwa wanaokuja kusafisha damu

Suala la kuwatoa wagonjwa kwenye mfumo baada ya kumaliza matibabu nalo ni kero wahudumu wanarushiana mpira nani awatoe wagonjwa kwenye mfumo hali inayoleta kero na usumbufu mwingi kwa wagonjwa.

Machine za kusafisha damu zimeunganishwa na mfumo wa maji ila tangu jumanne mfumo unasumbua hivyo mashine zinasimama kufanya kazi hali inayopelekea huduma kuchelewa

Mfano siku ya jumanne ya tar 24/12/2024 mfumo wa kusambaza maji kwenye machine ulizingua mashine zikaacha kufanya kazi na kusababisha wagonjwa kuchelewa kupata huduma.

Hospitali inakusanya hela nyingi kupitia wagonjwa wa figo lakini huduma zao zimekua mbovu na za ovyo sana

Kila wakati mashine za kusafisha damu zinaharibika hali inayopelekea kuwa na foleni kubwa na kuchelewesha kutoa huduma kwa wagonjwa.

Mkurugenzi wa Hospital ya Bugando na timu yake ijitathimini juu ya changamoto nyingi zilizopo kwenye kitengo cha Dailysis.

Hela mnachukua lakini huduma zenu ni mbovu na haziridhishi mbona mnafanya kazi kwa mazoea na mnaleta mazoea kwa afya ya mtu.

Waziri wa Afya fuatilia kero hii kwenye kitengo cha Figo pale Bugando.
 
Kama mada inavyonieleza
Kuna hiki kitendo cha dailysis pale Bugando hospital mambo ni ovyo sana
Kwanza wahudumu hasa wa kike kwenye kile kitengo hawana kauli nzuri kwa wagonjwa wanaokuja kusafisha damu

Suala la kuwatoa wagonjwa kwenye mfumo baada ya kumaliza matibabu nalo ni kero wahudumu wanarushiana mpira nani awatoe wagonjwa kwenye mfumo hali inayoleta kero na usumbufu mwingi kwa wagonjwa.

Machine za kusafisha damu zimeunganishwa na mfumo wa maji ila tangu jumanne mfumo unasumbua hivyo mashine zinasimama kufanya kazi hali inayopelekea huduma kuchelewa

Mfano siku ya jumanne ya tar 24/12/2024 mfumo wa kusambaza maji kwenye machine ulizingua mashine zikaacha kufanya kazi na kusababisha wagonjwa kuchelewa kupata huduma.

Hospitali inakusanya hela nyingi kupitia wagonjwa wa figo lakini huduma zao zimekua mbovu na za ovyo sana

Kila wakati mashine za kusafisha damu zinaharibika hali inayopelekea kuwa na foleni kubwa na kuchelewesha kutoa huduma kwa wagonjwa.

Mkurugenzi wa Hospital ya Bugando na timu yake ijitathimini juu ya changamoto nyingi zilizopo kwenye kitengo cha Dailysis.

Hela mnachukua lakini huduma zenu ni mbovu na haziridhishi mbona mnafanya kazi kwa mazoea na mnaleta mazoea kwa afya ya mtu.

Waziri wa Afya fuatilia kero hii kwenye kitengo cha Figo pale Bugando.
Poleni sana
 
Watanzania tuache unyonge.

Tunapaswa kuwa wakali kwenye haki na kuwajibika.
 
Suala la uzembe ktk afya sio suala kufumbiwa macho..
Nilienda mkoani, Manyoni ndani ndani huko kata flan,
Nikafika kutibiwa kwenye kituo cha afya, kwenda maabara nikatolewa damu kidogo na kupewa vi kopo nikaweke choo na mkojo.
Lkn mtu wa maabara akaniambia Samahani hatuna maji ila nenda choo kile pale (akanielekeza nyumbani kwa nurse,ni jirani tu hapo)
Aloo nimeingia choo ni kisafi
Lkn nilisimama dakika kadhaa nikacheka mwenyewe kwanza,maana ni choo cha shimo cha kulenga moja kwa moja.
swali ikawa
Sasa choo kidogo ntapata ,je kikubwa ntafanyaje nikipate na choo ni tundu,aisee nisimalizie nilipataje lkn nilitibiwa,
Uzembe wa maji ulisababisha labsha kwa wagonjwa wengi.
 
Kama mada inavyonieleza
Kuna hiki kitendo cha dailysis pale Bugando hospital mambo ni ovyo sana
Kwanza wahudumu hasa wa kike kwenye kile kitengo hawana kauli nzuri kwa wagonjwa wanaokuja kusafisha damu

Suala la kuwatoa wagonjwa kwenye mfumo baada ya kumaliza matibabu nalo ni kero wahudumu wanarushiana mpira nani awatoe wagonjwa kwenye mfumo hali inayoleta kero na usumbufu mwingi kwa wagonjwa.

Machine za kusafisha damu zimeunganishwa na mfumo wa maji ila tangu jumanne mfumo unasumbua hivyo mashine zinasimama kufanya kazi hali inayopelekea huduma kuchelewa

Mfano siku ya jumanne ya tar 24/12/2024 mfumo wa kusambaza maji kwenye machine ulizingua mashine zikaacha kufanya kazi na kusababisha wagonjwa kuchelewa kupata huduma.

Hospitali inakusanya hela nyingi kupitia wagonjwa wa figo lakini huduma zao zimekua mbovu na za ovyo sana

Kila wakati mashine za kusafisha damu zinaharibika hali inayopelekea kuwa na foleni kubwa na kuchelewesha kutoa huduma kwa wagonjwa.

Mkurugenzi wa Hospital ya Bugando na timu yake ijitathimini juu ya changamoto nyingi zilizopo kwenye kitengo cha Dailysis.

Hela mnachukua lakini huduma zenu ni mbovu na haziridhishi mbona mnafanya kazi kwa mazoea na mnaleta mazoea kwa afya ya mtu.

Waziri wa Afya fuatilia kero hii kwenye kitengo cha Figo pale Bugando.
Poleni sana
Mrejesho upo?
 
Back
Top Bottom