Uongozi wa kitaifa, unafanya kazi chini ya kiwango?

Uongozi wa kitaifa, unafanya kazi chini ya kiwango?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Nimeshangazwa kama si kugutushwa na sababu ambazo Mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alizotoa kwa reshuffle ya mwisho wa wiki iliyopita. Sababu kubwa inasemekana viongozi katika ngazi fulani hawaelewani. Hii imenishtua sana!

Nikajiuliza, kwa nini viongozi mahali popote kikazi hawaelewani? Mimi sioni sababu nyingine, ila ile ya maslahi binafsi. Hapa Mama akae chonjo, kikulacho tayari kiko nguoni!

Lakini imekuwaje tumefika hapo?

Mtu Waziri anatoka Magu, Naibu wake anatoka Nangurukuru, sasa watapendanaje kama hawana common denominator? Kula kwa urefu wa kamba yako na maslahi binafsi hapo ndio tatizo.

Mwalimu Nyerere alitufundisha, ilituendelee tunahitaji vitu vinne:
-Watu,
-Ardhi,
-Siasa safi na
-Uongozi bora.

Viwili vya kwanza, yaani watu na ardhi havina matatizo. Tatizo liko katika Siasa Safi - Unifying Ideology na Uongozi Bora.

Hapo chama tawala kiingilie kati, maana viongozi kama hawana umoja na vision inayoeleweka hawataishia kusonyana, mwisho wake ni visu vya mgongoni vinavyoweza kuishia kwenye machafuko kwa wapambe na wananchi.

Sera za umoja na vision kati ya viongozi vinayumba.

Ni mawazo tu.
 
Hivi Wakuu, Kiongozi anaposema kuleni Kwa Kamba zenu, unategemea Waziri, Naibu, KM, NKM, wataelewana?

lakini kama wote Lugha ingekua Moja, kama wote Kwa pamoja wangekubali kuichukia Rushwa, tungefika mbali sana.

Kama una video Rasis Samia, akichukia Rushwa waziwazi, naomba uniwekee hapa!
 
Nimeshangazwa kama si kugutushwa na sababu ambazo Mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alizotoa kwa reshuffle ya mwisho wa wiki iliyopita...
Common denomination unamaanisha nn, waziri anatoka Magu, naibu nangurukuru.

Ulitaka awe anawachagua waliotoka Mkoa mmoja au dini moja?

Uko sawa?
 
Common denomination unamaanisha nn, waziri anatoka Magu, naibu nangurukuru,

Ukitaka awe anawachagua waliotoka Mkoa mmoja au dini moja?

Uko sawa?
You totally missed the point!
Fikiri kwa mapana zaidi.
 
Nimeshangazwa kama si kugutushwa na sababu ambazo Mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alizotoa kwa reshuffle ya mwisho wa wiki iliyopita. Sababu kubwa inasemekana viongozi katika ngazi fulani hawaelewani. Hii imenishtua sana...
Kamaviongozi hawaelewi wajibu wao na kuishia kugombania keki ya Tsifa, basi tatizo liko juu zaidi.
 
yote haya yanasababishwa na yeye mwenyewe rais wacha wateuzi wale kwa urefu wa kamba zao kila mtu akitamba ana back up ya uhakika hakuna wa kumtisha mwenzie......wanaoumia ni wananchi
 
Read, again and again brother, you wont miss my point.
Enzi za spoon feeding ziliisha.
Naelewa sana,

Hakuwa kataza kula, anataka wale Kwa Utaratibu, yaani wakae na kuambiana ndugu kula na ishia hapa, na mm Nile hapa.

Wameruhusiwa kula, ila tu wasiparuane,

Mm najiuliza MAPAKA uyape sahani moja afu uyaambie kuleni Kwa Utaratibu, kuparuana HAPANA, itawezekana Kweli?
 
Naelewa sana,

Hakuwa kataza kula, anataka wale Kwa Utaratibu, yaani wakae na kuambiana ndugu kula na ishia hapa, na mm Nile hapa.

Wameruhusiwa kula, ila tu wasiparuane,

Mm najiuliza MAPAKA uyape sahani moja afu uyaambie kuleni Kwa Utaratibu, kuparuana HAPANA, itawezekana Kweli?
Spot on brother.
That goes to explain the wrong vision set earlier on.
 
Nimeshangazwa kama si kugutushwa na sababu ambazo Mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alizotoa kwa reshuffle ya mwisho wa wiki iliyopita. Sababu kubwa inasemekana viongozi katika ngazi fulani hawaelewani. Hii imenishtua sana!

Nikajiuliza, kwa nini viongozi mahali popote kikazi hawaelewani? Mimi sioni sababu nyingine, ila ile ya maslahi binafsi. Hapa Mama akae chonjo, kikulacho tayari kiko nguoni!

Lakini imekuwaje tumefika hapo?

Mtu Waziri anatoka Magu, Naibu wake anatoka Nangurukuru, sasa watapendanaje kama hawana common denominator? Kula kwa urefu wa kamba yako na maslahi binafsi hapo ndio tatizo.

Mwalimu Nyerere alitufundisha, ilituendelee tunahitaji vitu vinne:
-Watu,
-Ardhi,
-Siasa safi na
-Uongozi bora.

Viwili vya kwanza, yaani watu na ardhi havina matatizo. Tatizo liko katika Siasa Safi - Unifying Ideology na Uongozi Bora.

Hapo chama tawala kiingilie kati, maana viongozi kama hawana umoja na vision inayoeleweka hawataishia kusonyana, mwisho wake ni visu vya mgongoni vinavyoweza kuishia kwenye machafuko kwa wapambe na wananchi.

