TikTok2021
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 690
- 1,060
100% correct halafu anasema inaonekana nawadekeza 😃 kama mama mwenye nyumba anavyobembeleza wanae maana anachofanya sasa ni kuhangaika kuwatoa na kuwapeleka sehemu nyingine hii nchi tabu sanaInabidi mama mwenyewe arudi nyuma na aone alikosea wapi.
Unapompandikiza mtu wazo la kula kwa urefu wa kamba, kugombania mali ndani ya himay yake ni fair game,