johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Umekunywa gongo ya kijani kibichi ? Makamu wa rais bara na visiwani ndio utumbo gani tena huko Lumumba?CCM inakwenda kupata mwenyekiti mpya wa taifa kufuatia mama Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa JMT.
Katibu mkuu atakuwa mpya
Katibu wa Itikadi na Uenezi atakuwa mpya.
Yawezekana hata makamu wa Rais bara na visiwani wakawa wapya
Mambo ni fire.
Maendeleo hayana vyama
Vuta subra bwashee!Ccm wachumia tumbo hawezi kuwa mpya hata siku moja
Miaka zaidi ya 50 tumevuta subra kuishi na ccm zaidi rasilimali za nchi mchwa waliopo ccm wanazitafuna tuVuta subra bwashee!
CCM inakwenda kupata mwenyekiti mpya wa taifa kufuatia mama Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa JMT.
Katibu mkuu atakuwa mpya
Katibu wa Itikadi na Uenezi atakuwa mpya.
Yawezekana hata makamu wa mwenyekiti bara na visiwani wakawa wapya
Mambo ni fire.
Maendeleo hayana vyama
Safi sana, tunataka Katibu Mkuu aliyesoma Chuo Chetu cha YOHANA UNIVERSITY.CCM inakwenda kupata mwenyekiti mpya wa taifa kufuatia mama Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa JMT.
Katibu mkuu atakuwa mpya
Katibu wa Itikadi na Uenezi atakuwa mpya.
Yawezekana hata makamu wa mwenyekiti bara na visiwani wakawa wapya
Mambo ni fire.
Maendeleo hayana vyama
NiceCCM inakwenda kupata mwenyekiti mpya wa taifa kufuatia mama Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa JMT.
Katibu mkuu atakuwa mpya
Katibu wa Itikadi na Uenezi atakuwa mpya.
Yawezekana hata makamu wa mwenyekiti bara na visiwani wakawa wapya
Mambo ni fire.
Maendeleo hayana vyama
CCM haina jema kwa WATANZANIA. Mmekaa kuvimbisha mijitumbo yenu tu
Hicho kilikuwa kipindi kabla ya JPM. Labda yarudi tena!