Sera za umoja na vision kati ya viongozi vinayumba.

Ni mawazo tu.
Kuna shida. MaDC na Wakurugenzi hawaelewani. MaRC na RAS hawaelewani, Mawaziri na Makatibu Wakuu wao hawaelewani. Na labda mazaa na Kattanga(kwa sababu naye ametolewa) walikuwa hawafahamiani.
Ni laana au nini?
 
Hivi Wakuu, Kiongozi anaposema kuleni Kwa Kamba zenu, unategemea Waziri, Naibu, KM, NKM , wataelewana ??.


lakini kama wote Lugha ingekua Moja, kama wote Kwa pamoja wangekubali kuichukia Rushwa, tungefika mbali sana.

Bahati mbaya baadhi yenu hamuelewi hata maana na muktadha wa matumizi ya msemo wa '' kula kwa urefu wa kamba yako'' . Na wengine wanapotosha kwa makusudi. Maana halisi ya msemo ni kuzingatia maadili ya kazi

Kama una video Rasis Samia, akichukia Rushwa waziwazi, naomba uniwekee hapa !!.
 
Naelewa sana,

Hakuwa kataza kula, anataka wale Kwa Utaratibu, yaani wakae na kuambiana ndugu kula na ishia hapa, na mm Nile hapa.

Wameruhusiwa kula, ila tu wasiparuane,

Mm najiuliza MAPAKA uyape sahani moja afu uyaambie kuleni Kwa Utaratibu, kuparuana HAPANA, itawezekana Kweli?
Inabidi mama ajichunge anaongea nini kitaifa.
Viongozi wasio na maono waliichukulia "kula kwa urefu wa kamba" kama green light ya kuiba, kupora na rushwa.
Sasa nashangaa kwa mama kushangaa matokeo ya matamshi yale.
 
Inabidi mama ajichunge anaongea nini kitaifa.
Viongozi wasio na maono waliichukulia "kula kwa urefu wa kamba" kama green light ya kuiba, kupora na rushwa.
Sasa nashangaa kwa mama kushangaa matokeo ya matamshi yale.
Kama na wewe umeanza Kuuona UKWELI huu, basi Ukombozi umekaribia.
 
Kama na wewe umeanza Kuuona UKWELI huu, basi Ukombozi umekaribia.
Mama akifanya vizuri mimi nampongeza, akivurunda nampa haki yake.
Narudia, Mwalimu alisema ili tuendelee twahitaji vitu vinne:
-Watu
-Adhi
-Siasa safi na
-Uongozi bora

Miye mwana CCM, si mnafiki.
Tatizo lipo katika Siasa fai na Uongozi bora.
 
Mama akifanya vizuri mimi nampongeza, akivurunda nampa haki yake.
Narudia, Mwalimu alisema ili tuendelee twahitaji vitu vinne:
-Watu
-Adhi
-Siasa safi na
-Uongozi bora

Miye mwana CCM, si mnafiki.
Tatizo lipo katika Siasa fai na Uongozi bora.
Mwl Nyerere: Bila CCM imara, Nchi itayumba.

Kwa Katiba iliyopo, Pana UKWELI wa zaidi ya 50%.
 
Nimeshangazwa kama si kugutushwa na sababu ambazo Mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alizotoa kwa reshuffle ya mwisho wa wiki iliyopita. Sababu kubwa inasemekana viongozi katika ngazi fulani hawaelewani. Hii imenishtua sana!

Nikajiuliza, kwa nini viongozi mahali popote kikazi hawaelewani? Mimi sioni sababu nyingine, ila ile ya maslahi binafsi. Hapa Mama akae chonjo, kikulacho tayari kiko nguoni!

Lakini imekuwaje tumefika hapo?

Mtu Waziri anatoka Magu, Naibu wake anatoka Nangurukuru, sasa watapendanaje kama hawana common denominator? Kula kwa urefu wa kamba yako na maslahi binafsi hapo ndio tatizo.

Mwalimu Nyerere alitufundisha, ilituendelee tunahitaji vitu vinne:
-Watu,
-Ardhi,
-Siasa safi na
-Uongozi bora.

Viwili vya kwanza, yaani watu na ardhi havina matatizo. Tatizo liko katika Siasa Safi - Unifying Ideology na Uongozi Bora.

Hapo chama tawala kiingilie kati, maana viongozi kama hawana umoja na vision inayoeleweka hawataishia kusonyana, mwisho wake ni visu vya mgongoni vinavyoweza kuishia kwenye machafuko kwa wapambe na wananchi.

Sera za umoja na vision kati ya viongozi vinayumba.

Ni mawazo tu.
Vicious circle.
 
Kuna shida. MaDC na Wakurugenzi hawaelewani. MaRC na RAS hawaelewani, Mawaziri na Makatibu Wakuu wao hawaelewani. Na labda mazaa na Kattanga(kwa sababu naye ametolewa) walikuwa hawafahamiani.
Ni laana au nini?
Siasa safi na Uongozi bora una matatizo.
 
yote haya yanasababishwa na yeye mwenyewe rais wacha wateuzi wale kwa urefu wa kamba zao kila mtu akitamba ana back up ya uhakika hakuna wa kumtisha mwenzie......wanaoumia ni wananchi
Inabidi mama mwenyewe arudi nyuma na aone alikosea wapi.
Unapompandikiza mtu wazo la kula kwa urefu wa kamba, kugombania mali ndani ya himay yake ni fair game,
 
Back
Top Bottom